Ni kwanini Lipumba ameshidwa kukubalika kisiasa Tabora na Shinyanga wakati ndo kwao?

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,179
3,539
Lipumba ni mmoja kati ya wanasiasa wakongwe hapa nchini.

Lipumba ni mnyamwezi anaetokea maeneo ya UTUSINI ILOLANGURU TABORA mwenye asili kutoka jamii ya wasubwa.

Asilimia kubwa ya wasubwa wako TABORA,Shinyanga na Geita hawa ni wanyamwezi.

Lakini tangu nimefika TABORA nimeenda Kahama hadi Geita na Ilolanguru kote huko Lipumba ameshidwa kukubalika kabisa kisiasa.

Tangu aanze kugombea Urais mwaka 1995 hadi Leo hii Lipumba ameshidwa kukubalika unyamwezi hadi usukamani yaani hata ule ushawishi wa kupata angalau diwani au mbunge bado kabisa

Hadi leo hii ukienda TABORA ukiwauliza wana TABORA ni kwanini ndugu yenu hakubaliki kisiasa huwezi kupata jibu.

Sasa sijajua kuna tatizo gani!
 
Lipumba ni mmoja kati ya wanasiasa wakongwe hapa nchini.

Lipumba ni mnyamwezi anaetokea maeneo ya UTUSINI ILOLANGURU TABORA mwenye asili kutoka jamii ya wasubwa.

Asilimia kubwa ya wasubwa wako TABORA,Shinyanga na Geita hawa ni wanyamwezi.

Lakini tangu nimefika TABORA nimeenda Kahama hadi Geita na Ilolanguru kote huko Lipumba ameshidwa kukubalika kabisa kisiasa.

Tangu aanze kugombea Urais mwaka 1995 hadi Leo hii Lipumba ameshidwa kukubalika unyamwezi hadi usukamani yaani hata ule ushawishi wa kupata angalau diwani au mbunge bado kabisa

Hadi leo hii ukienda TABORA ukiwauliza wana TABORA ni kwanini ndugu yenu hakubaliki kisiasa huwezi kupata jibu.

Sasa sijajua kuna tatizo gani!
Asili ya kweli ya Lipumba ni congo ingawa yy alikuja Tz akiwa kichanga na ndugu zake wengi walihamia Rwanda kilipo kile kikundi chake cha kigaidi wazee wa Nissan nyeupe, huko Tabora hakubaliki Kwa sababu wanajua Lipumba ni mkongo man pia wanajua ni chuna buzi wa CCM si mpinzani halisi ni msomi feki na Dalali wa siasa, wasukuma na wanyamwezi wapo makini kwenye kuwashitukia mamluki.
 
Asili ya kweli ya Lipumba ni congo ingawa yy alikuja Tz akiwa kichanga na ndugu zake wengi walihamia Rwanda kilipo kile kikundi chake cha kigaidi wazee wa Nissan nyeupe, huko Tabora hakubaliki Kwa sababu wanajua Lipumba ni mkongo man pia wanajua ni chuna buzi wa CCM si mpinzani halisi ni msomi feki na Dalali wa siasa, wasukuma na wanyamwezi wapo makini kwenye kuwashitukia mamluki.
 
Sasa Lipumba anakubalika na watanzania wapi? Labda hao waganga wa kienyeji anaoletewa na Abdalah kambaya
japo sasa hivi simkubali sana, ila kuna kipindi huko miaka ya 2000 nilimkubali na kujivunia yeye kuwa mtanzania, lkn ktk vipindi vyote vya maisha yake hajawahi kukubalika huko kwao angalau kumpa hata kura nyingi kama heshima
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom