Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
Nini husababisha hii hali kwani sijaanza Kukutana nayo juzi, jana au leo kutoka kwa Wanawake ambao huwa nakutana nao hasa katika Matukio ambayo muda mwingine huleta Mshtuko kama Ajali au Taarifa za Misiba.
Na kuna Mmoja nakumbuka akiwa Kanisani kabisa kwa Kutokuamini kuwa Siku hiyo alikuwa anaolewa Kweli nae hali hii ilimtokea japo Wasaidizi walijaribu Kumuokoa.
Na kuna Mmoja nakumbuka akiwa Kanisani kabisa kwa Kutokuamini kuwa Siku hiyo alikuwa anaolewa Kweli nae hali hii ilimtokea japo Wasaidizi walijaribu Kumuokoa.