Thabit Karim
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 364
- 645
KUNA MAMBO MAPYA YAMEIBUKA KIPINDI HIKI CHA CORONA
Habari naomba kufahamu njia za kuingiza bidhaa kwa fedex au DHL.
(1) Vitu gani vya kuzingatia?
(2) Je, mzigo unaweza kukufikia popote Tanzania?
(3) Jinsi gani unaweza kuingiza kwa gharama nafuu?
(4) kuna haja ya kufungua account ktk hayo makampuni ili kupata unafuu?
(5) Tauliza maswali mengine
Pia kwanini DHL, Aramex au Fedex wanagharama sana kuingiza bidhaa nchini. Kwa mfano flash inayouzwa elfu tano (5,000) Aliexpress shipping fee ya Fedex, Aramex au DHL unakuta ni zaidi ya laki mbili (200,000) japo kwa posta ni bei nafuu angalau. Kwanini inakua hivyo?
Habari naomba kufahamu njia za kuingiza bidhaa kwa fedex au DHL.
(1) Vitu gani vya kuzingatia?
(2) Je, mzigo unaweza kukufikia popote Tanzania?
(3) Jinsi gani unaweza kuingiza kwa gharama nafuu?
(4) kuna haja ya kufungua account ktk hayo makampuni ili kupata unafuu?
(5) Tauliza maswali mengine
Pia kwanini DHL, Aramex au Fedex wanagharama sana kuingiza bidhaa nchini. Kwa mfano flash inayouzwa elfu tano (5,000) Aliexpress shipping fee ya Fedex, Aramex au DHL unakuta ni zaidi ya laki mbili (200,000) japo kwa posta ni bei nafuu angalau. Kwanini inakua hivyo?