Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Nimejaribu kufatilia kiwango cha
Upinzani katika kanda ya kaskazini
Na kanda ya ziwa umeshuka katika
Kiwango cha juu
Nimezungumza hivyo baada ya kuvuta picha hali ya kisiasa miaka
Kumi na mbili ilivyokuwa kuanzia
2005 hadi 2015 hadi sasa tulipofikia.
Kwa Wale wenye kumbukumbu vizuli mtakumbuka vuguvugu la
Mabadiliko na maandamano ilkfikia hatua ukipanda daladala
Unaisifia ccm unashushwa .
Kwa Wale mliowahi Kuishi
Arusha mtakumbuka kipindi
Lema alivyovuliwa ubunge na
Alivyowekwa ndani arusha ililipuka
Kwa maandamano watu walipigwa
Kweliii sio hivo tuu Arusha .
Kwa Wale wanaokumbuka machafuko ya arusha hali ilikuwa
Tete sana na kwa wale wanaokumbuka uchaguzi wa
Marudio arumeru mashariki mliona
Jinsi Nassari alivyoshinda jimbo
La arumeru.
Kanda ya ziwa kwa Wale mnaokumbuka maandamano
Ya vuguvugu la mabadiliko ya
Lililomtoa Masha na diallo uchaguzi Mkuu 2010 jinsi gani
Ilivyokuwa hadi mwanza ikalipuka
Watu walivyopambana
Ni mengi ya kuzungumzia ila tukirudi katika ukweli ukiangalia
Uchaguzi marudio wa kata 22 na
43 mwaka huu ambazo ccm wameshinda kwa kishindo na wapinzani wametulia wamekubali
Matokeo ni dhahiri tukubaliane
Upinzani umeangukaa.
Enzi zilee chaguzi Kama hizi ni
Lazima itokee patashika kati
Upinzani na ccm na ni lazima
Zipigwe kweli kwelii lakini tukirudi
Katika mada ya msingi upinzani
Umeanguka au ume drop .
Je tatizo ni nini haswaa?
Upinzani katika kanda ya kaskazini
Na kanda ya ziwa umeshuka katika
Kiwango cha juu
Nimezungumza hivyo baada ya kuvuta picha hali ya kisiasa miaka
Kumi na mbili ilivyokuwa kuanzia
2005 hadi 2015 hadi sasa tulipofikia.
Kwa Wale wenye kumbukumbu vizuli mtakumbuka vuguvugu la
Mabadiliko na maandamano ilkfikia hatua ukipanda daladala
Unaisifia ccm unashushwa .
Kwa Wale mliowahi Kuishi
Arusha mtakumbuka kipindi
Lema alivyovuliwa ubunge na
Alivyowekwa ndani arusha ililipuka
Kwa maandamano watu walipigwa
Kweliii sio hivo tuu Arusha .
Kwa Wale wanaokumbuka machafuko ya arusha hali ilikuwa
Tete sana na kwa wale wanaokumbuka uchaguzi wa
Marudio arumeru mashariki mliona
Jinsi Nassari alivyoshinda jimbo
La arumeru.
Kanda ya ziwa kwa Wale mnaokumbuka maandamano
Ya vuguvugu la mabadiliko ya
Lililomtoa Masha na diallo uchaguzi Mkuu 2010 jinsi gani
Ilivyokuwa hadi mwanza ikalipuka
Watu walivyopambana
Ni mengi ya kuzungumzia ila tukirudi katika ukweli ukiangalia
Uchaguzi marudio wa kata 22 na
43 mwaka huu ambazo ccm wameshinda kwa kishindo na wapinzani wametulia wamekubali
Matokeo ni dhahiri tukubaliane
Upinzani umeangukaa.
Enzi zilee chaguzi Kama hizi ni
Lazima itokee patashika kati
Upinzani na ccm na ni lazima
Zipigwe kweli kwelii lakini tukirudi
Katika mada ya msingi upinzani
Umeanguka au ume drop .
Je tatizo ni nini haswaa?