Ni kwanini Serikali hii inaogopa wachunguzi wa kigeni kuchunguza tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu?

I'm wasting my time, here people are so dump...you guys you don't know what you are talking about, your brain is size number zero. unaweza kukuta hata mjakula ndio maana akili zetu finyu
At least revise ur english literacy skills so that we might understand what you wrote in the first place
 
Ukiacha kujadili hoja ukaanza kuwashambulia watu personally unapoteza credibility... Jikite kwenye hoja sio watu, or else utafanana na wanaozidiwa hoja na Lissu na wanaishia kummiminia risasi...
Kuongoza nchi hakuhusiani na kukaribisha international investigators coz Tz sio kisiwa, si mara ya kwanza kufanya hivyo na wala si nchi ya kwanza. Jana tu huko kisiwa cha Malta wamewakaribisha FBI kuchunguza kifo cha journalist kwa bomb kwenye gari lake.
Tz ni member wa international community mbalimbali na moja ya maeneo ya ushirikiano ni ulinzi, usalama, upelelezi ,nk
Si kwamba vyombo vyetu haviwezi kazi hiyo, udhaifu mkubwa wa vyombo vyetu ni kufanya kazi kwa maelekezo ya kikundi flani kutoka 'juu'
Waliompiga risasi mstaafu wa jeshi walishauawa, (tukio baada ya la Lissu) ila waliomshambulia Lissu hakuna aliyeshikwa zaidi ya mwezi sasa... Juzi RPC wa Dodoma hataki kuulizwa updates.. Labda ndio maana nchi imejitoa kwenye Open government partnership.
Kama kusoma hujui, angalia picha basi...
Unajua frustrations ninazopata ni kuwa watu wanashindwa kuelewa uzito wa kuwaruhusu majasusi wa nje kuja kupekuwa chombo chenu cha kijasusi.

Mimi siwatetei serikali pale wanapofanya maovu.

Kwa mfano yule mtu aliemtolea silaha Nape anapaswa kushughulikiwa. Kama yule ni mtu wa Usalama wa Taifa na alikuwa kazini pale basi ni vema serikali ingesema kuwa tunamjua na alivunja nidhamu ya kikazi na anashughulikiwa kiofisi. Hii ingetosha kabisa.

Lakini kukaa kimya wakati kila mtu alimuona mchana kweupe ni kuwafanya wananchi wasiwe na imani na serikali yao.

Tuchukue mathalan kama aliemshambulia Lissu ni askari wa Usalama wa Taifa (binafsi sidhani serikali ilihusika). Hii pia sio sababu (in fact hakuna sababu yoyote ile) ya kuwaruhusu Scotland Yard kuja kuwapekua Usalama wa Taifa.

Nitarudia tena. Hakuna sababu yoyote, whosoever itakayo-justify kuruhusu chombo chetu cha usalama kupekuliwa na spies wa nchi ya nje. Itakuwa hivyo kama serikali ipo chini ya CCM, au CDM, au CUF, au chama chochote kile.

Hata kama Raisi ni mbaya namnagani au kama tunakaribia kumu-impeach, huwezi kuruhusu chombo chenu cha ujasusi kipekuliwe na majasusi kutoka nchi nyingine. Hili linaweza kufanyika pale tu nchi ikipinduliwa na jeshi la nchi nyingine kama Iraq au Libya.

Sijui kama unanielewa sasa.
 
Rabda nchi alie iasisi baba yako haina kiongozi lakini kama ni nchi yetu ya tanzania ina uongozi imara na hata mataifa makubwa wameisifu kwa kuwa na kiongozi wa kutiliwa mfano africa,wewe nani haswa mbk huseme nchi hii haina kiongozi,labda useme hilo shilika lenu la kasikazini ambalo mwenyekiti wenu ruksa kuzaa na wabunge wenu wa viti maalumu ndio hamna uongozi tena shika adabu yako.
Mataifa gani makubwa ha yo?? Yule aliokuwa anakejeliwa na CNN kuhusu hesabu juu ya makinikia ya ACACIA ama alioitwa bulldozer kwa kejeli??

Mfano gani wa kuigwa nipe hata mmoja yaani toka Aingie bajeti ya maendeleo haijawahi kutekelezeka hta 50% ndio aigwe??? Zaidi ya nusu ya watanzania hawana maji safi na salama ila anapesa za kujenga airport chato!! Kazi kwelikweli
 
Kwahiyo haki wamadeserve watu MUHIMU tu? Je yule Just a mere padri wa Zanzibar mpaka mkaita FBI ndio muhim kuliko hta Rais wa wanasheria au mbunge wa jimbo lenye watu maelfu na maelfu?? Acha dharau mkuu kma hana umuhimu kwako familia yake pekee inaona umuhimu wake hivyo muhim haki itendeke kwa kuangalia haki ya kuishi sio LEVEL ya umuhimu wa mtu

just a mere padre???? ha ha acha matusi

zanzibar ni nchi tofauti

hizi kejeli mnakufa nazo ujue
 
Actually mkuu jibu ni rahisi sana.

CDM wanavituhumu vyombo vya usalama, hasa usalama wa taifa, kuhusika na shambulizi la Lissu.

Sasa ukiwaleta Scotland Yard (chombo cha kijasusi) cha Uingereza kuja kuwachunguza Usalama wa Taifa (chombo cha kijasusi cha) TZ huoni kuwa kuna tatizo hapo?

Waingereza watapata nafasi ya kukichambua chombo chetu cha kijasusi na ulinzi wa taifa na kujua wanachotakiwa na wasichotakiwa kukijua na kuhatarisha usalama wa nchi yetu.

Yaani kweli CDM wanataka haya mashirika ya kijasusi ya nje yaje hapa na kudodosa namna chombo chetu cha kijasusi kinavyofanya kazi yake ya ki-intelijensia?

Upelelezi wanaoutaka CDM ni ule wa kuja kuivua nguo system yetu ya ukachero na ku-compromize security ya Rais pamoja na serikali yake. Hii hatuwezi kuruhusu hata kidogo.

Wanachotaka kifanywe sio sawa na kuwaleta ili kupeleleza moto ulivyoanza kwenye benki bali ni kuleta majasusi wa nje watakaoweza kubaini Rais Magufuli analindwaje. Wanaweza kutuwekea teknolojia itakayokuwa inakusanya na kuwapelekea taarifa nyeti wakiondoka.

This is how serious ombi la CDM linachotaka kufanya. Kuna maswali mengi yanayonijia kwa sababu CDM wamelivalia njuga hili suala tangu siku Lissu aliposhambuliwa. Ni kwamba CDM walikuwa na huu mkakati hata kabla ya Lissu kushambuliwa.

☆ Je kuna njama za kumuua Rais Magufuli?

☆ CDM wamefanya mazungumzo na mashirika gani ya kijasusi ulimwenguni kuja TZ ili kufanya upekuzi huu wa usalama wa taifa?

☆ CDM wanafahamianaje na hawa majasusi wa nje na walianza haya mawasiliano yao lini?

☆ Ni nani aliewapa hili wazo la kuwaleta hawa majasusi kuja kubaini ulinzi wa Rais wetu?

☆ Mipango hii ilianzwa lini na ni nani ndani ya CDM anaeiratibu?

☆ Je kuna mpango wa kuipindua serikali ya Magufuli?


Haya ni maswali chokonozi lakini wakati wowote mtu anapotaka kujua unapoficha funguo zako za nyumba lazima ujiulize kama ana lengo la kuja kukuibia ukiwa hupo nyumbani?

CDM muwe waangalifu sana na hawa marafiki zenu majasusi. Sio kila wanalopendekeza kwenu mlikubali.

Na kama nyie ndio mlioanzisha haya mazungumzo na hawa majasusi, basi Watanzania wote wanapaswa kuwaogopa kama ukoma. Ni dhahiri lengo lenu sio zuri. Hapa hamtaki kumjua mshambuliaji wa Lissu tu bali ombi hili linajieleza wazi kwa yoyote yule anaeutambua ujasusi kuwa linalengo baya zaidi kwa taifa hili.

STOP THIS NONSENSE.

Mkuu Mystery sikushambulii wewe. Heshima kwako.
Wewe hamna ulichoaandika kabisa. Andishi lako linatupa "Insight" kuwa suspect ni usalama wa taifa na kwa mantiki hiyo unaombea walindwe kwa kisingizio cha kulinda taifa.!

Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa wao wako juu ya sharia hivyo wanahaki ya kufanya uhalifu wowote ule and do away with it..!

Kwa fikra kama hizi za kufikiria kuwa sheria inaweza kuwa na double standard, I doubt kama uko above 18 na kwa hilo, naomba hata wachangiaji wengine wakusamehe bure due to the fact that, you cannot be held fully responsible for this nonsensical ideas you have posted here.
 
Sisi sio Marekani, kama wao hawakutaka wachunguzi kutoka nje hiyo haijustfy kila nchi kufanya kama wao bro...
Unataka kuiga mambo ya Marekani? Mpaka sasa jambo gani umeliiga kwao ukafanikiwa? Elimu? Huduma za afya? Miundombinu? Technology? Mawasiliano? Democracy?
Umeshinda mkuu.

Huwa ninajaribu mara nyingi kutoa maelezo ya concepts ngumu katika lugha iliyo rahisi kueleweka lakini kwako naona nimeshindwa. Sorry, I tried.
 
Wachunguzi wa kigeni wakachunguze huko kwao! Sisi hatujashindwa kuchunguza!! Mleta uzi pia uelewe tofauti ya kuogopa na kukataaa!!

Mkuu umejitambulisha mwenyewe kwa kusema, nanukuu "Sisi hatujashinwa kuchunguza." Sina shaka kwa kauli hiyo kuwa wewe ni mmoja wa vyombo vya usalama, bila shaka utatueleza uchunguzi wa kupotea kwa Ben Saanane mmeuweza? Je umeishia wapi? Uchunguzi wa waliomteka na kumtesa Dr Ulimboka mliuweza? Je umeishia wapi. Uchunguzi wa walio muua Mwazo mliuweza? Je umeishia wapi. Uchunguzi wa miili ya watu waliokufa iliyo okotwa Ruvu mliuweza? Je umeishia wapi. Uchunguzi wa waliomteka mwanamuziki, Roma mliuweza? Je umeishia wapi? Uchunguzi wa alimnyooshea bastola Mh Nape mchana kweupe mbele ya kadamnasi ya watu na picha yake kuonyeshwa kwenye media mbali mbali mmeuweza? Je umeishia wapi. Uchunguzi wa uvamizi wa clouds media na watu wenye silaha mliuweza? Je umeishia wapi. Mkuu kama hunamajibu ya mswali hayo basi majigambo yako ni bure, kma mlishindwa yote hayo kwa hili la lisu hamna jipya.
 
Wewe hamna ulichoaandika kabisa. Andishi lako linatupa "Insight" kuwa suspect ni usalama wa taifa na kwa mantiki hiyo unaombea walindwe kwa kisingizio cha kulinda taifa.!

Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa wao wako juu ya sharia hivyo wanahaki ya kufanya uhalifu wowote ule and do away with it..!

Kwa fikra kama hizi za kufikiria kuwa sheria inaweza kuwa na double standard, I doubt kama uko above 18 na kwa hilo, naomba hata wachangiaji wengine wakusamehe bure due to the fact that, you cannot be held fully responsible for this nonsensical ideas you have posted here.
Haya
 
Unajua frustrations ninazopata ni kuwa watu wanashindwa kuelewa uzito wa kuwaruhusu majasusi wa nje kuja kupekuwa chombo chenu cha kijasusi.

Mimi siwatetei serikali pale wanapofanya maovu.

Kwa mfano yule mtu aliemtolea silaha Nape anapaswa kushughulikiwa. Kama yule ni mtu wa Usalama wa Taifa na alikuwa kazini pale basi ni vema serikali ingesema kuwa tunamjua na alivunja nidhamu ya kikazi na anashughulikiwa kiofisi. Hii ingetosha kabisa.

Lakini kukaa kimya wakati kila mtu alimuona mchana kweupe ni kuwafanya wananchi wasiwe na imani na serikali yao.

Tuchukue mathalan kama aliemshambulia Lissu ni askari wa Usalama wa Taifa (binafsi sidhani serikali ilihusika). Hii pia sio sababu (in fact hakuna sababu yoyote ile) ya kuwaruhusu Scotland Yard kuja kuwapekua Usalama wa Taifa.

Nitarudia tena. Hakuna sababu yoyote, whosoever itakayo-justify kuruhusu chombo chetu cha usalama kupekuliwa na spies wa nchi ya nje. Itakuwa hivyo kama serikali ipo chini ya CCM, au CDM, au CUF, au chama chochote kile.

Hata kama Raisi ni mbaya namnagani au kama tunakaribia kumu-impeach, huwezi kuruhusu chombo chenu cha ujasusi kipekuliwe na majasusi kutoka nchi nyingine. Hili linaweza kufanyika pale tu nchi ikipinduliwa na jeshi la nchi nyingine kama Iraq au Libya.

Sijui kama unanielewa sasa.
Bro Kifyatu! Huwezi kukata tawi la mti ulilolikalia! Mtaani kwako ukiwa na ugomvi na mtu, kisha ukafikwa na jambo baya suspect wa kwanza ni huyo mtu!
Watz wanajua sarakasi za Lissu na serikali ya Pombe Magufuli. Na ndo maana ushahidi wa kimazingira haraka sana unailenga serikali hii.
Ndiposa Serikali imekalia tawi (watuhumiwa) ambalo hawawezi kulikata (kujichunguza) wenyewe. Hapo akili ya kawaida inatusukuma kutaka uchunguzi kutoka nje ya nchi.
Uchunguzi huo of course jamaa hawawezi kufanya peke yao bila ushirikiano kutoka hapa, otherwise hawataambulia kitu, so hizo hofu zako kwamba jamaa watavipeleleza vyombo vyetu zinaishia hapo coz watakapojaribu kwenda nje ya point of reference ya kilichowaleta then termination ya kazi inawahusu...
 
Hivi kwa nini mnakua na moto sana kwa sasa kutaka wachunguzi kutoka nje,je mbona hamkua na moto huohuo wakutaka kuwaleta hao scotland yard kwa watz wanaopigwa lisasi kibiti,tanga na kwingineko na watu hao wasio julikana,leo yametokea chadema ndio mtake wachunguzi wa nje,acheni ubinafisi huo,mbina hamkutaka uchunguzi kuhusu kifo cha chacha wangwe japo kilikua tata?
Kwa sababu kibiti jeshi letu lilikuwa na "dhamira" ya kufanya uchunguzi
 
Bro Kifyatu! Huwezi kukata tawi la mti ulilolikalia! Mtaani kwako ukiwa na ugomvi na mtu, kisha ukafikwa na jambo baya suspect wa kwanza ni huyo mtu!
Watz wanajua sarakasi za Lissu na serikali ya Pombe Magufuli. Na ndo maana ushahidi wa kimazingira haraka sana unailenga serikali hii.
Ndiposa Serikali imekalia tawi (watuhumiwa) ambalo hawawezi kulikata (kujichunguza) wenyewe. Hapo akili ya kawaida inatusukuma kutaka uchunguzi kutoka nje ya nchi.
Uchunguzi huo of course jamaa hawawezi kufanya peke yao bila ushirikiano kutoka hapa, otherwise hawataambulia kitu, so hizo hofu zako kwamba jamaa watavipeleleza vyombo vyetu zinaishia hapo coz watakapojaribu kwenda nje ya point of reference ya kilichowaleta then termination ya kazi inawahusu...
Nimekusikia mkuu.
 
Sasa uhuni ukifanywa tusipeleleze kisa aliyehusika ni TISS?? Logic yako inatoka wapi mkuu?? Why r u assuming ni mtu wa TISS hta kma ni kweli kwahyo TISS kuua upinzani ni moja ya kazi zao? Kma serikali haitaki hayo si ikubali tu aliyejaribu kumuaa ni TISS ila atashughulikiwa kesi iishie hapo kuliko unajump kwenye conclusion kwamba ooooh ikiwa TISS imehusishwa wakati ushahidi huna

Kma Kupeleleza mbona zenji walienda padri alivopigwa risasi au umekariri tu kuwa wakija kuchunguza watagundua ni TISS hivyo TISS itapelelezwa!! Too irrelevant

Unajua frustrations ninazopata ni kuwa watu wanashindwa kuelewa uzito wa kuwaruhusu majasusi wa nje kuja kupekuwa chombo chenu cha kijasusi.

Mimi siwatetei serikali pale wanapofanya maovu.

Kwa mfano yule mtu aliemtolea silaha Nape anapaswa kushughulikiwa. Kama yule ni mtu wa Usalama wa Taifa na alikuwa kazini pale basi ni vema serikali ingesema kuwa tunamjua na alivunja nidhamu ya kikazi na anashughulikiwa kiofisi. Hii ingetosha kabisa.

Lakini kukaa kimya wakati kila mtu alimuona mchana kweupe ni kuwafanya wananchi wasiwe na imani na serikali yao.

Tuchukue mathalan kama aliemshambulia Lissu ni askari wa Usalama wa Taifa (binafsi sidhani serikali ilihusika). Hii pia sio sababu (in fact hakuna sababu yoyote ile) ya kuwaruhusu Scotland Yard kuja kuwapekua Usalama wa Taifa.

Nitarudia tena. Hakuna sababu yoyote, whosoever itakayo-justify kuruhusu chombo chetu cha usalama kupekuliwa na spies wa nchi ya nje. Itakuwa hivyo kama serikali ipo chini ya CCM, au CDM, au CUF, au chama chochote kile.

Hata kama Raisi ni mbaya namnagani au kama tunakaribia kumu-impeach, huwezi kuruhusu chombo chenu cha ujasusi kipekuliwe na majasusi kutoka nchi nyingine. Hili linaweza kufanyika pale tu nchi ikipinduliwa na jeshi la nchi nyingine kama Iraq au Libya.

Sijui kama unanielewa sasa.
 
Nimeeleza kuwa panapototea utata ni lazima waletwe wachunguzi toka nje.

Sasa swali la kujiuliza ni kwa nini serikali hii ya awamu ya tano inapata "kigugumizi" kuwaleta wachunguzi hao toka nje??
Sirro na Makonda wana majibu ya msingi.OVER!
 
Umeshinda mkuu.

Huwa ninajaribu mara nyingi kutoa maelezo ya concepts ngumu katika lugha iliyo rahisi kueleweka lakini kwako naona nimeshindwa. Sorry, I tried.
All the best, ikiwa unamaanisha ulichokiandika au nyuma ya pazia una agenda nyingine. Kila la heri. Utamaduni bora ni kushindana kwa hoja sio miguu ya kuku.
 
Hayo ni mambo ya USA kila mtu ana uamuzi wake usilazimishe na wao eti waombe kutoka kwetu.
Mbona sijasikia watu wa US au wa Europe wana apply kuja kusoma kwenye vyuo vyetu? Au mbona hawaja ajiri kocha wa mpira kutoka kwetu? Sisi kila siku makocha wetu wanatoka ulaya, vyuo Ulaya
Viwango vyetu ni duni.
 
Bado jeshi letu la police linao uwezo wa kufanya huo uchunguzi na ukweli ukawekwa wazi shida iliyopo ni hatuwezi kujichunguza.Kama sio wao basi waruhusu Uchunguzi kutoka nje na Chadema walipie gharama wenyewe na Mimi nitakuwa mmoja wa watakaochangia ilimradi ukweli upatikane.
 
Sasa uhuni ukifanywa tusipeleleze kisa aliyehusika ni TISS?? Logic yako inatoka wapi mkuu?? Why r u assuming ni mtu wa TISS hta kma ni kweli kwahyo TISS kuua upinzani ni moja ya kazi zao? Kma serikali haitaki hayo si ikubali tu aliyejaribu kumuaa ni TISS ila atashughulikiwa kesi iishie hapo kuliko unajump kwenye conclusion kwamba ooooh ikiwa TISS imehusishwa wakati ushahidi huna

Kma
Sijui niielezeje. Kuruhusu chombo cha kijasusi cha nchi ya nje kukipekua chombo chenu cha kijasusi ni kupoteza sovereignty yenu. Literally ni kuwa mme-surrendered usalama wa nchi yenu.
 
Kumekuwa na taarifa zinazokinzana. CCM wakiwatuhumu Chadema kwa tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu kuwa ni wao wenyewe waliofanya tukio hilo, wakidai kuwa ni kutokana na vita ya kugombea uongozi wa Chama hicho, ambapo Tundu Lissu ameonyesha kuwa tishio.

Na Chadema nao wamekuwa wakivishutumu vyombo vya ulinzi vya ndani, kuwa ingawa vina uwezo wa kuchunguza tukio hilo, lakini dhamira ya kulichunguza havina, kwa kuwa 'vinapokea maelekezo toka juu kuwa visichunguze tukio hilo.

Inapotokea mkanganyiko wa aina hiyo, njia pekee ni kuleta wapelelezi toka nje ambao wanakuwa "neitral"ili kukata mzizi wa fitina.

Hii itakuwa si Mara ya kwanza kiwaleta wapelelezi toka nje. Kwa kuwa mnamo mwaka 1984, serikali hii hii ilileta wapelelezi wa Scotland Yard toka Uingereza wakati ulipotokea moto wenye utata uliounguza Benki kuu ya Tanzania.

Sasa swali ninalolijiuliza ni kwa nini safari hii serikali yetu ambayo Leo ni siku zaidi ya 40 tokea tukio hilo limetokea, hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa na kuhojiwa kuhusu tukio hilo la kupigwa risasi Tundu Lissu zaidi ya 30, tena mchana kweupe, tena kwenye makazi ya viongozi wa kitaifa, licha ya dereva wa Lissu kuwatajia gari iliyokuwa ikiwafuatilia kuwa ni Nissan Patrol nyeupe yenye namba T932AKN??

Dawa ni moja tu kuleta wachunguzi wa toka nje ili waje wakate mzizi wa fitina kuwa ni nani aliyehusika na tukio hilo la kinyama kupita kiasi ambalo amefanyiwa mtanzania mwenzetu, Tundu Lissu.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Tundu Lissu arejee kwenye afya yake ya awali.

Mimi sikubaliani kabisa na kuleta wapelelezi kutoka Nje. Haw wetu wanafaa na wanaelewa vizuri mazingira yetu. halafu kwanini tunataka kujidhalilisha kwa wazungu? Tumepata uhuru mwaka 1961, miaka 56 imepita tangu tupate Uhuru, bado tunaenda kulambalamba miguu ya wazungu? Kamanda Sirro na wenzake wanamudu kabisa suala hili. Tunachotakiwa ni kuwa wavumilivu tu. Leo Lissu kapigwa risasi tutaleta Scotland yad, namimi nitadai mjomba wangu kule albino aliyekatwa mkono tuite scotland yard kwani tangu akatwe mkono miaka miwili iliyopita bado mtu aliyemkata mkono hajapatikana, na yule mtoto wa shangazi aliyeuwawa na majambazi kwenye akitoa pesa tigo pesa bado muuaji hajapatikana na mimi niingie kenye listi hiyo waitwe hao scotland yard wamtafute aliyemuua mtoto wa shangazi yangu... the list is endless.
 
Back
Top Bottom