Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Katika hii dunia kuna watu huwa hawaeleweki ukiwa katika maisha msoto hutosikia ndugu na jamaa wanakutafuta hata unapojaribu kuwatafuta hata salamu msalimiane kila mtu anajifanya yupo bizee wengine hata simu zako hawataki kuzipokea ,
Ila sasa Mungu akijalia ukavuka hatua flani katika maisha na kuanza safari ya mafanikio ndo unaona mijitu inaanza kukutafuta. Simu kila saa za mtu anataka muonane, mwingine Mara akualike kwene kikao cha harusi, mwingine Mara Ohoo Mimi mjomba wako upande wa mama yako, mwingine Mara Ohoo Mimi sijui ndugu yako upande sijui nani nani ,
Yaani mtu unakuta ana force mjuane.
Wakati kipindi cha msoto alikuwa hana muda na wewe ivi tatizo mini
Mtu akutafute pale anaposikia wewe sio yule wa jana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila sasa Mungu akijalia ukavuka hatua flani katika maisha na kuanza safari ya mafanikio ndo unaona mijitu inaanza kukutafuta. Simu kila saa za mtu anataka muonane, mwingine Mara akualike kwene kikao cha harusi, mwingine Mara Ohoo Mimi mjomba wako upande wa mama yako, mwingine Mara Ohoo Mimi sijui ndugu yako upande sijui nani nani ,
Yaani mtu unakuta ana force mjuane.
Wakati kipindi cha msoto alikuwa hana muda na wewe ivi tatizo mini
Mtu akutafute pale anaposikia wewe sio yule wa jana
Sent using Jamii Forums mobile app