Anaogopaje maisha mkuu em fafanua ,,, Maisha ni kuishi au kuwa hai sasa ukisema mtu anaogopa maisha una maana gani au huyo mtu anakuwa kajiuaKuna jambo ningependa kuwashirikisha wana JF wenzangu kumekuwa na tatizo vijana wengi kuogopa maisha.
Inafika stage kijana wa kiume ana umri wa miaka 35, 30 au 40 bado anaogopa kujitegemea, anaogopa maisha. Je, tatizo ni nini?
Kwenye maisha Kuna Mambo mengi.mwingine kaamua umaskini uwe Ni Kama pambo kwake yaani kaacha kutafuta haya materials ya ulimwengu ambayo Ni ya kupita Sasa utasemaje Ni muoga wa maisha?Hili ndio jibu mujjarabu!
Kuna jambo ningependa kuwashirikisha wana JF wenzangu kumekuwa na tatizo vijana wengi kuogopa maisha.
Inafika stage kijana wa kiume ana umri wa miaka 35, 30 au 40 bado anaogopa kujitegemea, anaogopa maisha. Je, tatizo ni nini?