johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,872
Binafsi naamini tunasherehekea kumbukumbu ya siku ya Uhuru wa Tanganyika ambayo leo haipo bali tuna Tanzania.
Ukisema kwa mfano miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika unamaanisha nini? Tanzania ina miaka 57 na Tanganyika haipo.
Karibu kwa mjadala chanja.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote Majilio haya!
Ukisema kwa mfano miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika unamaanisha nini? Tanzania ina miaka 57 na Tanganyika haipo.
Karibu kwa mjadala chanja.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote Majilio haya!