Ni kwanini Burundi inajipendekeza mno kwa Tanzania, lakini Rwanda inajiimarisha yenyewe kwa Kujipambania hadi Kusifika Kimataifa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,865
Na cha Kushangaza zaidi kama Burundi inabebwa kwakuwa iliathirika na 1994 Genocide kwa Ripoti za UN zinasema kwamba Rwanda ndiyo iliathirika sana tu ila yenyewe wala haijikombi wala haijipendekezi kwa Mataifa makubwa ya Ukanda wake.

Naifananisha Burundi na Mtoto Mvivu na Mpumbavu pia anayependa Kudeka, Kuongozwa na asiyejitambua ila naifananisha Rwanda na Mtoto Yatima ila aliyejaaliwa Akili, Ushujaa, Mchapakazi, anayejiamini na asiyependwa Kupandwa Kichwani na Wapuuzi (wanaojiita Wakongwe)

Mwanamume Afrika ni Paul Kagame tu.
 
Na cha Kushangaza zaidi kama Burundi inabebwa kwakuwa iliathirika na 1994 Genocide kwa Ripoti za UN zinasema kwamba Rwanda ndiyo iliathirika sana tu ila yenyewe wala haijikombi wala haijipendekezi kwa Mataifa makubwa ya Ukanda wake.

Naifananisha Burundi na Mtoto Mvivu na Mpumbavu pia anayependa Kudeka, Kuongozwa na asiyejitambua ila naifananisha Rwanda na Mtoto Yatima ila aliyejaaliwa Akili, Ushujaa, Mchapakazi, anayejiamini na asiyependwa Kupandwa Kichwani na Wapuuzi ( wanaojiita Wakongwe )

Mwanamume Afrika ni Paul Kagame tu.
Rip nkurunzinza
 
Burundi is tiny,poor and a war torn country!!! Sijafika Burundi lakini huwa naamini kuchafu
 
Nadhani ukiacha hiyo ya Burundi kuwa land locked 🔒 kantrii kutegemea bandariyetu, pia ni kutaka support ya ulinzi wa jeshi letu maana stability ya nchi bado haiko poa
Kwani Rwanda siyo Landlocked Country? Kuna shida ambazo Burundi inazo na Rwanda haina au haikuwahi kuwa nazo? Baada ya Genocide wote Warwanda na Waburundi walipewa Misaada ya Kujiimarisha na Kujiinua na IMF na WB mmeshajiandaa ni kwanini Rwanda ilizitumia vyema hizo Pesa na Burundi kupitia Viongozi wao wenye Urafiki na Rais wenu Mstaafu 'Mswahili' wa Pwani wakazifuja na kuja Kujenga Mahekalu, Mahoteli, Maduka makubwa, Kununua Mashamba mengi na kuja Kuoa hovyo Wanawake wa Kitanzania na Kuwaambukiza zaidi UKIMWI wao?

Rwanda waliokuwa matatizoni pamoja na Burundi katika 1994 Genocide ( tena wao ndiyo Wakiathirika zaidi kuliko Burundi ) wamewezaje Kujijenga na Kujiimarisha zaidi Kiusalama na Kijeshi mpaka sasa kuwa Tishio Africa na Wao Waburundi wasiweze / washindwe?

Unajenga nchi yako kwa Kujipendekeza na Kujikomba 24/7 kwa Tanzania mpaka kuruhusu waingie katika Idara zako Nyeti za Kijeshi, Usalama, Anga na Mawasiliano au kwa kuja na Mikakati thabiti ambayo haitoathiri Ustawi wako kama Nchi na Taifa?

Watutsi tukiwa tunawadharau Wahutu kwa kutokuwa Kwao na Akili msiwe mnaona tunawaomba bali huwa tuko sahihi 100% na nashukuru sasa kati ya Rwanda na Burundi tayari Rwanda inaonekana imeshavuka ngazi nyingi za Upuuzi wa Kiutawala, Kiutendaji na Kiuongozi uliopo huko Burundi.
 
Na cha Kushangaza zaidi kama Burundi inabebwa kwakuwa iliathirika na 1994 Genocide kwa Ripoti za UN zinasema kwamba Rwanda ndiyo iliathirika sana tu ila yenyewe wala haijikombi wala haijipendekezi kwa Mataifa makubwa ya Ukanda wake.

Naifananisha Burundi na Mtoto Mvivu na Mpumbavu pia anayependa Kudeka, Kuongozwa na asiyejitambua ila naifananisha Rwanda na Mtoto Yatima ila aliyejaaliwa Akili, Ushujaa, Mchapakazi, anayejiamini na asiyependwa Kupandwa Kichwani na Wapuuzi ( wanaojiita Wakongwe )

Mwanamume Afrika ni Paul Kagame tu.
Mkuu mwanaume kivipi kwa hyo we ni mwanamke mkuu?
 
Na cha Kushangaza zaidi kama Burundi inabebwa kwakuwa iliathirika na 1994 Genocide kwa Ripoti za UN zinasema kwamba Rwanda ndiyo iliathirika sana tu ila yenyewe wala haijikombi wala haijipendekezi kwa Mataifa makubwa ya Ukanda wake.

Naifananisha Burundi na Mtoto Mvivu na Mpumbavu pia anayependa Kudeka, Kuongozwa na asiyejitambua ila naifananisha Rwanda na Mtoto Yatima ila aliyejaaliwa Akili, Ushujaa, Mchapakazi, anayejiamini na asiyependwa Kupandwa Kichwani na Wapuuzi ( wanaojiita Wakongwe )

Mwanamume Afrika ni Paul Kagame tu.
#GENTAMYCINE!
Saa ingine huwa unaandika habari za mihemko kuliko uhalisia.
Kwanza sioni rasmi sababu ya wewe kusema Burundi inajikomba kwa Tanzania.

Wewe huyajui kwa undani mambo nyeti ya kiserikali hususan kiuchumi na kiusalama.

Huwezi jua burumdi kama land locked country,hujui inapitia changamoto gani kiuchumi na hivyo kuhitaji mazingira bora ya kuitumia bandari yetu na pia kushirikiana nasi kwenye ujenzi wa SGR ya msongati.

Pia kiusalama Tanzania na Burundi tuna pakana kwa karibu na kwa eneo kubwa la nchi kavu na tumekuwa na changamoto ya usalama.
Na tumemsikia Rais wa Burundi akitamka hadharani kwamba kuna kiongozi wa waasi Burundi anaisumbua serikali yake kwa sasa akishirikiana na waasi wa ADF.
Sasa wewe unawezaje kujua kama hiyo si agenda mojawapo iliyo mlazimu kuja nchini,huenda wao wana tetesi za waasi hao kuitumia ardhi yetu kinyemela kwa mafunzo yao na kuingia Burundi kufanya vurugu na kurudi.

Sio kila wanalolijadili faragha hawa marais iwekwe hadharani. Mengine huwa ni nyeti za kiusalama zaidi.

Wewe unamsifu Kagame yule msigina Demokrasia ambaye anawaua na kuwafunga wote wanaojaribu kumkosoa mpaka wanamuziki!

Huyu Kagame ambae anatajirika kwa kuiba raslimali za CONGO DRC Anazozichimba kimabavu akiwatumia kina Lauwrer Nkunda!

Huyu anaemtesa Victoir Ingabire!

Hebu nenda Rwanda uingie kigali na uingie mitaani kuanzia Lemela,Kimironko,Nyamirambo,Kichukiro na katikati Nyabugogo uingie na uongee na raia wa kawaida wakwambie (kama utawaondoa hofu ya Kagame).
Halafu ujuwe kinachoendelea!

Acha chuki zako kisa rais wa Burundi kuisifia serikali unayoichukia wewe.
Shame on you.

Pichani chini ndie mtu hatari kwa serikali ya Burundi.
Jina lake ni Alex's Sinduhije.anaishi uhamishoni ubelgiji kwa sasa
View attachment 1984011
 
#GENTAMYCINE!
Saa ingine huwa unaandika habari za mihemko kuliko uhalisia.
Kwanza sioni rasmi sababu ya wewe kusema Burundi inajikomba kwa Tanzania.

Wewe huyajui kwa undani mambo nyeti ya kiserikali hususan kiuchumi na kiusalama.

Huwezi jua burumdi kama land locked country,hujui inapitia changamoto gani kiuchumi na hivyo kuhitaji mazingira bora ya kuitumia bandari yetu na pia kushirikiana nasi kwenye ujenzi wa SGR ya msongati.

Pia kiusalama Tanzania na Burundi tuna pakana kwa karibu na kwa eneo kubwa la nchi kavu na tumekuwa na changamoto ya usalama.
Na tumemsikia Rais wa Burundi akitamka hadharani kwamba kuna kiongozi wa waasi Burundi anaisumbua serikali yake kwa sasa akishirikiana na waasi wa ADF.
Sasa wewe unawezaje kujua kama hiyo si agenda mojawapo iliyo mlazimu kuja nchini,huenda wao wana tetesi za waasi hao kuitumia ardhi yetu kinyemela kwa mafunzo yao na kuingia Burundi kufanya vurugu na kurudi.

Sio kila wanalolijadili faragha hawa marais iwekwe hadharani. Mengine huwa ni nyeti za kiusalama zaidi.

Wewe unamsifu Kagame yule msigina Demokrasia ambaye anawaua na kuwafunga wote wanaojaribu kumkosoa mpaka wanamuziki!

Huyu Kagame ambae anatajirika kwa kuiba raslimali za CONGO DRC Anazozichimba kimabavu akiwatumia kina Lauwrer Nkunda!

Huyu anaemtesa Victoir Ingabire!

Hebu nenda Rwanda uingie kigali na uingie mitaani kuanzia Lemela,Kimironko,Nyamirambo,Kichukiro na katikati Nyabugogo uingie na uongee na raia wa kawaida wakwambie (kama utawaondoa hofu ya Kagame).
Halafu ujuwe kinachoendelea!

Acha chuki zako kisa rais wa Burundi kuisifia serikali unayoichukia wewe.
Shame on you.
Genta is a psychopath

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Kwani Rwanda siyo Landlocked Country? Kuna shida ambazo Burundi inazo na Rwanda haina au haikuwahi kuwa nazo? Baada ya Genocide wote Warwanda na Waburundi walipewa Misaada ya Kujiimarisha na Kujiinua na IMF na WB mmeshajiandaa ni kwanini Rwanda ilizitumia vyema hizo Pesa na Burundi kupitia Viongozi wao wenye Urafiki na Rais wenu Mstaafu 'Mswahili' wa Pwani wakazifuja na kuja Kujenga Mahekalu, Mahoteli, Maduka makubwa, Kununua Mashamba mengi na kuja Kuoa hovyo Wanawake wa Kitanzania na Kuwaambukiza zaidi UKIMWI wao?

Rwanda waliokuwa matatizoni pamoja na Burundi katika 1994 Genocide ( tena wao ndiyo Wakiathirika zaidi kuliko Burundi ) wamewezaje Kujijenga na Kujiimarisha zaidi Kiusalama na Kijeshi mpaka sasa kuwa Tishio Africa na Wao Waburundi wasiweze / washindwe?

Unajenga nchi yako kwa Kujipendekeza na Kujikomba 24/7 kwa Tanzania mpaka kuruhusu waingie katika Idara zako Nyeti za Kijeshi, Usalama, Anga na Mawasiliano au kwa kuja na Mikakati thabiti ambayo haitoathiri Ustawi wako kama Nchi na Taifa?

Watutsi tukiwa tunawadharau Wahutu kwa kutokuwa Kwao na Akili msiwe mnaona tunawaomba bali huwa tuko sahihi 100% na nashukuru sasa kati ya Rwanda na Burundi tayari Rwanda inaonekana imeshavuka ngazi nyingi za Upuuzi wa Kiutawala, Kiutendaji na Kiuongozi uliopo huko Burundi.
Kwani Burundi hakuna Watutsi?
Swali la kujiuliza kwa nini wahutu na watutsi wa Rwandwa wameweza kuiimarisha nchi yao halafu hao hao wahutu na watutsi wa Burundi wameshindwa kuiendeleza nchi yao.
 
Na cha Kushangaza zaidi kama Burundi inabebwa kwakuwa iliathirika na 1994 Genocide kwa Ripoti za UN zinasema kwamba Rwanda ndiyo iliathirika sana tu ila yenyewe wala haijikombi wala haijipendekezi kwa Mataifa makubwa ya Ukanda wake.

Naifananisha Burundi na Mtoto Mvivu na Mpumbavu pia anayependa Kudeka, Kuongozwa na asiyejitambua ila naifananisha Rwanda na Mtoto Yatima ila aliyejaaliwa Akili, Ushujaa, Mchapakazi, anayejiamini na asiyependwa Kupandwa Kichwani na Wapuuzi (wanaojiita Wakongwe)

Mwanamume Afrika ni Paul Kagame tu.
Ni aibu mtoto wa kiume kumsifia mwanaume mwenzake hadi watu wanashindwa kukuelewa,acha kujipendekeza kupita kiasi madhara yake ni makubwa.
 
Back
Top Bottom