Ni kitu/Jambo gani umewai kusimuliwa Na mama/baba/Kaka/ kuhusu maisha yako ya utoton, kikakuchekesha, huzunisha au kukufurahisha?

makaj

JF-Expert Member
Jul 27, 2018
318
373
Hapa naamnisha, tukiwa wadogo kuna maisha fulan tulikuwa tunayapitia Na kufanya matukio mbali mbali bila kujitambua vizuri. Sasa inapofikia umri wa ukubwan mnajikuta mmekaa Na watu tajwa kweny "heading" basi unaweza pewa story zako za udogon ukajikuta unacheka .

Sasa juzi hapo nikapewa story yangu nikiwa mdogo, kwamba ilikuwa ugomv mzito mimi kunivalisha nguo mpyaa. Yani nakula nduki, au wakifanikiwa kunivalisha basi kilio chake hakiishi Leo....... aisee nilicheka Sana, sasa nasikia kuna Mzee alitokea siku ugomv ukiwa unendelea wa kunivesha nguo, eti alisema " akikua atakuwa anapenda Sana kuvaa" kitu ambacho kimedhihirika ukubwan, mpaka mtoa story akakumbuka.

Siku hiyo hiyo ikatolewa story ya jamaa mwingine,jamaa ulikuww ukisimulia kwamba usiku umeota ndoto. Basi jamaa akisikiliza halafu hujamjumuisha kweny hiyo ndoto basi ni kilio kikubwa kwenda kukusemea. Alaf kweny hiyo ndoto jamaa anataka useme yy alikuwa dereva kweny gari kubwa, anaendesha alaf nyie mmekaa nyuma. Nayo ilinichekesha Sana,

Nikagundua kumbe udogon kuna tuvituko fulan amazing, tulikuwa tunafanya. Sasa wew Kama member wa jf Na ijumaa hii bomba karibu tushare vimomenti vyetu vya BC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua napenda kulia ovyo bila sababu za msingi,,ikitokea nimedondoka alaf nikagundua watu wameniona ntalia hadi Siku mbili bila kupumzika
 
Story kuhusu NEMULO, hii ni fiction story ambayo inamhusu jitu flan ama mzimu unaoitwa Nemulo, ambaye upande mmoja ni binadamu na mwingine ni jiwe.

Anaishi porini ila mara nyingi anakuja kwenye makazi ya watu wakati wa mvua....wazaliwa wengi wa Arusha wa zamani kidogo wamepata habari zake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Story kuhusu NEMULO, hii ni fiction story ambayo inamhusu jitu flan ama mzimu unaoitwa Nemulo, ambaye upande mmoja ni binadamu na mwingine ni jiwe.

Anaishi porini ila mara nyingi anakuja kwenye makazi ya watu wakati wa mvua....wazaliwa wengi wa Arusha wa zamani kidogo wamepata habari zake.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mi mwenyewe nilihadithiwa dingiii
 
Back
Top Bottom