Ya kwako au ya MTU mwingine??Nilijaribu kutumia laini ya tigo mara moja
Tatizo hukusema shida yakoHujachelewa, mtafute tu
Nilifanya kosa la kutohudhuria msiba wa mama ambae alikuwa wa muhimu sana kwangu,najisikia vibaya sana..nashindwa kukusahau mama yangu mpenzi .. natamani unitokee uniambie umenisamehe. Mungu akulaze mahali pema KUNEGUNDA.
Pole sana ,hakuna lisilo sameheka
Hahaaa nimejikuta nacheka,Nilimkosea baba angu kwa makusudi kabisa nikiamini akija atanipiga ili Na mimi TUZIPANGE,ila aliporudi alilia na kutoa machozi mbele yangu huku akiniuliza kwa upole na uchungu "kwanini sam" SITOSAHAU ILE SIKU najuta najuta hadi kesho nikikumbuka ile kitu.
Nilijaribu kutumia laini ya tigo mara moja
Luka Modric' alichukua nini mwaka jana?Najutia kutokwenda academy ya soka jijini Mwanza iliyokuwa chini ya Sylvester Mash nikiwa form two 2009 mipango niliandaa vyema kabisa sijui hata ilikopotelea jamani. Kuna huyu mtu anaitwa RICARDO IZECSON DOS ANTOS LEITE maarufu kama "KAKA" ndo nilikuwa namuangalia kama role model wakati anakiwasha pale AC MILAN na akina Pirlo, nilishuhudia akiwachakaza Man U pale Old Trafford na kutinga hatua ya Fainali walipocheza na Liverpool mwaka 2007. Hadi leo "KAKA" anabaki kuwa ndo binadamu pekee kuchukua tuzo mbele ya LIONEL Messi na Cristiano Ronaldo. Nilitaka kuja kufanya unyama kama wa "KAKA" lakini Mungu hakupi unachotaka bali anakupa unachostahili.
Asante kwa kunisahihisha mkuu unajua tena mapenzi kwa mtu hayaelezeki.Luka Modric' alichukua nini mwaka jana?
kutumia miaka 25 ya maisha yangu kusoma tu ( mpaka chuo kikuu )....hua nahisi kama nimepoteza nusu ya maisha yangu, inaniumaga sana
shida ni mda tu, nimepoteza mda sana shuleni, nakuja kujishtukia tu nimezeekaHaujapoteza ndg. Kwan elimu ni asset. Naamini utafanikiwa ndg.
shida ni mda tu, nimepoteza mda sana shuleni, nakuja kujishtukia tu nimezeeka
Duuuuh pole sana mkuukumsomesha demu wangu mpaka kamaliza matokeo yake ile kumaliza tu. naletewa kadi ya mwaliko wa harusi. sito msamehe hadi kufa.
Hii ishu ya kusoma imeniudhi sana mimi. Kati ya mistake nilifanya, ni kungangania kwenda chuo. Nothing new. Kupoteza muda tuu. Nina wasiwasi na jinsi nitakavyopanga elimu ya wanangu hlf ntajua jinsi ya kuwatengenezea njia yao mana kweny mfumo wetu wa elimu ni hewa tuu na kuna ukungu wa kutosha sana, cha muhimu nizisake noti kwanzakutumia miaka 25 ya maisha yangu kusoma tu ( mpaka chuo kikuu )....hua nahisi kama nimepoteza nusu ya maisha yangu, inaniumaga sana