A akoon Member Jan 24, 2021 63 48 Jan 25, 2021 #1 Habari za muda huu waungwana. Samahanini kwa usumbufu mimi ni kijana niliemaliza kidato cha nne mwaka 2007 na kupata division four ya point 27. Na matokeo yangu ni kama yafuatayo: B/MATHEMATICS C GEOGRAPHY D HISTORY D ENGLISH D KISWAHILI D BIOLOGY D CIVICS D
Habari za muda huu waungwana. Samahanini kwa usumbufu mimi ni kijana niliemaliza kidato cha nne mwaka 2007 na kupata division four ya point 27. Na matokeo yangu ni kama yafuatayo: B/MATHEMATICS C GEOGRAPHY D HISTORY D ENGLISH D KISWAHILI D BIOLOGY D CIVICS D
be unique JF-Expert Member Oct 12, 2016 2,374 2,273 Jan 25, 2021 #2 Business adminstration,itakufaa sana.
A akoon Member Jan 24, 2021 63 48 Jan 25, 2021 Thread starter #3 jina halisi said: Business adminstration,itakufaa sana. Click to expand... Asante ndugu
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,056 141,869 Jan 25, 2021 #4 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: mahondaw