Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,826
- 2,057
Kagame na wewe amekuwa mfano wa kuigwa??Kama ulimsikiliza kagame ulipata jibu. Achana na upuuzi huo wa AI
Kagame na wewe amekuwa mfano wa kuigwa??Kama ulimsikiliza kagame ulipata jibu. Achana na upuuzi huo wa AI
Itv nao tulikuwa tunawategemea kupata habari za uhakika ila siku hizi hamna kitu muda wamekuwa waoga kupindukia hili kampuni sio muda litajifia wameshindwa kureport habari
Ndo muende huko waliko tangaza ,tuachieni media zetu pumb..vu nyie
Mimi naangalia maendeleo ya nchi sijali Democracy! Hata Mwalimu alikuwa mkali ajabu ndio maana nchi ikajengeka. Pamoja na mapungufu ya Magufuli ila kunyamazisha akina Kabendera au Tundu Lissu ni ruksaKagame na wewe amekuwa mfano wa kuigwa??
Siasa za vyama zimeharibu kabisa uwezo wa kufikiri wa vijana na hata wazee Tanzania. Ule uwezo wa watu kufikiri mambo madogo tu umepotea kabisa,sasa watu wanafikiria ndani ya vyama vyao vya siasa,hawatoki nje kabisa na kufikiria wakiwa huru. Ukisoma baadhi ya majibu katika huu uzi ndio utabaini ni kwakiasi gani watu hawafikiri sawasawa. |