sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,283
- 976
Waheshmiwa wanajf..
Kipindi cha bunge na mkutano wa kwanza ndo umeanza leo mjini Dodoma. Jambo la kunisikitisha ni pale mh.spika alipowaita wabunge wapya wawili akiwemo ambaye jina lake kwangu rahisi mh.Nassari, na wote kutokuwepo mwanzoni mwa kikao au hawapo kabisa. Je wamelala bado, je wamechelewa au hawakujulishwa kwamba wataapishwa leo?
Uamuzi wa spika ni kwamba wataapishwa siku nyingne itakayopangwa na kamati ya uongozi.. Je itakuwa lini, ni mwisho wa vikao, mwanzo au katika.. Je wabunge hao hao watahudhuria vikao? Na je posho inakuwaje..
Heshima kwenu jf.
Mbumbumbu mwenye akili
Kipindi cha bunge na mkutano wa kwanza ndo umeanza leo mjini Dodoma. Jambo la kunisikitisha ni pale mh.spika alipowaita wabunge wapya wawili akiwemo ambaye jina lake kwangu rahisi mh.Nassari, na wote kutokuwepo mwanzoni mwa kikao au hawapo kabisa. Je wamelala bado, je wamechelewa au hawakujulishwa kwamba wataapishwa leo?
Uamuzi wa spika ni kwamba wataapishwa siku nyingne itakayopangwa na kamati ya uongozi.. Je itakuwa lini, ni mwisho wa vikao, mwanzo au katika.. Je wabunge hao hao watahudhuria vikao? Na je posho inakuwaje..
Heshima kwenu jf.
Mbumbumbu mwenye akili