Ni kwanini Serikali hii inaogopa wachunguzi wa kigeni kuchunguza tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu?

CCTV Camera zinaweza wikawa zimetolewa na askari, lakini tunajuaje kama wilikuwa zinafanyakazi? Mara ngapi tunaona Camera zipo lakini zimeharibika na inachukua muda mrefu kuziactivate? Mbona ni jambo la kawaida hilo? Na Hata kama ni mzima unajuaje kama picha zilizotoka hazikuwa very clear kiasi ambcho Polisi kushindwa kufahamu ni nani jambazi aliyehusika kwenye tukio hilo? Kuna theory nyingi tu. Pia inawezekana polisi wanainformation nyingi wamepata kutoka kwenye hizo CCTV camera lakini bado wanacollect data. Ni bora wafanye invstigation zao kwa makini kuliko kukurupuka tu ili kuwafurahisha watu. Tuwe na Subira. Polisi wanafanya kazi nzuri mara nyingi.
Kumbe unakiri kuwa CCTV kuwa huenda ziilikuwa mbovu!

Sasa swali tualojiuliza ni kwa vipi hizo CCTV ziharibike mars tu iiljpotokea hilo tukio??

Kweli imenenwa MWISHO WA UBAYA AIBU na siku ya kufa Nyani miti yote huteleza!
 
Kumekuwa na taarifa zinazokinzana. CCM wakiwatuhumu Chadema kwa tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu kuwa ni wao wenyewe waliofanya tukio hilo, wakidai kuwa ni kutokana na vita ya kugombea uongozi wa Chama hicho, ambapo Tundu Lissu ameonyesha kuwa tishio.

Na Chadema nao wamekuwa wakivishutumu vyombo vya ulinzi vya ndani, kuwa ingawa vina uwezo wa kuchunguza tukio hilo, lakini dhamira ya kulichunguza havina, kwa kuwa 'vinapokea maelekezo toka juu kuwa visichunguze tukio hilo.

Inapotokea mkanganyiko wa aina hiyo, njia pekee ni kuleta wapelelezi toka nje ambao wanakuwa "neutral"ili kukata mzizi wa fitina.

Hii itakuwa si Mara ya kwanza kiwaleta wapelelezi toka nje. Kwa kuwa mnamo mwaka 1984, serikali hii hii ilileta wapelelezi wa Scotland Yard toka Uingereza wakati ulipotokea moto wenye utata uliounguza Benki kuu ya Tanzania.

Sasa swali ninalolijiuliza ni kwa nini safari hii serikali yetu ambayo Leo ni siku zaidi ya 40 tokea tukio hilo limetokea, hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa na kuhojiwa kuhusu tukio hilo la kupigwa risasi Tundu Lissu zaidi ya 30, tena mchana kweupe, tena kwenye makazi ya viongozi wa kitaifa, licha ya dereva wa Lissu kuwatajia gari iliyokuwa ikiwafuatilia kuwa ni Nissan Patrol nyeupe yenye namba T932AKN??

Dawa ni moja tu kuleta wachunguzi wa toka nje ili waje wakate mzizi wa fitina kuwa ni nani aliyehusika na tukio hilo la kinyama kupita kiasi ambalo amefanyiwa mtanzania mwenzetu, Tundu Lissu.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Tundu Lissu arejee kwenye afya yake ya awali.
Hukuuliza wachunguzi hao mbona hawakuombwa na chadema kwenda Kibiti?
 
Suala la Lissu lina hisia kali ndani yake
- Msifikiri ni rahisi mtu akukosekose kukuua halafu aseme akulipie ukatibiwe" by Freeman Mbowe.

Hii inatosha kujua ni nani walihusika licha ya pole zao za kinafiki.

Hii haitoshi kabisa kujua nani kahusika. Inabidi uangalie anayesema maneno hayo ana nia ipi? Ni Bba wa huyo? Mama wa huyo? Mwana siaza ambae kazi yake kubwa ni kuangalia dirisha gani apitie ili aidiscredit Serikali iliyoo madarakani. Hizo ndizo tunaita siasa ya maji taka. Wote tumesononeshwa na tukio la Lissu sio siri. Lakini tusisahau Lissu ni wakili machachari. Je wale aliowanyima haki yao kwa namna moja au nyingine hakuna ambae amekasirika kiasi cha kutaka kuutoa uhai wake? kwa nini tufikirie serikali, serikali, serikali tuuu? Tusiwe one track minded. Tujaribu kuona option mbalimbali za wale waoweza kumdhuru Lissu. hata wale wanaouzunguka kwa karibu wanaona nitishio huko mbele. Tuache kuidhalalisha serikali na kuwa na mawazo potovu jamanii
 
Tanzania ni nchi huru wewe, tutajifanyia mambo yetu wenyewe.[/QU

Mimi nakereka sana n wale wanaodhani wazungu ni kila kitu! Hao wazunguw atakuwa wanatucheka sana kwenye mikutano yao ya gahwa kuona bado hatuamini vyombo vyetu vya usalama wakati wao - analia Balozi Mdogo wa Marekani akitembe kila mahali hapa anatumia Askari wetu kumlinda unadhani kama Marekani wangekuwa hawana imani wangemruhusu azunguke na askari wetu? Hebu tuache hizo za kukomba komba miguu ya wazungu. Mnatukera wananchi. Nyinyi ndio mkichukua nchi mtataka hata bodyguards wetu wawe wazungu! eee mangiiii!
 
Kwani wana-spy vyombo vyetu vya usalama au wanakuja kufanya uchunguzi ni kina nani waliohusika na hiyo attempt? Au kuna uhusiano kati ya waliohusika na vyombo vya usalama? Naomba kuelewa
Utajaza mwenyewe,km ww huna uelewa wa ulinzi wa nchi yetu endelea ku discus na wapuuzi wenzako mnaong'ang'ania siasa bila usalama wa nchi kwanza,hivi unajua hakuna watu wa hatari km wanasiasa,wapo tayali kusaidiana na watu wa nje wasiotutakia mema nchi yetu hili mladi yeye mambo yake kisiasa yamwendee vizuri.heko vyombo vyetu vya usalama kwa kua makini na kuchukua action kwa yeyote anayetaka kutuletea hatali kwa utashi wake.usalama wa nchi wapo wanaousimamia sio wewe unapiga kelele tu bila kujua lolote.umeulizwa ushswai kusikia wamarekani wakitaka scotland yard wakaichunguze CIA kwa kifo cha kenedy hebu jibu hilo swali najua huwezi kujibu kwa kua ubongo wako upo kwenye siasa za kasikazini tu.mungu ilinde tz mungu msimamie magufuri.
 
Utajaza mwenyewe,km ww huna uelewa wa ulinzi wa nchi yetu endelea ku discus na wapuuzi wenzako mnaong'ang'ania siasa bila usalama wa nchi kwanza,hivi unajua hakuna watu wa hatari km wanasiasa,wapo tayali kusaidiana na watu wa nje wasiotutakia mema nchi yetu hili mladi yeye mambo yake kisiasa yamwendee vizuri.heko vyombo vyetu vya usalama kwa kua makini na kuchukua action kwa yeyote anayetaka kutuletea hatali kwa utashi wake.usalama wa nchi wapo wanaousimamia sio wewe unapiga kelele tu bila kujua lolote.umeulizwa ushswai kusikia wamarekani wakitaka scotland yard wakaichunguze CIA kwa kifo cha kenedy hebu jibu hilo swali najua huwezi kujibu kwa kua ubongo wako upo kwenye siasa za kasikazini tu.mungu ilinde tz mungu msimamie magufuri.
Plain stupidity When I read from idiots like this defending National security at the expense of citizen protection I am now confident that our security systems have been invaded by tabula rasas. Some rubbish can think they can hide below this porous table wait---------
 
Hawawezi kujichunguza,hawawezi kujikamata. Taarifa wanazo zitaka si kwa ajili ya akufanikisha kumkamata mshambuliaji bali zitatumika dhidi ya mshambuliwaji. Zinakusanywa taarifa ili ipangwe namna bora ya kumhami yetote aliye shiriki kwenye shambulizi.

Tusiwe wepesi wa kusahau pale soweto arusha, Mwigulu Nchemba aliporatibu
Hii haitoshi kabisa kujua nani kahusika. Inabidi uangalie anayesema maneno hayo ana nia ipi? Ni Bba wa huyo? Mama wa huyo? Mwana siaza ambae kazi yake kubwa ni kuangalia dirisha gani apitie ili aidiscredit Serikali iliyoo madarakani. Hizo ndizo tunaita siasa ya maji taka. Wote tumesononeshwa na tukio la Lissu sio siri. Lakini tusisahau Lissu ni wakili machachari. Je wale aliowanyima haki yao kwa namna moja au nyingine hakuna ambae amekasirika kiasi cha kutaka kuutoa uhai wake? kwa nini tufikirie serikali, serikali, serikali tuuu? Tusiwe one track minded. Tujaribu kuona option mbalimbali za wale waoweza kumdhuru Lissu. hata wale wanaouzunguka kwa karibu wanaona nitishio huko mbele. Tuache kuidhalalisha serikali na kuwa na mawazo potovu jamanii
Mtuhumiwa namba moja ni serekali
 
CCTV Camera zinaweza wikawa zimetolewa na askari, lakini tunajuaje kama wilikuwa zinafanyakazi? Mara ngapi tunaona Camera zipo lakini zimeharibika na inachukua muda mrefu kuziactivate? Mbona ni jambo la kawaida hilo? Na Hata kama ni mzima unajuaje kama picha zilizotoka hazikuwa very clear kiasi ambcho Polisi kushindwa kufahamu ni nani jambazi aliyehusika kwenye tukio hilo? Kuna theory nyingi tu. Pia inawezekana polisi wanainformation nyingi wamepata kutoka kwenye hizo CCTV camera lakini bado wanacollect data. Ni bora wafanye invstigation zao kwa makini kuliko kukurupuka tu ili kuwafurahisha watu. Tuwe na Subira. Polisi wanafanya kazi nzuri mara nyingi.
Yes waliona zilikuwa hazifanyi kazi na wakazitoa wakati HUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU!! Damn shit go and cheat your infant after popping his/her nostrils
 
Bro Kifyatu! Huwezi kukata tawi la mti ulilolikalia! Mtaani kwako ukiwa na ugomvi na mtu, kisha ukafikwa na jambo baya suspect wa kwanza ni huyo mtu!
Watz wanajua sarakasi za Lissu na serikali ya Pombe Magufuli. Na ndo maana ushahidi wa kimazingira haraka sana unailenga serikali hii.
Ndiposa Serikali imekalia tawi (watuhumiwa) ambalo hawawezi kulikata (kujichunguza) wenyewe. Hapo akili ya kawaida inatusukuma kutaka uchunguzi kutoka nje ya nchi.
Uchunguzi huo of course jamaa hawawezi kufanya peke yao bila ushirikiano kutoka hapa, otherwise hawataambulia kitu, so hizo hofu zako kwamba jamaa watavipeleleza vyombo vyetu zinaishia hapo coz watakapojaribu kwenda nje ya point of reference ya kilichowaleta then termination ya kazi inawahusu...
Sasa kama wanataka kuchunguza TISS kutokana na viashiria walivyoviona itakuaje?
 
Suala la Lissu lina hisia kali ndani yake
- Msifikiri ni rahisi mtu akukosekose kukuua halafu aseme akulipie ukatibiwe" by Freeman Mbowe.

Hii inatosha kujua ni nani walihusika licha ya pole zao za kinafiki.

Halafu watu bado wanataka uchunguzi. Tatizo ni sheria na wasimamizi wake wamekua compromised
 
Kumekuwa na taarifa zinazokinzana. CCM wakiwatuhumu Chadema kwa tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu kuwa ni wao wenyewe waliofanya tukio hilo, wakidai kuwa ni kutokana na vita ya kugombea uongozi wa Chama hicho, ambapo Tundu Lissu ameonyesha kuwa tishio.

Na Chadema nao wamekuwa wakivishutumu vyombo vya ulinzi vya ndani, kuwa ingawa vina uwezo wa kuchunguza tukio hilo, lakini dhamira ya kulichunguza havina, kwa kuwa 'vinapokea maelekezo toka juu kuwa visichunguze tukio hilo.

Inapotokea mkanganyiko wa aina hiyo, njia pekee ni kuleta wapelelezi toka nje ambao wanakuwa "neutral"ili kukata mzizi wa fitina.

Hii itakuwa si Mara ya kwanza kiwaleta wapelelezi toka nje. Kwa kuwa mnamo mwaka 1984, serikali hii hii ilileta wapelelezi wa Scotland Yard toka Uingereza wakati ulipotokea moto wenye utata uliounguza Benki kuu ya Tanzania.

Sasa swali ninalolijiuliza ni kwa nini safari hii serikali yetu ambayo Leo ni siku zaidi ya 40 tokea tukio hilo limetokea, hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa na kuhojiwa kuhusu tukio hilo la kupigwa risasi Tundu Lissu zaidi ya 30, tena mchana kweupe, tena kwenye makazi ya viongozi wa kitaifa, licha ya dereva wa Lissu kuwatajia gari iliyokuwa ikiwafuatilia kuwa ni Nissan Patrol nyeupe yenye namba T932AKN??

Dawa ni moja tu kuleta wachunguzi wa toka nje ili waje wakate mzizi wa fitina kuwa ni nani aliyehusika na tukio hilo la kinyama kupita kiasi ambalo amefanyiwa mtanzania mwenzetu, Tundu Lissu.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Tundu Lissu arejee kwenye afya yake ya awali.
Mbwa Hata awe Mkali Vipi Hawezi Kuung'ata Mkia Wake
 
Hata kuku asiye na akili anajua ni nani walitaka kumuua Lissu. Karma is a bitch Mungu atajibu tu,tena namuomba amfanye kichaaa aanze kuokota makopo sijui watamficha wapi
 
Kumekuwa na taarifa zinazokinzana. CCM wakiwatuhumu Chadema kwa tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu kuwa ni wao wenyewe waliofanya tukio hilo, wakidai kuwa ni kutokana na vita ya kugombea uongozi wa Chama hicho, ambapo Tundu Lissu ameonyesha kuwa tishio.

Na Chadema nao wamekuwa wakivishutumu vyombo vya ulinzi vya ndani, kuwa ingawa vina uwezo wa kuchunguza tukio hilo, lakini dhamira ya kulichunguza havina, kwa kuwa 'vinapokea maelekezo toka juu kuwa visichunguze tukio hilo.

Inapotokea mkanganyiko wa aina hiyo, njia pekee ni kuleta wapelelezi toka nje ambao wanakuwa "neutral"ili kukata mzizi wa fitina.

Hii itakuwa si Mara ya kwanza kiwaleta wapelelezi toka nje. Kwa kuwa mnamo mwaka 1984, serikali hii hii ilileta wapelelezi wa Scotland Yard toka Uingereza wakati ulipotokea moto wenye utata uliounguza Benki kuu ya Tanzania.

Sasa swali ninalolijiuliza ni kwa nini safari hii serikali yetu ambayo Leo ni siku zaidi ya 40 tokea tukio hilo limetokea, hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa na kuhojiwa kuhusu tukio hilo la kupigwa risasi Tundu Lissu zaidi ya 30, tena mchana kweupe, tena kwenye makazi ya viongozi wa kitaifa, licha ya dereva wa Lissu kuwatajia gari iliyokuwa ikiwafuatilia kuwa ni Nissan Patrol nyeupe yenye namba T932AKN??

Dawa ni moja tu kuleta wachunguzi wa toka nje ili waje wakate mzizi wa fitina kuwa ni nani aliyehusika na tukio hilo la kinyama kupita kiasi ambalo amefanyiwa mtanzania mwenzetu, Tundu Lissu.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Tundu Lissu arejee kwenye afya yake ya awali.
Ni kweli kabisa kwa sababu kule marekani baada ya kuuawa JFK waliwafuata wachina wawasaidie kwenye uchunguzi
 
Ni concept ndogo tu,hawawez kuja kuchunguza tukio bila kuichunguza SERIKALI. Na inamaana hadi idara ya TISS,POLISI NA JESHI.Sasa huoni ni kuweka rehani usalama wa taifa?
Hilo swali limeshajibiwa kwenye uzi huu kaka, pitia taratibu utayakuta majibu humu humu yamo tayari
 
Back
Top Bottom