Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,179
- 3,539
Hivi inakuwaje sisi wanaume ikitokea umeanza uhusiano na mdada ambaye ana mtoto basi asilimia kubwa tupo tayali kuishi na huyo mtoto kama mtoto wako na utamuhudumia kama mtoto wako na kumpa haki zotee.
Lakini upande wa kina dada sijaelewa ni kwanini inakuwa ngumu anapokukuta una mtoto basi atakuwekea vikwazo vingi mpaka unagundua kuwa yeye kama yeye hayupo tayali kuishi na mtoto wako......
Nazungumza hivoo kutokana kuna mshikaji ana mtoto wake ila mwanamke aliyempata anamlazimisha amrudishee kwa mama yake mzazi na yeye ndo atakubali kuishi na yeye.....
Sio hivoo tuu niliwahi kushuhudia kuna mdada aliwahi kumpiga mtoto wa mshikaji mmoja ivi hadi akamuumiza kipindi mwana yupo katika miangaiko yake ya hapa na palee. .....
Lakini je katika yote haya ivi wadada ni kwanini mnakuwa wagumu kuishi na watoto ambao sio wa kwenuu
Lakini upande wa kina dada sijaelewa ni kwanini inakuwa ngumu anapokukuta una mtoto basi atakuwekea vikwazo vingi mpaka unagundua kuwa yeye kama yeye hayupo tayali kuishi na mtoto wako......
Nazungumza hivoo kutokana kuna mshikaji ana mtoto wake ila mwanamke aliyempata anamlazimisha amrudishee kwa mama yake mzazi na yeye ndo atakubali kuishi na yeye.....
Sio hivoo tuu niliwahi kushuhudia kuna mdada aliwahi kumpiga mtoto wa mshikaji mmoja ivi hadi akamuumiza kipindi mwana yupo katika miangaiko yake ya hapa na palee. .....
Lakini je katika yote haya ivi wadada ni kwanini mnakuwa wagumu kuishi na watoto ambao sio wa kwenuu