Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 5,467
- 8,564
Najuta kujifunza kuroll kush asee ni kosa kubwa sana sana natamani nijisahaulishe lakini ndo nazidi kutoa tom la hatari
Yule mwanamke bado nakaamua mpk leo ,maana mahakama ilidhibitisha yupo huru na sio mke wa mtu tena km alivyokuwa akidai mume wake
Du huyo mwanaume fala kabisa....yaani kumkamata mtu ugoni breki ya kwanza mahakamani??? Sasa mwanamke alisimama upande wako au wa huyo bwege?? Basi baada ya mahakama kumuumbua jamaa wewe ungeendelea kut0mbA tu mkuu. Ningekuwa mimi ningeendelea.Yule mwanamke bado nakaamua mpk leo ,maana mahakama ilidhibitisha yupo huru na sio mke wa mtu tena km alivyokuwa akidai mume wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sanaNajutia kuvuta bangi..nlichanganyikiwa Sana...mpaka leo natumia Dawa.. nakiacha nakuwa kichaaa kabisa.
Kazi nlipoteza,respect nlipoteza . Sasa nimeanza Mojaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko serious kweli mkuu!?? Unawish ungesoma nini mbali na hiyo fani!??
Dah! Mimi najutia sana kwenda kusoma coz ya ajabu ajabu kweli UDOM...niliacha coz ya maana ya SUA Na Mzumbe nikakimbilia DOM..... Hilo jambo najutia hadi huu mda ninavyoandika hapa ....labda badae Mungu akinisaidia nitaacha kujutia.....
... kama ulikuwepoAu sio? Una haribu brand za watu
kisa ilikatika ikapanda adi mabegani