Wajinga nao lazima muwepo hata uende peponi utawakuta.Kwa nchi ya Marekani mtu yeyote yule awe ndani au nje ya nchi anayetaka kuhatarisha nchi ya Marekani na raia wake huyo anatangazwa ni adui wa taifa na adhabu yake ni kuwawa yeye na kazazi chake
Rejea tukio la kuwawa kwa sadam hussein na kazazi chake hussein na Hassan
Tayari sadam alikuwa ni adui wa Marekani
Nchi jirani hapa wamefagia masheikh wote wana harakati pale mombasa kwa kauli tu za kichochezi na hakuna cha kesi wala maini
Kifupi hata ukisoma vitabu vya Mungu akitokea mtu mmoja anahatarisha maisha ya watu wengi kwa kauli za kichochezi auwawe ili taifa libaki salama..
Sent using Jamii Forums mobile app