mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,413
- 8,398
Kuna mmoja alikuwa anakula ugali Hadi 3 asubuhi tena ule Inga WA watu WA musoma halafu wanaanza patrol. Huyu akikutana na Hamza atampa bunduki Kwa hiari.Wanapenda sana kula viporo makambini et wanaita vijogoo au ugali pande unaliwa saa mbili asubihi