Tabash yamashta
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 271
- 210
Tatizo lipo kwako mtoa Uzi, Hukutembea mikoa mbalimbali, Mwanza nao wana kiswahili chao, Arusha,Dar, Sumbawanga,Mbeya,Musssoma,Tanga, nk.,, Kiujumla tembea Uyaone Na ujifunze mengi, Singida pia Hali kadhalika. Hii imetokana na matabaka ya Makabila yalioko Nchini, Pia kumbuka tatizo Kubwa zaidi lililo Pelekea watu kuwa na viswahili visivyo fanana, kumechangiwa sana na Kutopatiwa Elim mapema, watz walidumu ktk Lugha zao za Asili, Hili tatizo pia serekali ya ccm inapaswa kulaumia sana Kw kuwanyima watz Elim tangu mapema, Hivyo taifa limekuwa na watu wasiejuwa kiswahili ,,Ebana heshima zenu wadau zangu kwa sasa nipo mkoani mtwara ila kinachonishangaza katika huu mkoa .
Ni aina ya lugha ya kiswahili kiko tofaiti ninachokijuaa yaani wakati sisi tunapaita mtwara wao wanaita ntwara , mtu wao wanasema ntuu,
Sikubali wao ni chikubali au sielewi wao wanasema chielewi hayo ni baadhi ya maneno ninavyowasikia wenyeji wangu wakiongea ila issue
Kubwa ni kwanimi kiswahili chao kipo tofauti na kile cha kawaida