#COVID19 Ni kwanini tunaulazimishia kwa nguvu zote ugonjwa wa Corona kuwa umerudi upya?

sijui kama heading iko vizuri au vp! Ila inashangaza sanaa kuona namna tunavyoulazimishia huu ugonjwa uendelee kuwepo au tunalazimishia kwamba umerudi upyaa!

jamani tumerudi nyuma sanaa kwenye hili. Ni aibu kubwa kuona namna tunavyolazimishia uwepo wa ugonjwa huu, yaani its so unnecessary. Imefikia point kama taifa tunatangaza tuna wagonjwa mia ngapi sijui katika watu milion 60! serius?

tuchukue tahadhari ila tusiupe cheo ugonjwa huu kama tunavyofanya sasa. Hofu ikirudi tatizo tunalikuza upya. Hofu ikirudi ugonjwa utarudi mara milion 1 na tutapata lock down ya u lazima.

hakuna haja ya haya yanayofanyika sasa, Corona tulikwisha ishinda kama taifa mwaka mmoja uliopita tusitishane tena na hakuna lolote jipya ambalo sisi tunaweza kulifanya kwa sasa dhidi ya ugonjwa huu. Sisi tumekwisha ushinda ugonjwa huu muda mrefu sasa hakuna haja ya kutaja taja namba za kujitungia tungia tu kutisha watu na kuukuza ugonjwa upya.

kama mtu anataka chanjo basi akachanjwe na asietaka basi asitake.

sad.
Njoo Arusha au nenda Moshi ndio utajua hujui. Nakupa hii tu ...alikwenda kuswali, aliporudi nyumbani akaanza kujisikia vibaya, akapelekwa hospitali , ilikuwa ni tatizo la kupumua kwa shida
 
Hii nchi ina watoto wa Mungu na wa shetani. Kila mtu afate imani ya baba yake tusilazimishane. Ina maana ktk Taifa hakuna wenye maono/werevu? Sitaki amini kama Taifa limekuwa Na mbu3 wate!
 
Mtoa mada ni kijana sasa anajiangalia yy haangali wala hajali wazee tunaopoteza kwa huu ugonjwa. Tatizo la mwafrika ni ubinafsi kama tatizo halijafika kwake basi atadai halipo au halimuhusu
 
Ta
sijui kama heading iko vizuri au vp! Ila inashangaza sanaa kuona namna tunavyoulazimishia huu ugonjwa uendelee kuwepo au tunalazimishia kwamba umerudi upyaa!

jamani tumerudi nyuma sanaa kwenye hili. Ni aibu kubwa kuona namna tunavyolazimishia uwepo wa ugonjwa huu, yaani its so unnecessary. Imefikia point kama taifa tunatangaza tuna wagonjwa mia ngapi sijui katika watu milion 60! serius?

tuchukue tahadhari ila tusiupe cheo ugonjwa huu kama tunavyofanya sasa. Hofu ikirudi tatizo tunalikuza upya. Hofu ikirudi ugonjwa utarudi mara milion 1 na tutapata lock down ya u lazima.

hakuna haja ya haya yanayofanyika sasa, Corona tulikwisha ishinda kama taifa mwaka mmoja uliopita tusitishane tena na hakuna lolote jipya ambalo sisi tunaweza kulifanya kwa sasa dhidi ya ugonjwa huu. Sisi tumekwisha ushinda ugonjwa huu muda mrefu sasa hakuna haja ya kutaja taja namba za kujitungia tungia tu kutisha watu na kuukuza ugonjwa upya.

kama mtu anataka chanjo basi akachanjwe na asietaka basi asitake.

sad.
Tatizo ni Samia.
 
Mtoa mada ni kijana sasa anajiangalia yy haangali wala hajali wazee tunaopoteza kwa huu ugonjwa. Tatizo la mwafrika ni ubinafsi kama tatizo halijafika kwake basi atadai halipo au halimuhusu
😂😂😂 kwani vijana hawafi
 
Nimetoka mkoani Mara nilipo kikazi nikaenda Dsm wiki iliyoisha na nimerejea Leo Mara
Kule Dsm watu wapo busy na maisha yao
Hakuna cha kunawa wala barakoa
hadi nawaza hivi mbona kweli kuna nguvu kubwa mno ya kutisha watu Juu ya corona?
Nadhani sio bure
Kuna sababu tu!
sisi tupo wazima!
Mungu wetu ni Mwema!
aliyekula hela au anaomba mikopo na misaada ulaya kwa kisingizio cha corona!
Achunguzwe akili!
 
We acha tu,
Bora uuguze apone , unauguza ni ugonjwa expensive kwa baafhi ya hospitali kwa wasio na bima na yet mgonjwa anafariki.
Hapo sasa! Unanunua menoperem injection 20,000 Tsh/vial x 3 a day for 7 days, gown za madktari/manes 4 @120,000 , Masks N95 10,000/each -eigh per a day etc etc halafu anakufa
 
Unajua maana ya Variant?
Unajua dalili zinabadilika kutokana na aina ya virus.
Usifananishe wave ya 1 2 na 3. Tuchukue hadhari
 
Unajua maana ya Variant?
Unajua dalili zinabadilika kutokana na aina ya virus.
Usifananishe wave ya 1 2 na 3. Tuchukue hadhari
Hizi ndio mind ambazo ziko brainwashed sasa. mnatumia technicalities and ambigous words kuulezea huu ugonjwa ili kweli lionekane tatizo lipo na ni kubwa sanaa.
 
sijui kama heading iko vizuri au vp! Ila inashangaza sanaa kuona namna tunavyoulazimishia huu ugonjwa uendelee kuwepo au tunalazimishia kwamba umerudi upyaa!

jamani tumerudi nyuma sanaa kwenye hili. Ni aibu kubwa kuona namna tunavyolazimishia uwepo wa ugonjwa huu, yaani its so unnecessary. Imefikia point kama taifa tunatangaza tuna wagonjwa mia ngapi sijui katika watu milion 60! serius?

tuchukue tahadhari ila tusiupe cheo ugonjwa huu kama tunavyofanya sasa. Hofu ikirudi tatizo tunalikuza upya. Hofu ikirudi ugonjwa utarudi mara milion 1 na tutapata lock down ya u lazima.

hakuna haja ya haya yanayofanyika sasa, Corona tulikwisha ishinda kama taifa mwaka mmoja uliopita tusitishane tena na hakuna lolote jipya ambalo sisi tunaweza kulifanya kwa sasa dhidi ya ugonjwa huu. Sisi tumekwisha ushinda ugonjwa huu muda mrefu sasa hakuna haja ya kutaja taja namba za kujitungia tungia tu kutisha watu na kuukuza ugonjwa upya.

kama mtu anataka chanjo basi akachanjwe na asietaka basi asitake.

sad.
Sio kurudi upya..ni aina nyingine ya kirusi-Delta..
Mbona inaelekweka saana. Kuhusu kuishinda corona sio kweli, watu wamekufa sana tu
 
Huu ugonjwa sio mgeni na hakuna ulipokua umeenda usipokua ulikua dormant tu. sasa iv tumeuhamshia upya kwa ulazima. Hapa dar maisha yapo kama kawaida na kama ugonjwa huu ungeleta madhara kwenye taifa hili basi ugonjwa huu ungejioneshea mfano wake halisi hapa dar, tazama feri watu walivyo zero distance, vituo vya mwendokasi, madaladala, mitaa hasa ya kigamboni, mbagala, gongolamboto etc yaan unajiuliza kama kweli ugonjwa huu upo kama unavyoelezwa na unavyofanya kazi basi kwa siku hapa dar watu wangekua wanakufa sio chini ya elf 10.

lakini unajua kinachowasaidia hawa watu licha ya ugonjwa huu kuwepo? Ni namna walivyohamua kutokuuogopa na kuuchukulia kama kawaida tu so hofu hakuna na wanaishi.

inawezekana vp ukute sehemu kama kivukoni watu zaidi ya elf 4 wamekaa sehem moja tena wote hawana barakoa wala hakuna distances zozote alaf jamii hii hii kesho keshokutwa wiki mwezi wapo vile vile namba ile ile na kila siku?
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom