Underwood
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 1,909
- 3,101
Sio lazima kupata maelezo ya mtuhumiwa.
Mtuhumiwa ana haki ya kukaa kimya kwani chochote atakacho sema kinaweza kutumika kama ushahidi dhidi yake mahakamani.
Kama Jamuhuri inaamini umefanya kosa basi ni kazi yao kutafuta ushahidi lakini sio wajibu wa mtuhumiwa kuwapa huo ushahidi.
Mtuhumiwa ana wajibu wa kuijibu mahakama tu! Mengine ni hiyari yake.
Mtuhumiwa ana haki ya kukaa kimya kwani chochote atakacho sema kinaweza kutumika kama ushahidi dhidi yake mahakamani.
Kama Jamuhuri inaamini umefanya kosa basi ni kazi yao kutafuta ushahidi lakini sio wajibu wa mtuhumiwa kuwapa huo ushahidi.
Mtuhumiwa ana wajibu wa kuijibu mahakama tu! Mengine ni hiyari yake.