Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,443
- Thread starter
- #21
Mwaka gani umemaliza UCC tawi la Mlimani?Hapana mkuu sijapita NIT, na mwalimu nyerere ila nina wadau waliosoma pale na wengine bado wako pale.
.
DIT nimehudhuria mafunzo ya programming, KITM nilihudhuria mafunzo ya jioni kwenye kozi za CISCO, UCC ndipo niliposoma kabisa tawi la mlimani.