Ni kwa vipi naweza mwamini mwanamke anayenitongoza kwamba siyo kicheche?

mbukoi

JF-Expert Member
Jan 17, 2012
414
356
Mwanamke kumtongoza mwanaume siyo jambo la kawaida kabisa kwenye jamii yetu ya Tanzania ndiyo maana inapotokea inabidi kutafuta ushauri. Kuna dada amekuwa akinipigia simu za kunitaka niwe naye kimapenzi toka januari mwaka huu lakini nimeshindwa kukutana naye kutokana na mimi kubanwa na shughuli nyingi. Huyu ni mwanafunzi wangu kwenye chuo kimoja nilichokuwa nikifundisha mwaka jana kwa sasa ameshamaliza na anafanya kazi. Binafsi siikumbuki sura yake lakini jina nalikumbuka, mwanzoni alianza kwa kuniomba nimtafutie kazi kwa madai kuwa haridhiki na mshahara anaopata kwenye kazi yake ya sasa.Nilimuahidi kumpa taarifa za uwepo wa kazi ili afanye aplication endapo ningepata taarifa hizo.Hilo likampa fursa ya kunipigia simu mara kwa mara kuulizia kama kuna updates za kazi. Baadaye uvumilivu ulimshinda na akaamua kuweka nia yake bayana kwamba ananipenda na anataka niwe kifuani kwake hata siku hiyo kama ningeamua kumfuata, binafsi nilistaajabu sana na kumshauri atulie nikipata muda ntamtafuta tufahamiane zaidi jambo ambalo halijatokea mpaka sasa. Sasa leo kaniomba nimtumie nauli aje kwangu kwan ana likizo kazini kwake, hilo pia limenitatiza kwani simfahamu undani wake hivyo nimemjibu kama kweli ana nia ya kuja kwangu ajigharamie kwani mipango yangu ya pesa iko tight sana kwa sasa. Ushauri wenu, je, kama akija nimpokee na nianzishe naye mahusiano kwani sina demu? AU nimpotezee kwani anaweza kuwa malaya?
 
Mwanamke kumtongoza mwanaume siyo jambo la kawaida kabisa kwenye jamii yetu ya Tanzania ndiyo maana inapotokea inabidi kutafuta ushauri. Kuna dada amekuwa akinipigia simu za kunitaka niwe naye kimapenzi toka januari mwaka huu lakini nimeshindwa kukutana naye kutokana na mimi kubanwa na shughuli nyingi. Huyu ni mwanafunzi wangu kwenye chuo kimoja nilichokuwa nikifundisha mwaka jana kwa sasa ameshamaliza na anafanya kazi. Binafsi siikumbuki sura yake lakini jina nalikumbuka, mwanzoni alianza kwa kuniomba nimtafutie kazi kwa madai kuwa haridhiki na mshahara anaopata kwenye kazi yake ya sasa.Nilimuahidi kumpa taarifa za uwepo wa kazi ili afanye aplication endapo ningepata taarifa hizo.Hilo likampa fursa ya kunipigia simu mara kwa mara kuulizia kama kuna updates za kazi. Baadaye uvumilivu ulimshinda na akaamua kuweka nia yake bayana kwamba ananipenda na anataka niwe kifuani kwake hata siku hiyo kama ningeamua kumfuata, binafsi nilistaajabu sana na kumshauri atulie nikipata muda ntamtafuta tufahamiane zaidi jambo ambalo halijatokea mpaka sasa. Sasa leo kaniomba nimtumie nauli aje kwangu kwan ana likizo kazini kwake, hilo pia limenitatiza kwani simfahamu undani wake hivyo nimemjibu kama kweli ana nia ya kuja kwangu ajigharamie kwani mipango yangu ya pesa iko tight sana kwa sasa. Ushauri wenu, je, kama akija nimpokee na nianzishe naye mahusiano kwani sina demu? AU nimpotezee kwani anaweza kuwa malaya?

Hakuna ushahidi wa moja kwa moja kuwa kila mwanamke anayemtongoza mwanaume ni mhuni. Nafikiri mwanamke kama tu vile mwanaume ana haki ya kupenda na kupendwa na saa nyingine huthubutu kwa ujanja kuonyesha mapenzi yao wazi kwa wawapendao kama alivyofanya huyo. Huyo alichokifanya na kujenga ukaribu na wewe na alopoona kuwa uko +ve naye akaamua ayamwage ya moyoni mwake.

Kwa kuwa hauna demu na wewe ulikuwa mwalimu wake probably unamfahamu zaidi tabia zake kupitia hulka aliyokuwa naye darasani. Kama alikuwa kicheche mpige chini ila kama alikuwa na tabia njema unaweza kumpa nafasi na kumchunguza kwa muda fulani, with time utagundua kama anakufaa au laa maana tabia haifichiki.
 
Kaka hakuna kipimo cha imani isipokuwa kwa kuwa pamoja kwa kipindi fulani. Kuhusu suala la yeye kukuanza wewe haiana direct correlation na ukicheche,ameamua kutoidhulimu nafsi tu kwa kukaa kimya cause we live just once. My take put her under probation for sometimes then having satisfied yourself go ahead with the next move. The good thing if she really loves you that much you'll have a 100% assurance of being loved but if she's just horny..........
 
Mwanamke kumtongoza mwanaume siyo jambo la kawaida kabisa kwenye jamii yetu ya Tanzania ndiyo maana inapotokea inabidi kutafuta ushauri. Kuna dada amekuwa akinipigia simu za kunitaka niwe naye kimapenzi toka januari mwaka huu lakini nimeshindwa kukutana naye kutokana na mimi kubanwa na shughuli nyingi. Huyu ni mwanafunzi wangu kwenye chuo kimoja nilichokuwa nikifundisha mwaka jana kwa sasa ameshamaliza na anafanya kazi. Binafsi siikumbuki sura yake lakini jina nalikumbuka, mwanzoni alianza kwa kuniomba nimtafutie kazi kwa madai kuwa haridhiki na mshahara anaopata kwenye kazi yake ya sasa.Nilimuahidi kumpa taarifa za uwepo wa kazi ili afanye aplication endapo ningepata taarifa hizo.Hilo likampa fursa ya kunipigia simu mara kwa mara kuulizia kama kuna updates za kazi. Baadaye uvumilivu ulimshinda na akaamua kuweka nia yake bayana kwamba ananipenda na anataka niwe kifuani kwake hata siku hiyo kama ningeamua kumfuata, binafsi nilistaajabu sana na kumshauri atulie nikipata muda ntamtafuta tufahamiane zaidi jambo ambalo halijatokea mpaka sasa. Sasa leo kaniomba nimtumie nauli aje kwangu kwan ana likizo kazini kwake, hilo pia limenitatiza kwani simfahamu undani wake hivyo nimemjibu kama kweli ana nia ya kuja kwangu ajigharamie kwani mipango yangu ya pesa iko tight sana kwa sasa. Ushauri wenu, je, kama akija nimpokee na nianzishe naye mahusiano kwani sina demu? AU nimpotezee kwani anaweza kuwa malaya?

Ebu take time kumchunguza kama wakuu walivyoshauri. Nadhani alikuwa aki admire mwenendo wako tangu akiwa Chuo na wewe ukiwa mwl. wake. I bet haukuwa kicheche ukiwa mwalimu na generally yaelekea una tabia njema na umetulia na hii ndiyo motive ya huyo she kutamani kuwa nawe ktk safari ndefu ya maisha hapa duniani. Give her a chance, otherwise decision maker ni weye mwenyewe.
 
wewe hapo wala usijiulize mara mbili mbili chakachua K hiyo ila under one condition; we are just gona be frends with benefits nothing more.
MAUMIVU YA KICHWA HUANZA POLE POLE....YAKIZIDI MUONE DAKTARI...!!!Ndugu,hata shetani au kishawishi huanza pole pole.Ushauri wangu,mwambie asije kwako, na wewe umwelelze kuwa utamtafuta na ukisha pata nafasi muite sehemu ambayo kuna watu wengi ili isiwe na urahisi wa kufanya na mapenzi...LA SIVYO...KIFO HICHOOOOO hasa UKIMWI.Akija,hakyanani haumuachi!!!
 
kwani wewe ukimtongoza mwanamke , anapokuamini na kukukubali anakuona kicheche?
au kupenda kuna mipaka ya jinsia?

anyway ukishikwa shikamana.....byeee
 
MAUMIVU YA KICHWA HUANZA POLE POLE....YAKIZIDI MUONE DAKTARI...!!!Ndugu,hata shetani au kishawishi huanza pole pole.Ushauri wangu,mwambie asije kwako, na wewe umwelelze kuwa utamtafuta na ukisha pata nafasi muite sehemu ambayo kuna watu wengi ili isiwe na urahisi wa kufanya na mapenzi...LA SIVYO...KIFO HICHOOOOO hasa UKIMWI.Akija,hakyanani haumuachi!!!

sasa wewe ulitaka amuache ili iwaje wakati goma kajileta mwenyewe? hivi alafu mbona demu akijileta ndio mwawaza kuhusu ukimwi lakini wale tunao watongoza mbona hatusemi ah huyu sitamtongoza maana hiki kifo ? na wangapi wanapimaga bwana kabla ya kuvuana chupi katika relationships za kileo?
 
penye miti hakuna wajenzi!! kwa nini hizi bahati haziji kwetu?? :(

NB: kumbe wanaume nao wanaweza kudengua kiasi hiki, mie nlidhani ni mademu tuu wako hivyo lol
Hahahahaah! Mkuu unaomba zali kama hili lingekudondokea wewe.
 
uzuri na demu mwenyewe yupo huku JF ngoja aje aji support!
 
Kuna raha ya kuwinda bana...atajiletaje????

Kuwa makini...vya kuchinja ni vitamu zaidi ya kunyonga.

Mdada gani hana hata haya...eti ukae kifuani kwake...huyo anaonyesha mshipa wa noma ulikatika zamani na ana homoni za kiumu huyo. Chunguza ujue keshataka wanagapi...uliza walimu wenzio maana inawezekana kabisa ikawa target yake ni lecturers.

Kwa uzoefu wangu wadada watongozaji wengi ni vicheche.
 
Kuna raha ya kuwinda bana...atajiletaje????

Kuwa makini...vya kuchinja ni vitamu zaidi ya kunyonga.

Mdada gani hana hata haya...eti ukae kifuani kwake...huyo anaonyesha mshipa wa noma ulikatika zamani na ana homoni za kiumu huyo. Chunguza ujue keshataka wanagapi...uliza walimu wenzio maana inawezekana kabisa ikawa target yake ni lecturers.

Kwa uzoefu wangu wadada watongozaji wengi ni vicheche.

Miongoni mwa vitu ninavyokupendea ni mifano..mara nyingi katika posts zako huishi kutoa mifano kedekede..
Hebu nyumba kubwa utendee haki na huu uzi kwa kutoa mifano hai hasa hapo nilipobold..
 
Last edited by a moderator:
Dah...uswahilini wanaita 'mpira unadunda dunda hakuna mchezaji' hiii...
Huyu anatafuta mkasa, sasa ameshamruhusu mtu apande basi na begi lake kuja kwake likizo nzima, na hamkumbuki sura, hivi haoni hilo ni kukaribisha tatizo? Kwanini asimwombe amtumie picha kwanza amkumbuke? Shauri yake ngoja aje Wassira hapo sijui atakae nae vipi siku 28, kama hakukimbia chumba bwana Mwalimu.
 
mi mtazamo wangu ni kuwa, demu ukimuangaikia sana anakuzingua mara nyingi hata mapenzi uwa yanakuwa ya kujiuliza sana, ila mi uwa napenda demu anipende yeye, na sio mara moja wasichana washantongoza, mara nyingi msichana akikupenda uwa ndo kwisha habari yake, ukitaka kumsumbua utamfanya unavyotaka na atavumilia now :focus: mi naona we mkubalie, tena mchakuchue sawasawa huku ukidai ni kipindi cha kusomana, ukiona hana vigezo uvyotaka mwambie mmeshindwana, baada ya kumtumia ipasavyo! u have nothing to loose, hauta umia moyo coz sio wewe uliemtongoza, ila blaza kumbuka tu kutumia mpira, usipige kavu
 
Mhhhhhhhhhh....hii dunia imezidi kuwa kizungumkuti!

Hata hivyo, hatuwezi kukwepa maendeleo ya sayansi na teke linalokujia kwa kasi......Tutashindaje tumekodolea macho luninga halafu tuogope ku-copy na ku-paste mambo ya mastaa??

Ila enzi zetu, swala kumkimbiza chui/simba ilikuwa ni big news.....Ni kama vile kumwona kakakuona!!

Hapa ni muhimu jamaa ausikilize moyo na pia asisahau kuwa mbayu wayu!!

Babu DC!!
 
Mtoa mada kwanza umejichanganya sana,enwei,tuachane na hilo,naomba unijibu kabla hatujaenda mbali,unafahamu nini kuhusu malaya?Je unajua maana ya neno malaya?Ukijibu maswali haya unaweza kupata jibu la unachotaka kujua!
 
Huyu anatafuta mkasa, sasa ameshamruhusu mtu apande basi na begi lake kuja kwake likizo nzima, na hamkumbuki sura, hivi haoni hilo ni kukaribisha tatizo? Kwanini asimwombe amtumie picha kwanza amkumbuke? Shauri yake ngoja aje Wassira hapo sijui atakae nae vipi siku 28, kama hakukimbia chumba bwana Mwalimu.

Wacha prejudice kijana, aliyemuumba Tyson - Wasirra, ndiyo huyo aliyekuumba weye!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom