Ni kwanini Upinzani umeshuka katika Kanda ya Ziwa na Kaskazini?

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Nimejaribu kufatilia kiwango cha
Upinzani katika kanda ya kaskazini
Na kanda ya ziwa umeshuka katika
Kiwango cha juu

Nimezungumza hivyo baada ya kuvuta picha hali ya kisiasa miaka
Kumi na mbili ilivyokuwa kuanzia
2005 hadi 2015 hadi sasa tulipofikia.

Kwa Wale wenye kumbukumbu vizuli mtakumbuka vuguvugu la
Mabadiliko na maandamano ilkfikia hatua ukipanda daladala
Unaisifia ccm unashushwa .

Kwa Wale mliowahi Kuishi
Arusha mtakumbuka kipindi
Lema alivyovuliwa ubunge na
Alivyowekwa ndani arusha ililipuka
Kwa maandamano watu walipigwa
Kweliii sio hivo tuu Arusha .

Kwa Wale wanaokumbuka machafuko ya arusha hali ilikuwa
Tete sana na kwa wale wanaokumbuka uchaguzi wa
Marudio arumeru mashariki mliona
Jinsi Nassari alivyoshinda jimbo
La arumeru.

Kanda ya ziwa kwa Wale mnaokumbuka maandamano
Ya vuguvugu la mabadiliko ya
Lililomtoa Masha na diallo uchaguzi Mkuu 2010 jinsi gani
Ilivyokuwa hadi mwanza ikalipuka
Watu walivyopambana

Ni mengi ya kuzungumzia ila tukirudi katika ukweli ukiangalia
Uchaguzi marudio wa kata 22 na
43 mwaka huu ambazo ccm wameshinda kwa kishindo na wapinzani wametulia wamekubali
Matokeo ni dhahiri tukubaliane
Upinzani umeangukaa.

Enzi zilee chaguzi Kama hizi ni
Lazima itokee patashika kati
Upinzani na ccm na ni lazima
Zipigwe kweli kwelii lakini tukirudi
Katika mada ya msingi upinzani
Umeanguka au ume drop .

Je tatizo ni nini haswaa?
 
Kwa Wale wenye kumbukumbu vizuli mtakumbuka vuguvugu la
Mabadiliko na maandamano ilkfikia hatua ukipanda daladala
Unaisifia ccm unashushwa
Au unapokea kipigo kabisa,hata kutembea umevaa nguo za chama ilikuwa unapigwa mawe.
 
Wanategemea hisani ya ccm kufanya siasa! Yani eti ccm wakisema hakuna siasa na wao wanaufyata!
 
UPINZANI ULIOKUWEPO KWA SABABU YA DK.SLAA ALIVYOONDOKA SLAA
NA UPINZANI UMEONDOKAA.
 
Toa ujinga wako hapa, utumie polisi na tume kushinda alafu useme upinzani umeshuka?
Kuna vitu inabidi tukubaliane kusema kweliii .

Ivi kipindi akina lema na nassari
Mpaka wanashinda majimbo ya
Arumeru na Arusha.

Unataka kuniambia polisi walikuwa hawatumiki.
 
Kuna vitu inabidi tukubaliane kusema kweliii .

Ivi kipindi akina lema na nassari
Mpaka wanashinda majimbo ya
Arumeru na Arusha.

Unataka kuniambia polisi walikuwa hawatumiki.
Kwa hiyo unajifanya kipofu? watu wanapigwa mpaka wanavunjwa na wanakamatwa hovyo au kwa vile upo CCM unaona kila kitu ni sawa? kumbuka hata Mugambe alikuwa anashinda kwa 99% lakini hao hao walimtoa.
 
Nimejaribu kuangalia harakati
Za kisiasa enzi zilee na hadi sasa
Huo utafiti wako umekaa kiccm kwasababu umeamua kijitoa ufahamu kabisaaaaa....!!!!!!

Wewe unanyima shughuli za chama ambazo ziko kikatiba alafu unasema upinzani umeshuka..???

Wewe unatumia dola kushinda chaguzi alafu unasema upizani umeshuka...????

Wewe unabambikiza watu kesi alafu unasema upinzani umeshuka..???

Watu wanapotea/wanaumizwa kwa kusema kweli alafu unasema upinzani umeshuka..???
 
utafiti wako chaka huo...
Chakaaa kivipi wakati ccm inashinda kanda ya kaskazini
Na kanda ya ziwa ambazo ndio
Ngome kuu ya upinzani

Ushindi wa kata 43 ni lazima upinzani tujiulize ivi imekuwaje
Tumepoteza na ndio ngomee

Kuu mbona miaka ya zamani
Piga uaaa ni lazima upinzani
Ushinde
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom