Ni kwanini wadada wengi at 30's age wanaforce sana ndoa au ukajitambulishe kwao?

Wanawake wa umri huo wanajitambua na wamepitia maisha.Sasa kama upo na mwanamke wa miaka 30 na anajua anachotaka kwanini umpotezee muda wake?

Lazima pia utambue biological clock ya mwanamke ni mfupi akishafika miaka 30 chances za kubeba ujauzito zinapungua na umri unavyozidi kwenda risks zinaongezeka!

Nasisitiza kama mwanamke huna malengo nae usimpotezee muda wake!

Yaani utamu tupate wote halafu mmoja ndio apotezewe muda hiyo sio haki kabisa
 
Kuna mmoja anafosi nimuoe na ananitishia kwamba machozi anayoyatoa hayaniacha salama as if Mungu ni mali yake peke yake.
Kama umemchunguza na unaona anakufaa na tabia zake ni stahimilivu na unaona future nae OA mkuu.. mwisho wa siku hakuna mtu amabyae ni perfect 100%. Kikubwa kama ni yeye ndio anakupenda zaidi hutapata tabu kwenye mahusiano yako
 
Kama umemchunguza na unaona anakufaa na tabia zake ni stahimilivu na unaona future nae OA mkuu.. mwisho wa siku hakuna mtu amabyae ni perfect 100%. Kikubwa kama ni yeye ndio anakupenda zaidi hutapata tabu kwenye mahusiano yako
Hafai kwa kila kitu.Nmekaa nae kwa miez mitatu tu naona kama miaka mitatu.
 
Kwa taarifa yako hata mwanaume ana expiry date from 35 kwenda juu mbegu zinapungua na zinaanza kudumaa hazina capability ya kuogelea haraka kama ulivyokuwa kwenye 20's hazipo efficient na effective kumaanisha uwezo wa kumimbisha hupungua au unampa mtu mimba zinaharibika!Ndio maana unaona ni trend unakuta mwanamke yupo 35+ anazalishwa na kjana wa 25 kwasababu warika lake mambo yanaweza yaende bila bila!Au mwanaume umri ulosogea awe na mwanamke younger,ile younger part inakuwa kama catalyst!
Unajifariji sio? Endelea kupata faraja.
 
ndoa nyingi sasa hivi unazOziona ni shinikizo toka kwa dungayembe na akikuta we mshamba wa mapenzi ndo hivyo unaoa!chunguza uone utakuja kuniambia WORD UP!
 
Wanawake wa umri huo wanajitambua na wamepitia maisha.Sasa kama upo na mwanamke wa miaka 30 na anajua anachotaka kwanini umpotezee muda wake?

Lazima pia utambue biological clock ya mwanamke ni mfupi akishafika miaka 30 chances za kubeba ujauzito zinapungua na umri unavyozidi kwenda risks zinaongezeka!

Nasisitiza kama mwanamke huna malengo nae usimpotezee muda wake!

Umenena vyema, kunywa soda hapo.
 
Kwa taarifa yako hata mwanaume ana expiry date from 35 kwenda juu mbegu zinapungua na zinaanza kudumaa hazina capability ya kuogelea haraka kama ulivyokuwa kwenye 20's hazipo efficient na effective kumaanisha uwezo wa kumimbisha hupungua au unampa mtu mimba zinaharibika!Ndio maana unaona ni trend unakuta mwanamke yupo 35+ anazalishwa na kjana wa 25 kwasababu warika lake mambo yanaweza yaende bila bila!Au mwanaume umri ulosogea awe na mwanamke younger,ile younger part inakuwa kama catalyst!
Dada unapambana sana kutupinga
 
Wanawake wa umri huo wanajitambua na wamepitia maisha.Sasa kama upo na mwanamke wa miaka 30 na anajua anachotaka kwanini umpotezee muda wake?

Lazima pia utambue biological clock ya mwanamke ni mfupi akishafika miaka 30 chances za kubeba ujauzito zinapungua na umri unavyozidi kwenda risks zinaongezeka!

Nasisitiza kama mwanamke huna malengo nae usimpotezee muda wake!
Alikuwa wap tokea 20-29? Ajiandae kuwa single maza maana ndo new fashion
 
Alikuwa wap tokea 20-29? Ajiandae kuwa single maza maana ndo new fashion
We unafikiri alikuwa wapi? jua kama sio watu wote wanaweka ndoa priority katika umri huo wengine wanajijenga,wanajielimisha wana miradi yao ya kujenga maisha na pia wanatafuta mtu sahihi kwani kila mwanaume wa kuolewa nae?

Na si kila mtu anayeolewa katika umri huo uloutaja labda hao wanaotegemea mwanamume wawafanyie kila kitu lkn mwanamke anayejitegemea walio wengi wanakuwa stable na tayari kujenga familia wakigonga 30!
 
Back
Top Bottom