beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni, Dkt. Ezekiel Kiongo amesema kumrushia mtu wimbo bila idhini ya mwenye nao ni kosa hata kama huuzi. Amesema ni kosa kurusha kazi ya mtu mwingine bila kibali chake.
Amefafanua, "Kwenye Sheria ya Mtandao (Cyber Law) inakataza na inasema mtu anaweza kulipa faini ya Milioni 5 au kifungo cha miaka mitatu. Unaweza ukaenda jela miaka mitano au zaidi, lakini ukalipa faini ya Milioni 20 au vyote kwa pamoja vile Mahakama inavyoona inafaa kama unauza na Msanii hana habari"
Amesema wasanii wanapaswa kujitokeza haki zao zinapokiukwa ili hatua ziweze kuchukuliwa ili kukomesha wizi kwenye kazi za sanaa
Chanzo: Bongo 5
Amefafanua, "Kwenye Sheria ya Mtandao (Cyber Law) inakataza na inasema mtu anaweza kulipa faini ya Milioni 5 au kifungo cha miaka mitatu. Unaweza ukaenda jela miaka mitano au zaidi, lakini ukalipa faini ya Milioni 20 au vyote kwa pamoja vile Mahakama inavyoona inafaa kama unauza na Msanii hana habari"
Amesema wasanii wanapaswa kujitokeza haki zao zinapokiukwa ili hatua ziweze kuchukuliwa ili kukomesha wizi kwenye kazi za sanaa
Chanzo: Bongo 5