Amiliki
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,085
- 1,004
Viongozi wetu bado wanataka kutufanya Watanzania mazezeta tusioweza kujua wapi kulia na wapi kushoto. Kukuzwa kwa uzito wa Msiba wa Msanii kanumba ilikuwa ni moja ya Technique ya kuzima jambo kubwa lililotokea ambalo lilikuwa ni kashfa kubwa ambayo ingeitikisa serikali.
Vyombo vya habari vingi vilikuwa pamoja na kutengeneza kipato kwa kuandika habari za Kanumba, bila ya kuelewa vilisaidia sana kuficha ukweli wa kilichokuwa kinaendelea na Serikali ilijitahidi sana kuupa uzito kwa Mawaziri wake kuwepo msibani ili Front pages ziwe na habari ya msiba wa Kanumba.
Vyombo vya habari vingi vilikuwa pamoja na kutengeneza kipato kwa kuandika habari za Kanumba, bila ya kuelewa vilisaidia sana kuficha ukweli wa kilichokuwa kinaendelea na Serikali ilijitahidi sana kuupa uzito kwa Mawaziri wake kuwepo msibani ili Front pages ziwe na habari ya msiba wa Kanumba.