Ni kutetea Israel au ni Ubaguzi kama tuujuavyo?

"Katika hii Dunia, nimepita sehemu kibao, lakini sijawahi ona wabaguzi kama WAARABU. Sina hakika kama ina uhusiano na dini, ila jamaa ni wabaguzi sana sana."

Mwanjelwa:
Sijapata bahati kutembelea nchi za Kiarabu, lakini nimetembelea nchi kadha za Ulaya -- nami nasema sijapata kuona watu wabaguzi, tena wa kupindukia -- hasa dhidi ya watu weusi -- kama Waitalia, Wadanish na Wahispania.

Kwa mfano -- sikushangaa sana kusikia jana kuwa Club ya Juventus imepewa adhabu ya kucheza mechi yake ijayo ya nyumbani bila ya kuwa na mashabiki wake. Hilo linatokana na mashabaki wake kumzomea, kumtukana kwa kumuimbia nyimbo za matusi mchezaji wa Inter, Mario Baloteli, mweusi mwenye asili ya Ghana -- wakati wa mechi baina hizo timu mbili hivi karibuni.

Sidjhani kama hawa ni dini, ila ni kutokana na rangi tu -- kama vile walivyokuwa wabaguzi wa Afrika ya Kusini, waliwabagua Waafrika kwa ajili ya rangi tu.

Pamoja na Marekanui sasa kuongozwa na mtu mweusi lakini kuna Wamarekani weupe bado ni wabaguzi kweli kweli dhidi ya weusi. wengi wa mamilioni ya wale ambao hawakumpigia kura walikuwa weupe na walikuwa wanataja waziwazi kwamba hawataki kutawaliwa na mtu mweusi na hata kumtuhumu ati ni Muisilamu kisirisiri!
 
"Kabla ya 1948 kwa nini Waisraeli waliikimbia nchi yao na kuwachia Waarabu?"

*****************************
Mzalendohalisi: Huenda waliwakabidhi Waarabu kwa mapatano maalum kwamba wakirudi baada ya karne kadha wapewe 'nchi' yao na wao watokomee wanakojua -- kama ni kwenda kuishi ktk mahema ya wakimbizi, magerezani, au wakubali vifo.

kwi kwi kwi kwi kwi
 
Kabla ya 1948 kwa nini Waisraeli waliikimbia nchi yao na kuwachia Waarabu?
Hawakukimbia wote kwa wakati mmoja,walikimbia kidogo kidogo kutokana na matukio ya kibaguzi yaliyokuwa yanafanywa dhidi yao kuanzia utawala wa warumi,utawala ya Waturuki,utawala wa Wakristo,Utawala wa Waislamu,n.k na ata hivyo sio wote waliokimbia,muda wote kulikuwa na idadi ya Wayahudi walioendelea kuishi hapo.

Check one of the links from jewish perspectives.

Timeline 1900 BCE - 1948 CE asasad

From arabs perspectives,

The History of Palestine
A Timeline of Palestine
 
"Katika hii Dunia, nimepita sehemu kibao, lakini sijawahi ona wabaguzi kama WAARABU. Sina hakika kama ina uhusiano na dini, ila jamaa ni wabaguzi sana sana."

Mwanjelwa:
Sijapata bahati kutembelea nchi za Kiarabu, lakini nimetembelea nchi kadha za Ulaya -- nami nasema sijapata kuona watu wabaguzi, tena wa kupindukia -- hasa dhidi ya watu weusi -- kama Waitalia, Wadanish na Wahispania.

Kwa mfano -- sikushangaa sana kusikia jana kuwa Club ya Juventus imepewa adhabu ya kucheza mechi yake ijayo ya nyumbani bila ya kuwa na mashabiki wake. Hilo linatokana na mashabaki wake kumzomea, kumtukana kwa kumuimbia nyimbo za matusi mchezaji wa Inter, Mario Baloteli, mweusi mwenye asili ya Ghana -- wakati wa mechi baina hizo timu mbili hivi karibuni.

Sidjhani kama hawa ni dini, ila ni kutokana na rangi tu -- kama vile walivyokuwa wabaguzi wa Afrika ya Kusini, waliwabagua Waafrika kwa ajili ya rangi tu.

Pamoja na Marekanui sasa kuongozwa na mtu mweusi lakini kuna Wamarekani weupe bado ni wabaguzi kweli kweli dhidi ya weusi. wengi wa mamilioni ya wale ambao hawakumpigia kura walikuwa weupe na walikuwa wanataja waziwazi kwamba hawataki kutawaliwa na mtu mweusi na hata kumtuhumu ati ni Muisilamu kisirisiri!


Mkuu, hao hawana ubaguzi kabisa. Asilimia kubwa huko Ulaya kuhusu ubaguzi ni suala la utaifa (Nationalism). Pale Germany na Holland wanawachukia Turks kwa kuwa wanafanya kazi non-stop na kuendelea kwa kasi kuliko wao wenyewe asilia yao. Waarabu ni kibako cha wabaguzi duniani. Nina kuhakikishia na nina hakika ukiweza pita huko siku moja utaweza niambia haya. Yaani unaweza uwawa hivi hivi, sababu ya rangi yako nyeusi. Hujawahi jiuliza: wale babu zako waliobebwa kwa majahazi kule Zenj kwenda Gulf, wako wapi descendants wao?
 
Katika hii Dunia, nimepita sehemu kibao, lakini sijawahi ona wabaguzi kama WAARABU. Sina hakika kama ina uhusiano na dini, ila jamaa ni wabaguzi sana sana.
katika sehemu kibao ulizopita sina hakika (ukweli unaujua mwenyewe)kama umepita huko Israel, Marekani, U.K ambako na hata ulaya mashariki. Kama mpenzi wa michezo,tuseme soka utanambia mikasa ya ubaguzi inapatikana sana maeneo gani, na kwanini kina Samuel Eto'o wanatamani kutoka uwanjani wakati mwengine kwa adha hii. kwa hivyo wale WABAGUZI SANA ndo akina hawa wanaokimbia mikutano ya kupinga ubaguzi.
 
katika sehemu kibao ulizopita sina hakika (ukweli unaujua mwenyewe)kama umepita huko Israel, Marekani, U.K ambako na hata ulaya mashariki. Kama mpenzi wa michezo,tuseme soka utanambia mikasa ya ubaguzi inapatikana sana maeneo gani, na kwanini kina Samuel Eto'o wanatamani kutoka uwanjani wakati mwengine kwa adha hii. kwa hivyo wale WABAGUZI SANA ndo akina hawa wanaokimbia mikutano ya kupinga ubaguzi.


Suala la kuwa na uhakika achana nalo. Weka points zako. Ili uelewe nina maana gani: hata kule Zanzibar. mtu wa Bara hatakiwi kule. Sijui kama unaelewa hili. Sasa ule si ubaguzi. Ni utaifa mkali sana. Ndiyo iwe wakina Et'oo!? Sijui kama umewahi fanya kazi nje ya nchi, lakini common questions kila siku kama siyo kila week ni: hivi nchi yako ni maarufu kwa kitu gani? Hilo swali lina elements za kibaguzi kama ukilielewa vema.

Tukirudi kwa Waarabu, wenyewe kwao Africans ni mikosi. Hutakiwi kutumia nguvu nyingi kufikiria haya nisemayo; angalia African-Arabs wenzako kule Sudan wanavyokula ma-blacks wafrica wenzao!. Unahitaji nguvu gani kufikiria haya?!
 
Mwanjelwa ukiacha ushabiki kidogo tu utaelewa, jamii zinazoheshimu maadili yao siku zote zinaheshimika na kutambulika muruwa wao, leo inasemwa nchi ambazo wanatumia sheria kali za kulinda maadili yao na kupinga vitendo vya umalaya, utumiaji madawa ya kulevya, usinzi,kamari, ulevi n.k kama Iran, saudi arabia n.k ni mfano wa nchi ambazo hazipati shida kupambana na magojwa ya UKIMWI na zinaa, kuporomoka kwa maadili. Chukulia hapa Tanzania karibuni tulikuwa na post katika JF inayoelezea jinsi Vyombo vya habari vinavyopalilia habari za kusagana, ngono n.k zinavyosaidia kuharibu maadili ya jamii.Mambo haya yanaharibu mustakbali wa vijana wetu wanaojifunza kupitia vyombo hivyo. so Iran kwa kuchukua hatua kama hizo wamejiepusha na kujiweka mbali na ufisadi wa kimaaadili sisi tunaouita usataarabu.
 
Suala la kuwa na uhakika achana nalo. Weka points zako. Ili uelewe nina maana gani: hata kule Zanzibar. mtu wa Bara hatakiwi kule. Sijui kama unaelewa hili. Sasa ule si ubaguzi. Ni utaifa mkali sana. Ndiyo iwe wakina Et'oo!? Sijui kama umewahi fanya kazi nje ya nchi, lakini common questions kila siku kama siyo kila week ni: hivi nchi yako ni maarufu kwa kitu gani? Hilo swali lina elements za kibaguzi kama ukilielewa vema.

Tukirudi kwa Waarabu, wenyewe kwao Africans ni mikosi. Hutakiwi kutumia nguvu nyingi kufikiria haya nisemayo; angalia African-Arabs wenzako kule Sudan wanavyokula ma-blacks wafrica wenzao!. Unahitaji nguvu gani kufikiria haya?!
Hebu fanya reference ya lile azimio la ule mkutano wa Durban, ambako iliposemwa tu kuwa ZIONISM ina element za kibaguzi mataifa hayohayo yanayokataa leo kuhudhuria ndiyo yalitoka mkutanoni, kumaanisha nini kuwa suala la ubaguzi ndo linalowastawisha kma vile suala la uchafuzi wa mazingira linavyochangia ukuaji wa viwanda vya nchi za kibepari mf. marekani, ndo maana wakakataa kusaini KYOTO PROTOCOL,kwa kuwa hakuna maslahi kwao, na kwa hoja yangu ipo palepale kuwa wanakataaa kuhudhuria kwa kuwa ustawi wa mambo yao na ubepari wao unategemea huo ubaguzi, hivyo pahala panaposemwa ubaguzi hawatakubali kukaa,kwa kuwa hapana faida kwao.
Kuhusu Zanziabar na wabara hizi ni "cheap politics" sitoweka comment
 
Suala la kuwa na uhakika achana nalo. Weka points zako. Ili uelewe nina maana gani: hata kule Zanzibar. mtu wa Bara hatakiwi kule. Sijui kama unaelewa hili. Sasa ule si ubaguzi. Ni utaifa mkali sana. Ndiyo iwe wakina Et'oo!? Sijui kama umewahi fanya kazi nje ya nchi, lakini common questions kila siku kama siyo kila week ni: hivi nchi yako ni maarufu kwa kitu gani? Hilo swali lina elements za kibaguzi kama ukilielewa vema.

Tukirudi kwa Waarabu, wenyewe kwao Africans ni mikosi. Hutakiwi kutumia nguvu nyingi kufikiria haya nisemayo; angalia African-Arabs wenzako kule Sudan wanavyokula ma-blacks wafrica wenzao!. Unahitaji nguvu gani kufikiria haya?!
Hebu fanya reference ya lile azimio la ule mkutano wa Durban, ambako iliposemwa tu kuwa ZIONISM ina element za kibaguzi mataifa hayohayo yanayokataa leo kuhudhuria ndiyo yalitoka mkutanoni, kumaanisha nini kuwa suala la ubaguzi ndo linalowastawisha kma vile suala la uchafuzi wa mazingira linavyochangia ukuaji wa viwanda vya nchi za kibepari mf. marekani, ndo maana wakakataa kusaini KYOTO PROTOCOL,kwa kuwa hakuna maslahi kwao, na kwa hoja yangu ipo palepale kuwa wanakataaa kuhudhuria kwa kuwa ustawi wa mambo yao na ubepari wao unategemea huo ubaguzi, hivyo pahala panaposemwa ubaguzi hawatakubali kukaa,kwa kuwa hapana faida kwao.
Kuhusu Zanziabar na wabara hizi ni "cheap politics" sitoweka comment
 
Hebu fanya reference ya lile azimio la ule mkutano wa Durban, ambako iliposemwa tu kuwa ZIONISM ina element za kibaguzi mataifa hayohayo yanayokataa leo kuhudhuria ndiyo yalitoka mkutanoni, kumaanisha nini kuwa suala la ubaguzi ndo linalowastawisha kma vile suala la uchafuzi wa mazingira linavyochangia ukuaji wa viwanda vya nchi za kibepari mf. marekani, ndo maana wakakataa kusaini KYOTO PROTOCOL,kwa kuwa hakuna maslahi kwao, na kwa hoja yangu ipo palepale kuwa wanakataaa kuhudhuria kwa kuwa ustawi wa mambo yao na ubepari wao unategemea huo ubaguzi, hivyo pahala panaposemwa ubaguzi hawatakubali kukaa,kwa kuwa hapana faida kwao.
Kuhusu Zanziabar na wabara hizi ni "cheap politics" sitoweka comment

Nakubalia na highlight hapo juu. Hayo mengine yote ni www au World Wide Weight. The heavier you are, the more likely you will stumble on others.
 
Israel protests at racism talks
BBC News Online

Western states are wary of Mr Ahmadinejad's impending address
Israel has recalled its ambassador to Switzerland "for consultations" amid ongoing controversy over an anti-racism conference being held in Geneva.

The protest came as the UN conference was due to be addressed by Iranian president Mahmoud Ahmadinejad, who has described the Holocaust as a "myth".

The US, Australia and Germany are among countries boycotting the talks, but France and the UK are attending.

UN Secretary General Ban Ki-moon has expressed dismay at the boycotts.

Israeli officials were reported to be angered by a meeting between Swiss President Hans-Rudolf Merz and Mr Ahmadinejad on the sidelines of the conference.

The office of Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu issued a statement saying that he and Foreign Minister Avigdor Lieberman had decided to recall Ambassador Ilan Elgar from Berne "for consultations and in protest at the conference in Geneva", Reuters reported.

The one issue that never seems to go away when conferences of this kind are held is the Israeli-Palestinian one.

A document has been already been agreed among those governments attending and you have to read it quite closely to detect the tremors remaining from the earthquakes in discussions that went before.

But enough contentious issues remain and the result is a boycott by the US, Israel, Germany, Italy, Australia, Canada and New Zealand.


Fault lines split UN summit

The conference coincides with Holocaust Remembrance Day in Israel, which begins at sundown on Monday.

In comments broadcast on Israeli media, Mr Netanyahu said: "Six million of our people were slaughtered in the Holocaust.

"While we commemorate them, a conference purporting to be against racism will convene in Switzerland. The guest of honour is a racist, a Holocaust-denier who makes no secret of his intention of wiping Israel off the face of the earth."

As the controversy continued, UN chief Ban Ki-moon was reported to be meeting Mr Ahmadinejad, hours before the Iranian leader was due to address the conference.

"I confirm (the meeting). Yes, at this moment," the UN spokeswoman in Geneva, Marie Heuze, told AFP news agency, declining to give further details.

'Profoundly disappointed'

Mr Ban told the opening session he was "profoundly disappointed" at the boycotts.

"There comes a time in the affairs of humankind when we must stand firm on the fundamental principles that binds us," he said. "There comes a time to reaffirm our faith in fundamental human rights and dignity and worth of us all, a time to give the virtues of tolerance in respect for diversity their fullest due and look beyond a past that divides us towards a future that unites us. The time is now, ladies and gentleman. The time is now."

The UN's first conference on racism in the South African city of Durban eight years ago was marred by anti-Semitic comments from some non-governmental organisations.

There was also an unsuccessful attempt by some states to equate Zionism with racism.

Now, many Western countries are uncomfortable with the address by Mr Ahmadinejad, the only major leader to accept an invitation to the forum.

Ban Ki-Moon expresses 'regret' that some nations are boycotting the conference. His presence at a conference against racism has caused horror in Israel, and nervousness within the United Nations, says the BBC's Imogen Foulkes in Geneva.

If Mr Ahmadinejad uses the conference to repeat attacks on Israel, or even to deny the Holocaust, it will be a disaster for an event the UN had hoped would be a shining example of international unity against discrimination, our correspondent says.

The five-day Durban Review Conference in Geneva - or Durban II - is the UN's first global racism conference in eight years.

Watered down

The draft final declaration, which has been causing much heated debate, has been watered down to remove all references to Israel and the Middle East.

However, at the request of Middle East nations, it still contains a clause about the incitement of religious hatred, which many Western countries see as a curtailment of free speech.

US President Barack Obama said anti-Israeli language in the draft final communique that was "oftentimes completely hypocritical and counterproductive" had been the red line for his administration.
 
Hivi kweli huu mkutano kama sisi waafrika unatusaidia nini?

Hivi wazungu wangesema haya kuhusu mikutano mbali mbali inayofanyika ili kusaidia nchi za Kiafrika katika matatizo mbali mbali je, tungefika!!!? Nchi nyingi za magharibi zilikuwa mstari wa mbele kuiwekea vikwazo vya kiuchumi na michezo serikali dhalimu na ya kibaguzi ya South Africa. Hivi wangeamua kusema haya ni matatizo ambayo hayazihusu nchi zetu kabisa, si ajabu hadi leo hii serikali ile ya kidhalimu na kibaguzi ingekuwa bado iko madarakani. Dunia yetu ni moja unaposhiriki katika kutafuta ufumbuzi wa matatizo 'yasiyokuhusu' basi na wewe unapokuwa na matatizo wale 'yasiyowahusu' wanaweza kukutana ili kutafuta njia za kukusaidia.

Hivi mimi kama mwafrika honestly..ubaguzi haunisumbui..

Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu! Katoe kauli hiyo kwa Wasouth Africa ambao walilazimika kuishi kama wakimbizi katika nchi mbali mbali duniani kwa miaka mingi sana, na wale walioshindwa kufanya hivyo waliouawa maelfu kwa maelfu na serikali dhalimu ya kibaguzi.

I have far far...pressing issues..kama njaa, magonjwa nk.

Naam kutokana na ubaguzi unaofanywa dhidi ya Wapalestine wamenyang'anywa hata ardhi yao yenye rutuba. Wataalam wao mbali wakiwamo madaktari wamehamia nchi nyingine ili kukimbia hali ya maisha ya kutisha na waliobaki kutokana na kutokuwa na uwezo wa kuhamia nchi nyingine wanakufa kutokana na kutopata lishe bora au matibabu kwa magonjwa ambayo yanatibika kirahisi kabisa.
 
Hivi wazungu wangesema haya kuhusu mikutano mbali mbali inayofanyika ili kusaidia nchi za Kiafrika katika matatizo mbali mbali je, tungefika!!!? Nchi nyingi za magharibi zilikuwa mstari wa mbele kuiwekea vikwazo vya kiuchumi na michezo serikali dhalimu na ya kibaguzi ya South Africa. Hivi wangeamua kusema haya ni matatizo ambayo hayazihusu nchi zetu kabisa, si ajabu hadi leo hii serikali ile ya kidhalimu na kibaguzi ingekuwa bado iko madarakani. Dunia yetu ni moja unaposhiriki katika kutafuta ufumbuzi wa matatizo 'yasiyokuhusu' basi na wewe unapokuwa na matatizo wale 'yasiyowahusu' wanaweza kukutana ili kutafuta njia za kukusaidia.



Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu! Katoe kauli hiyo kwa Wasouth Africa ambao walilazimika kuishi kama wakimbizi katika nchi mbali mbali duniani kwa miaka mingi sana, na wale walioshindwa kufanya hivyo waliouawa maelfu kwa maelfu na serikali dhalimu ya kibaguzi.



Naam kutokana na ubaguzi unaofanywa dhidi ya Wapalestine wamenyang'anywa hata ardhi yao yenye rutuba. Wataalam wao mbali wakiwamo madaktari wamehamia nchi nyingine ili kukimbia hali ya maisha ya kutisha na waliobaki kutokana na kutokuwa na uwezo wa kuhamia nchi nyingine wanakufa kutokana na kutopata lishe bora au matibabu kwa magonjwa ambayo yanatibika kirahisi kabisa.


Mkuu heshima mbele,

I beg to differ kwamba mataifa ya magharibi ndo yalimaliza ubaguzi South Africa. Ubaguzi ulimalizwa na waafrka wenyewe. Vikwazo gani ambavyo unaongelea? NANI alikuwa anawapa silaha hawa makaburu? Nani alikuwa ananunua bidhaa zao? Mpaka juzi juzi Mandela alikuwa ni gaidi kwenye list ya FBI. Sema hapa..wazungu walifika point wakaona the point has come. Kushindwa kwa ubaguzi kulikuwa inevitable. Michango ya akina Julius, Mugabe, nk..ndo ilimaliza ubaguzi na wala si akina Reagan na wenzake.

Yes, I say it again, mikutano kama hii haina manufaa kwetu sisi akina kapuku. Its just a minimalist approach kusudi wao hao wakubwa waonekane wanafanya kitu kuwasaidia the "wretched of the earth" akina sisi. Otherwise hakuna lolote. Hivi nikuulize..G8 wamepromise vitu vingapi kuisaidia Africa? leo zimetolewa kiasi gani? pale palipo na maslahi wanapojua na sisi tutafaidika wanabania..jiulize kwanini mpaka leo mazungumzo ya DOHA yamekwama? simple. Africa we stand to gain if we get better terms of Trade. Leo kila kukicha UN New York Afrika ikija kwenye agenda..watu wanaongelea "humanitarian assistance" namna ya kusaidia wakimbizi na wenye njaa. HAKUNA anaye discuss namna ya kumaliza hiyo njaa. Its just a business for the rich and the famous of this world.

Mkuu, I symphathise with your arguments maana najua ni wengi kama wewe ambao bado tunaamini katika hii "oneness of humanity". But Africa we should stop begging for candies..we have to ask for the real bread. Hatuhitaji misaada na kuonewa huruma. Tupe better terms of Trade, tupe fair representation kwenye maamuzi yanayotuhusu. Sio hivi vikao vya akina BAN Ki Moon Geneva eti vinaongelea racism. Tukijifungua kwenye hii minyororo ya umasikini..ubaguzi utakuwa thing of the past.

Tumeona vikao vingi sana kama hivi..na vyote vimeishia kuwa na declarations tuu ambazo...sana sana ni for academic records. NA UBAYA HUU MKUTANO HATA US hakuingia..basi ndo hata BAN Ki Moon mwenyewe anajua hakuna kitu..anasubiri siku ziende arudi zake New York.

Hivi nikuulize, mtu anaongelea racism US...ni nani alimpigia kura Obama? si hawa hawa wazungu tunaowalaumu? NAJUA HATUKOSI SABABU..OHH MAMA MZUNGU..OHH NANI..BUT THE POINT IS ALIPIGIWA KURA NA WAZUNGU HAO HAO...The moral of the story is: If you have something to offer on the table, people will take you seriously. Ingawa ofcourse personal element za wachache hazikosekani. Leo hii WAFRIKA TUNGEKUWA NA MAENDELEO..TUNGEHESHIMIKA POPOTE TUENDAPO. LAKINI KWA VILE MTU ANAJUA AKIKUFUKUZA HUNA PA KWENDA..NDO HAPO. I MEAN RECISM HAIWEZI KUONDOKA KWA VIKAO.

KWA HIYO SISI waafrica..matatizo yetu hayataisha kwa vikao vya akina G8, au UN huko wapi..ni sisi kupambana. Ukiwa masikini hakuna anayekusikiliza. Kila mtu anakuona ***** tuu..
 
Mkuu heshima mbele,

I beg to differ kwamba mataifa ya magharibi ndo yalimaliza ubaguzi South Africa.

That is your opinion lakini ukweli ni kwamba South Africa ilikuwa inaexport bidhaa mbali mbali toka katika viwanda vyao ikiwemo na vyakula katika nchi za magharibi na walikuwa na soko kubwa tu. Mara baada ya kuwekwa vikwazo vya kiuchumi dhidi ya serikali ya kidhalimu na kibaguzi, uchumi wao ukaanza kuteteraka kwa kasi kubwa na kuathiri mammbo mbali mbali ikiwemo their lifestyle.

U
Ubaguzi ulimalizwa na waafrka wenyewe.

Si kweli hata kidogo kwamba kuanguka kwa serikali dhalimu ya kibaguzi kulimalizwa na Waafrika peke yao. Bila jitihada za dunia nzima si ajabu ubaguzi na udhalimu ungekuwepo SA hadi hii leo. Waulize wote waliofuatilia kuanguka kwa serikali ya wabaguzi kama kuanguka kwao kulisababishwa na Waafrika pekee.

Vikwazo gani ambavyo unaongelea? NANI alikuwa anawapa silaha hawa makaburu? Nani alikuwa ananunua bidhaa zao? Mpaka juzi juzi Mandela alikuwa ni gaidi kwenye list ya FBI. Sema hapa..wazungu walifika point wakaona the point has come. Kushindwa kwa ubaguzi kulikuwa inevitable. Michango ya akina Julius, Mugabe, nk..ndo ilimaliza ubaguzi na wala si akina Reagan na wenzake.

Baada ya kuwekewa vikwazo hata silaha walikuwa hawapati toka nchi ambazo ziliamua kuwawekea vikwazo, ilibidi watumie njia haramu kujipatia silaha hizo.

KWA HIYO SISI waafrica..matatizo yetu hayataisha kwa vikao vya akina G8, au UN huko wapi..ni sisi kupambana. Ukiwa masikini hakuna anayekusikiliza. Kila mtu anakuona ***** tuu..

Huo ni mtazamo wako. Pamoja na kuwa UN haiko perfect lakini bado ina role kubwa ya kuplay katika kutafuta ufumbuzi wa matatizo mbali mbali duniani na siyo Afrika pekee. Pamoja na umaskini tulionao tumepata misaada mingi tu kwa njia za mikopo na misaada kupitia nchi mbali wanachama wa UN ambazo matatizo ya Afrika 'hayawahusu'. Tatizo letu nchi za Afrika nyingi ya pesa hizo zinaishia mifukoni mwa mafisadi na hivyo kutoleta maendeleo ya kweli kama yalivyokusudiwa na nchi hizo. Juzi tumesoma hapa kwamba 30% ya msaada toka Norway ziliishia mifukoni mwa mafisadi. Hali kama hii kamwe haizisaidii nchi zetu za Afrika.
 

For decades, South Africans lived under apartheid – an unjust and racist system that discriminated on race and perpetuated appalling human rights abuses. Yet global pressure and the tireless work of activists within South Africa saw an end to this injustice.

Following the end of apartheid, under the leadership of Nelson Mandela, black South Africans enacted a process of forgiveness, justice and reconciliation rather than seeking revenge.

Nelson Mandela salutes his supporters on a visit to Australia in 1990. In 1994 black South Africans were eligible for the first time to vote in their own country's democratic elections. Mandela won by a landslide.

Credit: National Archives of Australia: A8746, KN31/10/90/201
The origins of apartheid

The roots of apartheid began with European colonisation of Africa. Disputes between colonial powers led to the Boer War at the turn of the 19th century.

Britain finally won the war in 1902, but the peace treaty left the rights of the black community to be decided by the white authorities, and the ex-Boer republics continued to exclude non-whites from the political process.

Racist and discriminatory laws began to be passed by the South African Party which was in power. In 1913, laws were passed reserving 90 percent of the country for white ownership and forbidding black Africans from working for themselves or owning land outside the native reserves.

Apartheid became official policy in 1948. Previous oppressive and discriminatory policies were formalised and toughened.

What was apartheid?

Apartheid is an Afrikaans word meaning literally ‘apartness'. Apartheid is the name for the discriminatory political and legal system enforced in South Africa from 1948 to 1994.

The apartheid system allowed the ruling white minority in South Africa to segregate, exploit and terrorise the vast, non-white majority, which included Africans and Asians.

In fact, apartheid was racism made law. It dictated how and where non-white citizens of South Africa would live, work and die. (1)

Human rights abuses

The apartheid system discriminated against the majority black population in many ways.

Although black South Africans made up 70 percent of the population, they were restricted to small areas of the country.

The land they were assigned was usually unable to support the population forced onto it. These areas rarely had plumbing or electricity.

In areas designated ‘whites only', black or ‘coloured' South Africans were not allowed to run businesses. White people had to be served ahead of any black person already waiting and until the 1980s blacks were also expected to step off the footpath to make way for any white pedestrian.

Non-whites were unable to vote except in elections for ‘coloured' bodies which had no power. Trains and buses were designated according to race, with different buses and different stops for blacks and whites.

Anyone needing emergency medical help had to identify their race when calling an ambulance – a ‘white' ambulance would refuse to take a black person to hospital.

The fall of apartheid

The demise of the apartheid system came about for many reasons.

There were internal pressures. Blacks fought against the unjust system through a campaign of resistance, followed by an armed struggle which began in the 1960s. Nelson Mandela was sentenced to life in prison during the 1960s for his role as a leader in the campaign against apartheid.

Foreign pressures were added, mainly in the shape of sanctions which crippled the South African economy. Christian churches, both within South Africa and around the world, added to the pressure.

South Africa became progressively more isolated, politically and economically, by the international community. Finally, the National Party government realised that apartheid could no longer be defended.

On 2 February 1990, the then President F.W. de Klerk gave a famous speech to Parliament that led to Nelson Mandela's release and the fall of apartheid.

In April 1994, the first ever democratic elections took place, and Nelson Mandela became president.


Truth and reconciliation


Apartheid is over, but its consequences remain a challenge for all South Africans.

Many black South Africans still live in extreme poverty, with lower incomes and less access to water, work and other basic rights than the white community. Poverty has contributed to very high rates of HIV & AIDS infection.

A Truth and Reconciliation Commission was set up, primarily to investigate human rights abuses under apartheid, such as politically motivated murders and attacks, and torture and ill-treatment of prisoners.

While progress has been difficult in many areas, Nelson Mandela has said that the "memory of a history of division and hate, injustice and suffering, inhumanity of person against person should inspire us to celebrate our own demonstration of the capacity of human beings to progress, to go forward, to improve, to do better". (2)

Forgiveness and healing is helping South Africa move on from the wrongs of the past.


Endnote(s):
(1) United Nations (15 September 2004) Human Rights: Historical images of Apartheid in South Africa [Online] Available at: United Nations Photo
(2) United Nations, Human Rights: Historical images of Apartheid in South Africa.
 
Bubu I appreciate this discussion and the level of your understanding.

Absolutely, hakuna shirika ambalo limeanzishwa kwa goals za maana na msingi kama UN. (Ingawa tuliingia tuu..hatukuchangia uanziswaji wake) That said..unapoongelea International community..unamuongelea nani haswa? Yes Burundi and US all have one vote in the GA so is Burma and HAITI. But do you think their powers and influence is the same? The difference lies on what you bring on the table!

Sikujui na mimi hunijui kwa hiyo siwezi kujua mtizamo wako mwingine. LAKINI kwa upande wangu UN naijua kama ninavyokijua kiganja changu. Its just a western project ya kuonyesha kwamba people care. And rightly so. Kwa sababu wao ndo wanalipa Bill. Hivi usiende mbali. Somalia imekuwa lawless for how many years? Juzi umeona piracy na wakubwa walipoona maslahi yao yanahatarishwa ndo uliona swala chap chap linapelekwa kwenye Security Council na mimeli na midege kushushwa. TATIZO sasa limeshakuwa global. KISA MASLAHI YA WAKUBWA YAMEHATARISHWA. Kosovo sehemu ambayo hailingani na Arusha...walipelekwa askari wa kulinda amani zaidi ya elfu hamsini..How many are in DARFUR? HATA NDEGE HAWANA?

In all, my argument is, we should stop this nonsense of International community thing. (Sorry I hate this word because you cant define who is international community) Kikubwa tufanye kazi kama waafrika , matatizo yetu yatamalizwa na sisi (huo ufisadi unaousema ni mimi na wewe kuumaliza siyo UN wala Obama). Muone China..alikataa kuimba ule wimbo wa Human Rights na Rule of Law..kama wanavyotaka wakubwa...Leo....wazungu wamekubali kwamba it is possible bila rule of law..nchi ikaendelea (not sure for Africa). Why? China wameamua kufikiria kivyao. Bila kukubaliana na hao international community. We need to think outside the box.

I can assure you, kama ukuta wa Berlin usingeanguka na US kubaki undisputable superpower na mataifa ya AFrica kuchachamaa.....Ukaburu mpaka leo ungekuwepo..Its all about strategies.

1996, Richard Holbrook, alikwenda Kinshasa akamwambia Mobutu; Mzee you either go or we kick you out of this place. We no longer need you. Mobutu alilia kama mtoto mdogo. Lakini nani alimtunza Mobutu miaka yote hiyo? How many millions of Congelese died as a result? Leo hao hao ndo wanakwambia tunataka kuwasaidia mpate maendeleo? Duh..You dont need a a PhD from Stanford to know the trick here.

Leo tunamlaumu Ahmedinajed kuwa mbaguzi (Yes sikupenda tone yake)...LAKINI NANI kasimama kumlaumu Lieberman FM wa Israel ambaye kasema kabisa waarabu wanaoishi Israel wafukuzwe? Umesikia hata neno moja kutoka kwa wakubwa? Common buddy..International community is just like International LAW. Its good when it serves your interests. US watu wamekuwa tortured huko Guantanamo..ulisikia European Union ambao ndo viranja wakuu wa haki za binadamu wakimnyoshea kidole marekani?

The current economic order, Africa stands to lose and we shall continue being beggars mpaka mwisho wa dunia. Multilateralism will be good when it serves interests za wakubwa. Tuliyaona Kosovo 1999 tumeyaona Iraq 2003..na wala sio mwisho....Thanks to China, Brazil. India et al...They have known the trick. Akina kapuku ndo tumebaki kwenye hizi kelele za international community.

I really hate this double standards za wakubwa. NA KIBAYA..WANASHINDWA Kuelewa kwamba hata wengine wamesoma shule walizosoma..Its just disguisting. I for one. I am huge proponet of multilateralism. But in the current global order..Tunadanganyana tuu..tuishi kwa matumaini.

Jioni njema, ngoja nikakamate dala dala.
 
Hapa hakuna lolote. Siku zote nimesema suala la Israel na Palestine halisemwi openly kwamba ni vita mpya kati ya Ukristo na Uislamu. Na hakutakuwa na utatuzi mpaka watu wote ikiwamo na wana JF tutakapokuwa tayari kusema ukweli kwamba ni dini tu ndizo zinatawala mijadala hii.
Hata hapa jf wote wanaounga mkono speech ya mtawala wa Iran ni wale wale waislamu waliofundishwa kuanzia katika vitabu vyao kuchukia Israel, na wanaounga boycot ya westerners ni Wakristo wanaoitetea Israel according to their books. Najua members wengi mrajaribu kukataa hili lakini ukweli huwa haubadilishwi kuwa uongo hata ukipakwa rangi ya uongo utabaki ukweli.
 
Back
Top Bottom