Ni kwanini operesheni nyingi mfano matumizi ya EFD,Bureau de change na sasa mitumba huanzia Arusha, Moshi na Manyara?

Kididimo

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
3,791
3,360
Mara nyingi nimeona operesheni nyingi zinapotangazwa huanzia huko. Hata kabla elimu haijasambaa vyema kwa walengwa, harakaharaka inaanzia huko. Mifano ipo ya kutosha. Mfano hili la ukatazaji nguo za ndani za mitumba. Mitumba mingi inashuka Bandarini Dar, pale ndo operesheni zingalianzia Dar,. Lakini nimeona ITV operesheni imeanzia Arusha na Moshi. Hapa nahitaji kueleweshwa kidogo ni kwa nini.
 
1957 mikoa ya kaskazini zilijitangazia uhuru wao wa kutaka kuwa nchi huru, hvy serikali wanaamua kuwapa kipaumbele kwa kila kitu ili wasijitenge.
Inawezekana viongozi wa wakati huo hawakuwaelewa vizr. Maeneo kama Biafra, Ogaden nk yaliendesha harakati unazosema, je hao wa kaskazini walikuwa na mfanano kama huo?
 
Back
Top Bottom