mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,699
- 37,299
wewe unayejua ndio umeandika shahidi no 1 ni hamza na no 2 ni hao waliomuua!!!!Ofcouse, maana huelewi na hujui kitu.
wewe unayejua ndio umeandika shahidi no 1 ni hamza na no 2 ni hao waliomuua!!!!Ofcouse, maana huelewi na hujui kitu.
tena kikubwa kishenzi.Mh we utakuwana kitambi maana sio kwa kutetea huko
ukaenda kubadili helmet mkuu.You are responsible for yourself. Ficha ujinga wako .
Kuna aina 8 za kunyang'anya silaha za moto na 21za mchanganyiko sasa wewe unasema aina ipi?Nilipitia mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria kwa mwaka mmoja miaka hiyo. Baada ya kumaliza ukuruta (pass out) tulipatiwa uwezo wa kulinda vituo mbalimbali kwa kutumia silaha za moto. Onyo kali tulilopewa ni kuhusu ubaya wa askari kunyang'anywa au kupoteza silaha yake, kofia, buti au chochote kinachomfanya aweze kutimiza majukumu yake ya uaskari.
Tufanye nini ili wananchi tuambiwe ni kwanini askari wetu walipokonywa silaha zao na Hamza?
Kwanini Hamza asingeachwa ili ahojiwe zaidi yeye mwenyewe?
Hakuna aliyestahili kujiuzulu kwa tukio lote lile?
Kiriba tumbo hichooo.....safiitena kikubwa kishenzi.
uzembe wakati nayeye alikua na silaha!!unajua unachoandika??Ni uzembe kwa Sababu amewaua wote wawili waliokuwa na silaha.
vipi lindo lile lilitimiza sifa za kuitwa lindo??Ni kwa Sababu polisi wetu hawajui kujiposition wanapokuwa kwenye lindo.
huwenda wanakosea,turudi kwenye uhalali wa hamza kufanya alichofanya,maana ni ujinga kudhani labda hamza alikuwa akiwafundisha namna ya kukaa.Wanalundikana kama kifurushi cha sisimizi na kila siku ndio wapo hivyo and they will never change.
mimi sijasema limeanzia kwa hamza,mada hapa ni ugaidi wa hamza,labda kama unakataa ugaidi wa hamza sababu sio yeye wa kwanza kuua askari sawa,tuhamie huko.Tuache upumbavu kwani tukio la polisi kuvamiwa na kupokonywa silaha limeanza kwa Hamza tu , ni mara ngapi tunaona polisi wanavamiwa kituoni na kupokonywa silaha.
ukiwa lindoni,bado ni binaadam kama wengine,kuna muda utapiga simu nyumbani,utakula,au kiteta jambo na mwenzako,hasa ukizingatia wengi wa polisi wanafanya kazi muda mrefu sana.Ukiwaona wenyewe wapo lundo wanaiga soga.
you wish,but reminding you wakiwamaliza hao utakosa kwa kuhifadhi kalio lako,huu ni mtego wa panya.ni wenye busara tu wanaweza kuona ubaya wake.bahati mbaya vilaza wanacheza matako juu wakishangilia.Wataendelea kumalizwa like always wasipojifunza na kujua maaana ya positioning.
aliua 4 akamalizwa.kajifunze ambush inawezakuua askari wangapi kwa wakati mmoja.au unadhani risasi ni kama goli la mapenzi??ulivute weeeeeHamza alitakiwa Kama ni Ambush , auwe Askari 1 tu kisha awe ameshamalizwa.
wewe unaijua hata moja ya huko vitani,au unazionea kwenye runinga ya mabanda ya video??Tusichanganye ambush ya kwenye vita na hii ya ma polisi wetu.
Watizameni hata barabarani wanavojiposition..,mtaelewa why huuliwa kwa pamoja.
aisee.Toka lini Sirro akawa na akili
Jaluo boss Lao lilitakiwa liachiwe ngaziNilipitia mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria kwa mwaka mmoja miaka hiyo. Baada ya kumaliza ukuruta (pass out) tulipatiwa uwezo wa kulinda vituo mbalimbali kwa kutumia silaha za moto. Onyo kali tulilopewa ni kuhusu ubaya wa askari kunyang'anywa au kupoteza silaha yake, kofia, buti au chochote kinachomfanya aweze kutimiza majukumu yake ya uaskari.
Tufanye nini ili wananchi tuambiwe ni kwanini askari wetu walipokonywa silaha zao na Hamza?
Kwanini Hamza asingeachwa ili ahojiwe zaidi yeye mwenyewe?
Hakuna aliyestahili kujiuzulu kwa tukio lote lile?
1.Mkuu tafuta watu wakusaidie kuelewa. Hakuna sehemu nimesema kuhusu mashahidi. Unaelewa nini kuhusu neno mtuhumiwa (suspect)?wewe unayejua ndio umeandika shahidi no 1 ni hamza na no 2 ni hao waliomuua!!!!
1.Mkuu tafuta watu wakusaidie kuelewa. Hakuna sehemu nimesema kuhusu mashahidi. Unaelewa nini kuhusu neno mtuhumiwa (suspect)?
2. Kama wewe ni polisi basi ndo ujue huna unalolijua.
3. Kama katika tukio lile hujui kama polisisiem nae ni mtuhumiwa ni bora ungemuuliza mleta mada ni kipi alimanisha katika uzi wake kuliko kuanza kumchallenge na wakati hujui hata kureason. Ulikirupuka tu.
Mkuu rejea comment yako ya kwanza kwa mleta uzi, unasema watu wanaufaham wa madhara ya silaha isipokuwa wenye matatizo ya akili....1, ulimwengu wa uchunguzi uko hivi,ndio maana mnapodai kuna wizi wa dhahabu watu na fani zao wanshangaa,shahidi no 1 wote wamekufa.nyinyi taarifa mmetoa wapi??polisi ni watuhumiwa namba mbili vipi wakati,wale waliofariki wanatuhumiwa wa wizi wa dhahabu??au huamini katika dhana hii??
2,unakisia tu hata nikikwambia eleza kwanini umekiskia hivyo hujui pia.
3,sasa kama polisiccm nayeye ni mtuhumiwa,anakuwaje namba 2,wakati kuna tuhuma za wizi wa dhahabu kwa marehem 4 wa kwanza??ama umesahau tena nini unaandika!!!au umeacha kuamini tena dhana yako!!
unataka kusemaje hapa labda.Mkuu rejea comment yako ya kwanza kwa mleta uzi, unasema watu wanaufaham wa madhara ya silaha isipokuwa wenye matatizo ya akili....
ok shida yako ni ukweli wa maelezo au maelezo hayo yanatoka kwa nani!!hili naona ni tatizo lako binafsi sasa.sidhani kama linawahusu hawa watuhumiwa.Pia unasema tumeshaambiwa Hamza alikiwa ni gaidi. Na hapa ndo nataka ujue kuwa wewe hujui kitu. Huyo aliyekwambia Hamza ni gaidi yeye pia ni mtuhumiwa. Sasa kama mtuhumiwa aliwezaje kujichunguza? Ulitegemea aje akwambie Hamza alikuwa malaika kutoka mbinguni wakati pia na yeye ni mtuhumiwa.
hapa unajitetea,labda baada ya kushindwa kabisa kunielewa.na kama unajua mengi ni vyema kwako,kaa nayo wala sitaki unielezee maana hauko neutral.Pia ujue kutofautisha kati ya mtuhumiwa na shahidi. Mimi naweza kukuelezea mambo mengi sana japo kwa uelewa wako mdogo unahisi siwezi. Na kweli siwezi kupoteza muda kukuelezea maana hata tofauti ya mtuhumiwa na shahidi huijui.
toka mwanzo nimekuuliza ulitaka maelezo kutoka kwa nani,ama taasisi ipi ili ukubali na uridhike kwamba ni kweli alikua gaidi??hoja ya uzembe wa askari pia nimekuelezea,ni jinsi gani hawakuwa wazembe,ila tatizo ni lile lile,mtz ni mtu mzuri sana katika porojo.Pia umeleta mambo ya wizi wa dhahabu, hapa tupo kwenye uzembe wa askari, na wewe tetea hoja yako ya TUMESHAAMBIWA HAMZA NI GAIDI. Usitoke nje ya mada please maana unawez kuongeza mzigo mzito wa kuja kushindwa kutetea hayo unayotaka kuyaleta.
Mkuu umeshinda. I guess wewe ni slow learner. Hutumii akili yako bali ya kusikia. Sihitaji kukwambia ni mamlaka ipi/nani anapaswa kumchunguza mtuhumiwa akiwa raia na akiwa polis.unataka kusemaje hapa labda.
ok shida yako ni ukweli wa maelezo au maelezo hayo yanatoka kwa nani!!hili naona ni tatizo lako binafsi sasa.sidhani kama linawahusu hawa watuhumiwa.
hapa unajitetea,labda baada ya kushindwa kabisa kunielewa.na kama unajua mengi ni vyema kwako,kaa nayo wala sitaki unielezee maana hauko neutral.
toka mwanzo nimekuuliza ulitaka maelezo kutoka kwa nani,ama taasisi ipi ili ukubali na uridhike kwamba ni kweli alikua gaidi??hoja ya uzembe wa askari pia nimekuelezea,ni jinsi gani hawakuwa wazembe,ila tatizo ni lile lile,mtz ni mtu mzuri sana katika porojo.
hata nikikuruhusu kwamba ni kweli walikuwa wazembe,hamza anakua mwalimu wao aliyekuwa akijaribu kuwafundisha ama!!!!!
Niombee sanandio maana naamini utabadilika.
hata kama sio leo au kesho.
Mkuu umeshinda. I guess wewe ni slow learner. Hutumii akili yako bali ya kusikia. Sihitaji kukwambia ni mamlaka ipi/nani anapaswa kumchunguza mtuhumiwa akiwa raia na akiwa polis.
kuanzia leo ujue, mtuhumiwa hapaswi kujichunguza. Pia uelewe, chombo cha usalama kinapotuhumiwa/kinapokuwa na tuhuma kinapaswa kuchunguzwa. Sasa nani anaepaswa kukichunguza, hiyo itakuwa HOMEWORK yako. Nategemea uje tena maana kureason hujui bali kuleta tu ubishani.
Jeshi la miezi 6 ni jeshi au unyoronyoro TU? Baada ya watoto wa wakubwa kutafutiwa ajira huko wakaamua iwe miezi 6 TU.mwisho utasema wasife maana wamekaa depo miezi 6,ujinga ukikomaa inakuwa sifa ya kimaumbile,au upumbavu.
Kumbe ulikuwa hujui? Sasa hiyo itakuwa homework ya pili kujua kwanini polisi inatuhumiwa na haikupaswa kuchunguza hilo tukio. PERIODunapenda kutuhumu,unanituhumu mimi ni slow learner.unaituhumu polisi,hata hiyo taasisi unayowezapewa ichunguze itaituhumu,sababu ni moja tu,una majibu yako kichwani tayari.
embu nieleze,kwa scene ya tukio zima,polisi inatuhumiwa kwa jambo gani???mpaka unahisi ilipoteza mamlaka ya kuchunguza tukio lile??
aisee.Kumbe ulikuwa hujui? Sasa hiyo itakuwa homework ya pili kujua kwanini polisi inatuhumiwa na haikupaswa kuchunguza hilo tukio. PERIOD
umeshawahi kutana na hao wanajeshi wakilinda mipaka!!!Jeshi la miezi 6 ni jeshi au unyoronyoro TU? Baada ya watoto wa wakubwa kutafutiwa ajira huko wakaamua iwe miezi 6 TU.
Mipaka ya Nchi inalindwa na JWTZ, kama kweli ni gaidi anaetafuta silaha kwanini hakwenda kwa wanajeshi kwenye makundi Yao akaamua kwenda polisi?