Ni kwanini unajenga nyumba ya ghorofa?

Kwenye framed structure approach, Nguzo ndio hubeba Axial Load
na
Kwwnye Load bearing wall approach, ukuta ndio unaobeba Axial load.

Beams na slab zinabeba Bending moments na Shear forces (kitu tofauti kabisa)

Kwa hiyo unaweza swap nguzo na ukuta kwa sababu zote zinabeba aina moja ya load ambayo Ni Axial Load.

Na Uki swap nguzo kwa ukuta, slab na beams zitabaki palepale
 
Kwenye framed structure approach, Nguzo ndio hubeba Axial Load
na
Kwwnye Load bearing wall approach, ukuta ndio unaobeba Axial load.

Beams na slab zinabeba Bending moments na Shear forces (kitu tofauti kabisa)

Kwa hiyo unaweza swap nguzo na ukuta kwa sababu zote zinabeba aina moja ya load ambayo Ni Axial Load.

Na Uki swap nguzo kwa ukuta, slab na beams zitabaki palepale
Sawa Ila katika hiyo trade kuna kitu kinapungua. Nacho ni uwezo wa kubeba mzigo. Labda hilo lingetajwa ingejulikana kwanini watu siku hizi hawachagui hiyo approach au engineers hawaitumii design hii kwa sana.
All in all, kwa kawaida na kwa asilimia nyingi sana, framed ndiyo hutumika na ni gharama zaidi na less risky.
Thanks, Ila sidhani kama risk imeelezewa. Ni kama umekwepa kuimention.
 
Sawa Ila katika hiyo trade kuna kitu kinapungua. Nacho ni uwezo wa kubeba mzigo. Labda hilo lingetajwa ingejulikana kwanini watu siku hizi hawachagui hiyo approach au engineers hawaitumii design hii kwa sana.
All in all, kwa kawaida na kwa asilimia nyingi sana, framed ndiyo hutumika na ni gharama zaidi na less risky.
Thanks, Ila sidhani kama risk imeelezewa. Ni kama umekwepa kuimention.
Hiyo njia ya load bearing wall structurally ni salama kabisa. Kilichopelekea isitumike saana ni kitu kimoja tu. Ni ngumu saana kufanya "Refabrishment" kwenye majengo ya aina hii. Unajua kwa kawaida majengo kwa nyakati nyingine yanahitaji Maintenance, Renovation na Refabrishment . Sasa Maintenance na Renovation unaweza kuyafanyia bila shida ila Refabrishment ni ngumu.

Swali Kwa nini Refabrishment iwe ngumu?
Unapoongelea Refabrishment kwenye majengo unamaanisha "Change use of the building"/Yaani kubadili matumizi ya jengo.

Kwa mfano Jengo lilikuwa la makazi(Residential) ulibadirishe liwe jengo la biashara kama vile bank n.k. unaweza ushindwe kufikia lengo. Ni kwa sababu moja tu, mara nyingi mabadiriko ya matumizi ya jengo yanahusisha kuvunjwa kwa baadhi ya kuta na kujengwa nyingine ili kuendana na matumizi mapya. Kumbuka uzito unabebwa na ukuta, hivyo zoezi lolote la kuvunja ukuta linaweza kuhatarisha usalama wa jengo. Lazima assessment ya kina ifanyike ili kubaini kuta ambazo zinabeba uzito mchache ndizo pekee zinazoweza kuvunjwa.huwa Ni chache saana.

Wakati huo kwenye Framed structure unaweza kubadili matumizi vile upendavyo ili mradi tu usivunje nguzo. Unaweza ukashusha hata tofali zote na kuweka toughed glass au Aluminum cladding au chochote unachopenda.

Pamoja na hiyo sababu hapo juu, pia uelewa mdogo wa wateja kuhusu ujenzi na wenyewe umechangia kupelekea njia hii kutelekezwa. Utamwambia mteja jengo lake liko salama lakini haamini kabisa kama ghorofa inaweza simama bila nguzo. Mwisho wa siku unaweza kupoteza hata hiyo kazi. Ndio maana wataalamu wa ujenzi wakati mwingine hawataki maswali mengi toka kwa wateja kwa kuamua kukuwekea nguzo, beams na slab mchezo unaisha.
 
Wazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni ghali sana. Kupata kiwanja cha kujenga nyumba inakulazimu uwe na kuanzia milioni 20 kwa pesa ya Tanzania. Wanasema ukijenga ghorofa hukosi mpangaji na wewe unapata na sehemu yako ya kuishi kwa amani.

Wengine wanasema wanajenga ghorofa kuyaona matunda ya mafanikio yake kwa macho. Sasa ninajiuliza sisi ardhi tunayo kubwa sana. Mpaka sasa bei ya kiwanja ni wastaniwa milioni tano mijini. Ni kwanini unawaza kujenga ghorofa kama una wazo hilo au ni kwanini ulijenga ghorofa?

Kwa ajili ya usalama wangu
 
Jamani naombeni msaada,Nina KIwanja changu cha meter 10*10 maeneo ya kinyerezi nataka kujenga kijumba cha kuishi cha walau ghorofa moja cha meter 8*8 cha vyumba viwili kimoja chini kingine gorofani je inawezekana au kanuni za ujenzi wa Ghorofa zina kataza ujenzi wa namna hii,Nyumba karibia zote zinazo karibian na kiwanja changu zimejengwa ghorofa ila wao viwanja vyaoo vina maeneo ya kujitosheleza.Kiwanja changu kiko tambarare
 
Mie miwili iliyopita nilisimamia ujenzi wa jengo la ghorofa 1, liko Mwandege mkuranga. Ina vyumba vi4 na nguzo 11, Kama sikosei msingi haukuzidi 14,000,000 . Sasa huo msingi wa 45,000,000 Duh!!!!!!!, Anyway labda material yanatoka California
Nguzo 11? Ndio maana!
 
Back
Top Bottom