Ni kwanini vijana wengi siku hizi hawana raha na ndoa zao? Tatizo ni nini?

Tatizo pesa halafu wanawake wana gubu sana
Kuna rafiki yangu mmoja kaowa mwanamke mrembo sana kabarikiwa kila kitu ila siku wakigombana anamwambia jamaa mi ukiniacha leo naolewa na watu wenye hela wananitaka wengi tu.

Sasa kauli kama hizo hiyo amani au raha ya maisha utaipata wapi ndugu yangu
Duh!
 
Ndo shida hii ya kuoa mabinti warembo oa mwanamke jembe mwenye kupiga kazi mwenye kujua kutafuta ela na mwenye upendo wadhati na ww na anaejua tunza familia mm na mke wangu tuna watoto7 naondokaga hm hata miezi 3cpo hm narud hm namkuta mke wangu vzr tuu anaongoza familia vzr tuu sina shaka nae mana tumetoka mbali na tunapendana na kuaminiana sana now nipo Dar yy yupo njombe na watoto ila maisha yanasonga.......
Vijana wa sasa wanaangalia chura tu mkuu
 
Tatizo pesa halafu wanawake wana gubu sana
Kuna rafiki yangu mmoja kaowa mwanamke mrembo sana kabarikiwa kila kitu ila siku wakigombana anamwambia jamaa mi ukiniacha leo naolewa na watu wenye hela wananitaka wengi tu.

Sasa kauli kama hizo hiyo amani au raha ya maisha utaipata wapi ndugu yangu

Dah
 
Sijajua...tatizo ila kikubwa kwa imani yangu...vijana wanafahamu mambo ya kikubwa mapema sana...sasa wanaingia kwenye ndoa wakiwa wanajua kila kitu...wakikuta hali ni tofauti na walivyozea...lazima tu mtafaruku utatokea...mababu walikuwa wanaoana huku kila mmoja akiwa hajui kitu
 
Tatizo pesa halafu wanawake wana gubu sana
Kuna rafiki yangu mmoja kaowa mwanamke mrembo sana kabarikiwa kila kitu ila siku wakigombana anamwambia jamaa mi ukiniacha leo naolewa na watu wenye hela wananitaka wengi tu.

Sasa kauli kama hizo hiyo amani au raha ya maisha utaipata wapi ndugu yangu
Ha ha haa, mdomo bhana.
 
Mitandao nayo imechangia kuharibu ndoa kwa kiasi fulani. Unakuja nyumbani mwanamke unamkuta kwenye simu tu hana time na wewe. Porn nazo pia zinachangia sana. Vijana wa kike na wa kiume wameakuwa addicted. Kwa ujumla kizazi hiki kimeharibika.
 
Marriage iko overrated watu bado wanaoana sababu ndio mfumo uliopo kijamii hakuna namna hivyo mtu anaoa na kuolewa lakini misingi kuifuata ni migumi karne matokeo yake hamna furaha wengi wanaishi kimazoea. Nadhani kuwe na mfumo wa ndoa za mikataba maswala kuishi hunA furaha ili umfurahishe mke/mme na jamii inakusifie umedumu.
 
Back
Top Bottom