Ni kosa kubwa kuruhusu mke wako afanye kazi

Mwanamke akiwa na mapenzi na ww hawez chepuka ht iweje. Hv mnawachukulia kirahisi rahisi tuu khaaa
Dah...unajua wengi wanawaza kuchepuka tu Kama ndiyo tatizo ndani ya mahusiano... utulivu wa akili ndiyo msingi wa mahusiano bora....Fikiria umerudi nyumbani na steles zako za TRA... Kodi hailipiki....na mwenzio naye ana barua ya onyo ..tena ya uonevu tu kutoka bosi wake mzee anayemtaka... na inasemekana ana ngoma ....na uchumi nyumbani umeyumba...kutalalika kweli? Nani atamshauri Nani?

Sent using Beretta ARX 160
 
Mkuu ulichoongea kina ukweli kwa asilimia zote, nina ushahidi wa hilo, mmoja ni mfanyakazi wa duka la nguo za kiume mme wake kamuachia auze... Nilishamtafunia kwa kuwa nilikua mteja mzuri tu, wengine ni hawa watu wa Kigoma wanaochukua dagaa kupeleka Congo kama mpo katazeni wake zenu walishatafunwa sana njiani wanamolala...
Na mwingine ni mfanyakazi mwenzangu kamuachia mke wake akafanye biashara nae tayari nilishamtafuna. Na wabaya zaidi ogopa wale wanaoenda nje ya nchi hapa sisemi.
Sio vizuri kujisifia kuwa ww ni mzinifu, Jua kila unalofanya linaandikwa na utahukumiwa
 
Hiyo avatar yako tumekuelewa una mawazo ya wakoloni waliokuletea unachokiamini. Kwa tarifa yako mwanamke ni binadamu kama wewe , ana ubongo, anafikiri kama wewe na sio bidhaa, ama mfugo ama mali ambao unaweza kuupangia utakavyo. Hayo yaliwezekana karne zile nyeusi ( medival period) lakini kwa sasa hata hao waliokuletea hizo ideology wamechanganyikiwa kutokana na msukumo wanaoupata kutoka kwa wanawake kudai haki zao zilizokuwa zimekaliwa na watu. Kwa sasa wameanza kuruhusiwa kugombea uongozi, kuendesha gari nk mambo ambayo yalionekana kama hayawezekaniki kabisa. "WORLD IS CONSTANTLY CHANGING"
1065751
 
daaa!Kama hayaja kukuta nirahisi sana kumbishia mleta mada lakini kumpata mwanamke ambae atajengeka kimwili na kiakili kazi sana na ukitaka kujuwa ndowa inayumbaje mwanamke awe bize na kazi zake na wewe uwe bize na kazi zako na akuzidi kipato au hata ingizo la siku utaona wewe.
 
Kwangu Mimi ni upumbavu kumnyima Uhuru wa kiuchumi mwanamke kwa kisingizio Cha ndoa na kua na mamlaka kukuzidi

Swala la msingi ni kuwaza kwa upana
Mfano umeoa na umeamaua more wako asufanye kazi akawa mama wa nyumbani tu ikitokea umekufa ghafla maisha ya familia uliyoacha wanapata taabu sana kwa sababu tu kuwaza kwa mtindo wa mleta uzi

Sio mbaya mfumo unaowaza ila wenyewe unafaida kwa kipindi kifupi tu ila in Long run hata haina faida



Kwa case nyingine ni kwamba maendeleo ya familia yanachelewa sana kwa sababu Kila kitu utakua wewe tu ndo uko responsible kuanzia mavazi, chakula, mahitaji mengine ya nyumbani Kama ni kujenga, ada za watoto, shida za ndugu, kusaidia wakwe, na wazazi wako Kila jukumu ni lako hapo mzigo wa maisha unakuelemea


Sasa si ni Mara 100 Bora mwanamke nae akawa huru kiuchumi kwa kufanya kazi na biashara ili baadhi ya majukumu awe anakamilisha mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa uta escalate divorce kwa ajili ya mtu mjinga na mna watoto wadogo!? Things aren't that easy ndio maana tunawatwangaga makofi
Ukimtwanga makofi anasikia? Kumrudisha kwao sina maana ya kudevorce hapana...ni kumuadhubu kwa muda halafu wazazi unawaeleza sababu ya kumrudisha nao wataongea na binti yao tena kwa mkazo kwamba amauheshimy mume..siku akirudi adabu kubwaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwangu Mimi ni upumbavu kumnyima Uhuru wa kiuchumi mwanamke kwa kisingizio Cha ndoa na kua na mamlaka kukuzidi

Swala la msingi ni kuwaza kwa upana
Mfano umeoa na umeamaua more wako asufanye kazi akawa mama wa nyumbani tu ikitokea umekufa ghafla maisha ya familia uliyoacha wanapata taabu sana kwa sababu tu kuwaza kwa mtindo wa mleta uzi

Sio mbaya mfumo unaowaza ila wenyewe unafaida kwa kipindi kifupi tu ila in Long run hata haina faida



Kwa case nyingine ni kwamba maendeleo ya familia yanachelewa sana kwa sababu Kila kitu utakua wewe tu ndo uko responsible kuanzia mavazi, chakula, mahitaji mengine ya nyumbani Kama ni kujenga, ada za watoto, shida za ndugu, kusaidia wakwe, na wazazi wako Kila jukumu ni lako hapo mzigo wa maisha unakuelemea


Sasa si ni Mara 100 Bora mwanamke nae akawa huru kiuchumi kwa kufanya kazi na biashara ili baadhi ya majukumu awe anakamilisha mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Zio tu kukamilisha baadhi ya majukumu bali pia kukupa ahueni wewe mume la sivyo utajikuta umeugua presha zisizo na chanzo

Maisha ni kusaidiana, na mke ni msaidizi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mwanamke. Mpimbavu tu atakayekubali. Mwanaume alokutana akiwa na meno 32 kama sio 28 na magego 4 amwachishe kazi.....


Asome Kwa juhudi zake....

Akwepe umande.......

Akubali kuacha kazi as if hana maisha zaidi ya mume


Ana maisha

Ana. Mahitaji yake

Na. Majukumu yake

Ana ndoto za kutimiza pia


Yaani Mwanamke ukikubali kuacha kazi yako kwa sababu ya kumridhisha binadamu mlokutana na meno 32 aliyejaa kutokujiamini ujue utakuwa mwanamke Either mpumbavu au mvivu


Usiku mwema people!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Nina aleji sana na Mwanamke alisoma au anayefanya kazi mwenye ufinyu wa mawazo chanya kama yako.

"Stand for the truth always stand alone"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom