Wapwa
Kwenye mikutano mingi Ali Hassan Mwinyi hutambulishwa kama mwenyekiti mstaafu wa CCM na Rais mstaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Kwa wasiojua Ali Hassan Mwinyi ndio mtanzania pekee ambaye ameshawahi kuwa Raisi wa Zanzibar ( 1984 - 1985 ) kabla hajawa Rais wa Tanzania ( 1985 - 1995 ).
Je kuna makusudi yoyote ya kutokumtambulisha kama raisi mstaafu wa Zanzibar ? na kama haipo kwa nini huwa hatambulishwi kwa vyeo vyake vyote vikubwa.
Haki huinua Taifa.
Kwenye mikutano mingi Ali Hassan Mwinyi hutambulishwa kama mwenyekiti mstaafu wa CCM na Rais mstaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Kwa wasiojua Ali Hassan Mwinyi ndio mtanzania pekee ambaye ameshawahi kuwa Raisi wa Zanzibar ( 1984 - 1985 ) kabla hajawa Rais wa Tanzania ( 1985 - 1995 ).
Je kuna makusudi yoyote ya kutokumtambulisha kama raisi mstaafu wa Zanzibar ? na kama haipo kwa nini huwa hatambulishwi kwa vyeo vyake vyote vikubwa.
Haki huinua Taifa.