Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
Kuna mahala fulani nilihamia Uswahilini na Siku moja nikasikia Kilio kama cha Mtoto Mdogo anamlilia Mama yake na nilipotoka zangu tu nje kwa nia njema ya kwenda Kumuangalia huyo Mtoto nikihisi ametelekezwa na Mama yake nikaishia kukutana na Paka Wawili wakilia hivyo tena kwa Sauti ya pamoja na nikadhani watanikimbia badala yake wakaanza hapo hapo Kutiana mbele yangu.
Nashauri Siku zingine kukifanyika Sensa ya Watu Mkoani Dar es Salaam ijumuishe na hawa Paka kwani huenda ni Binadamu Waandamizi Wenzetu.
Nashauri Siku zingine kukifanyika Sensa ya Watu Mkoani Dar es Salaam ijumuishe na hawa Paka kwani huenda ni Binadamu Waandamizi Wenzetu.