Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,365
- 7,606
Hivi karibuni na labda tokea zamani kumekuwapo na wimbi la wazazi wa kike kubainika kuwa waliwabambikizia wazazi wakiume watoto wasio wao.
Jambo hilo limekuwa likileta mtafaruku katika ndoa na familia nyingi pale inapobainika kuwa mtoto si wa baba mwenyenyumba.
Hii ni kwa sababu hakika ni jambo baya sana kwa Mwanamke kutoka nje ya ndoa kuliko mwanaume.
Mara baada ya visa kadhaa vya mauaji na kuumizana kimwili kunakopelekewa na bainiko la mtoto wa nje ya Ndoa ndani ya ndoa, nimeonelea ni vyema kwa wale wanaume wenye roho nyepesi na ambao watoto wamefanana zaidi UJOMBANI, Kuhoji wake/wanawake zao kuhusu uhalali wa watoto.
Je, ni Kosa Kumuuliza Mke/Mwanamke wako uhalali wa mtoto na yeye awe huru tuu kukueleza kama ni wako au sio wako ili ufanye maamuzi sahihi kabla hujachelewa?
Maana kunamsemo wa kiswahili usemao "Chelewa Chelewa Utamkuta Mwana Si wako".
Nawasilisha
Jambo hilo limekuwa likileta mtafaruku katika ndoa na familia nyingi pale inapobainika kuwa mtoto si wa baba mwenyenyumba.
Hii ni kwa sababu hakika ni jambo baya sana kwa Mwanamke kutoka nje ya ndoa kuliko mwanaume.
Mara baada ya visa kadhaa vya mauaji na kuumizana kimwili kunakopelekewa na bainiko la mtoto wa nje ya Ndoa ndani ya ndoa, nimeonelea ni vyema kwa wale wanaume wenye roho nyepesi na ambao watoto wamefanana zaidi UJOMBANI, Kuhoji wake/wanawake zao kuhusu uhalali wa watoto.
Je, ni Kosa Kumuuliza Mke/Mwanamke wako uhalali wa mtoto na yeye awe huru tuu kukueleza kama ni wako au sio wako ili ufanye maamuzi sahihi kabla hujachelewa?
Maana kunamsemo wa kiswahili usemao "Chelewa Chelewa Utamkuta Mwana Si wako".
Nawasilisha