Ni kwanini unajenga nyumba ya ghorofa?

Maeneo gani, bei zinategemea na eneo.
Kwa Pangadeco, Bweni,Kikokwe na Ushongo bei utayotajiwa inaelekea na viwanja vya Dar.

Kama pesa ipo unaweza ukawavua mpaka wazungu/waswahili wenye maeneo Ushongo Beach club.
Hapo Pangadeco, Pangani mjini hadi usawa wa Boza junction kote huku patakuja funikwa na maji ya bahari ndani ya miaka kumi ijayo.

Hilo eneo lote ni water Logged na mvua ikinyesha kidogo tu ardhi inashiba maji ndani ya masaa machache.

Sehemu salama( High altitude area) ni kwanzia huku kwa Mkuu wa wilaya, Tongoni,Kigombe hadi Tanga au Maeneo ya Mwera, kipumbwi ,makorora na mkwaja.
 
Maam, tell me more about hizi lift. Na kama una picha au video nitashukuru Sky Eclat
1609332049188.jpeg

Hata kama umeshajenga nyumba unaiweka pembeni ya banister. Kwa Afrika wananunua kutoka Uturuki.
 
Hapo Pangadeco, Pangani mjini hadi usawa wa Boza junction kote huku patakuja funikwa na maji ya bahari ndani ya miaka kumi ijayo.

Hilo eneo lote ni water Logged na mvua ikinyesha kidogo tu ardhi inashiba maji ndani ya masaa machache.

Sehemu salama( High altitude area) ni kwanzia huku kwa Mkuu wa wilaya, Tongoni,Kigombe hadi Tanga au Maeneo ya Mwera, kipumbwi ,makorora na mkwaja.
Aaah sawa mkuu, kuna mdau Sky Eclat anataka viwanja vya ufukweni muuzie wewe kuna posti niliona umesema Una maeneo Boza.
 
duuuh! sijui nature ya eneo limekaaje na pengine reinforcement ya aina gani... lakini kila nikijaribu kufanya analysis ya hiyo bei kwenye msingi then tukija kwenye uhalisia naona kuna kila viashiria vya matumizi mabaya ya pesa au kukosa washauri na wataalamu bobezi katika kufanya maamuzi sahihi.
Kwa watu kadhaa waliokua wanajenga nimeona msingi range 45mil to 55. Na ni hizo hizo room 4 za kulala ukiacha store na vingine. Hapa naenda site ya ndugu yangu katumia 55.
 
Na Kigombe
Kigombe kwanzia maeneo ya jiweni njoo hadi huku mbele ya Kingfisher Hotel kama unaenda pangani ukiwa na 15M to 25M unapata eneo kubwa tu upande wa bahari yani unauziwa strip inayoanzia main road hadi kwenye maji ya bahari na huko karibia kote wazungu ndio wamekamata.

Kuna Mzungu mmoja alikuwa anamiliki hayo maeneo akaja kuwauzia hao jamaa wanaolima Katani huo upande wote wa ng'ambo ya barabara (APL)
 
duuuh! sijui nature ya eneo limekaaje na pengine reinforcement ya aina gani... lakini kila nikijaribu kufanya analysis ya hiyo bei kwenye msingi then tukija kwenye uhalisia naona kuna kila viashiria vya matumizi mabaya ya pesa au kukosa washauri na wataalamu bobezi katika kufanya maamuzi sahihi.
Mkuu hapana. Na material zingine tunachukua viwandani kabisa. Sishangai wewe kushangaa ama kukataa hizi gharama.

Nakumbuka enzi hizo kulikua na ugomvi wa majirani wawili. Mmoja na ghorofa mwingine hana. Na yule baba mwenye ghorofa ni engeneer. Yule wa chini ni ndugu yetu na ni wachokozi na wakorofi kwelikweli waakawa wanamtukana yile baba na kusema vibaha ghorofa lake. Nyumba ya wale ndugu zangu ni ya chini lakini kali mno. Nikisema kali ninkali. Sasa yule baba kwa hasira mwenye ghorofa akawaambia " sasa mnaongea nini wakati gharama ya nyumba yenu yote ndo msingi wa ghorofa yangu?" Nilishangaa sana watu wakanielekeza bado sikuelewa. Nilaja kufatilia kbs kwa wahusika wa kada hiyo. Na nikaona wanaojenga. Aisee... inafika. Nimeshuhudia kbs. Basi hapa namm najiliwaza nitajenga langu siku tuu

Niliambiwa watu huona gharama ni ndogo sometimes kwasababu wanajenga kwa kujibana sana na kuacha vitu vingine. Kama ulivyoona wataalam wakiainisha huko juu. Kuna mwingine anataka ujenz ule wa kufata protocols na uimara. Mwingine atapambana kwa mkono unapifikia mkuu. Ndo maana hata nyunba za chini tuu pia gharama hutofautiana.
 
Kigombe kwanzia maeneo ya jiweni njoo hadi huku mbele ya Kingfisher Hotel kama unaenda pangani ukiwa na 15M to 25M unapata eneo kubwa tu upande wa bahari yani unauziwa strip inayoanzia main road hadi kwenye maji ya bahari na huko karibia kote wazungu ndio wamekamata.

Kuna Mzungu mmoja alikuwa anamiliki hayo maeneo akaja kuwauzia hao jamaa wanaolima Katani huo upande wote wa ng'ambo ya barabara (APL)
Hapo APL nimeona wamejenga Kota za wafanyakazi wao.
 
Back
Top Bottom