Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Heshima zenu wadau zangu,
Kwa sasa nipo mkoani Mtwara ila kinachonishangaza katika huu mkoa.
Ni aina ya lugha ya kiswahili kiko tofauti ninachokijuaa yaani wakati sisi tunapaita Mtwara wao wanaita Ntwara, mtu wao wanasema 'ntuu'.
Sikubali wao ni 'chikubali' au sielewi wao wanasema 'chielewi' hayo ni baadhi ya maneno ninavyowasikia wenyeji wangu wakiongea ila kubwa ni kwanimi kiswahili chao kipo tofauti na kile cha kawaida?.
Kwa sasa nipo mkoani Mtwara ila kinachonishangaza katika huu mkoa.
Ni aina ya lugha ya kiswahili kiko tofauti ninachokijuaa yaani wakati sisi tunapaita Mtwara wao wanaita Ntwara, mtu wao wanasema 'ntuu'.
Sikubali wao ni 'chikubali' au sielewi wao wanasema 'chielewi' hayo ni baadhi ya maneno ninavyowasikia wenyeji wangu wakiongea ila kubwa ni kwanimi kiswahili chao kipo tofauti na kile cha kawaida?.