toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,626
Ni kitu gani cha thamani ambacho uliwahi kuibiwa kupoteza au kudhulumiwa kiasi cha kukuumiza,kukukatisha tamaa, na kukuvunja moyo?
Mimi nakumbuka niliibiwa majogoo 30 na mitetea kadhaa hili tukio siwezi kulisahau nilivunjika moyo niliumia niliugua week nzima ukizingatia ni jogoo niliokua nawalisha chakula cha kununua na dawa niliumwa aisee.
Kingine ni siku nimeibiwa simu ya laki 2 na 70 acha tu sitaki kukumbuka kabisa.
Ila suala la kuku liliniumiza sana hadi leo nawachukia sana wezi yaani mtu aniibie hata kijiko huwa nafikiria kumfanyia kitu kibaya sana katika maisha wezi na wachawi ni viumbe nisiowapenda kabisa.
Kwa upande wako mwanajamii mwenzangu ni kitu gani cha thamani ambacho uliwahi kuibiwa kupoteza au kudhulumiwa kiasi cha kukuumiza,kukukatisha tamaa, na kukuvunja moyo?
Mimi nakumbuka niliibiwa majogoo 30 na mitetea kadhaa hili tukio siwezi kulisahau nilivunjika moyo niliumia niliugua week nzima ukizingatia ni jogoo niliokua nawalisha chakula cha kununua na dawa niliumwa aisee.
Kingine ni siku nimeibiwa simu ya laki 2 na 70 acha tu sitaki kukumbuka kabisa.
Ila suala la kuku liliniumiza sana hadi leo nawachukia sana wezi yaani mtu aniibie hata kijiko huwa nafikiria kumfanyia kitu kibaya sana katika maisha wezi na wachawi ni viumbe nisiowapenda kabisa.
Kwa upande wako mwanajamii mwenzangu ni kitu gani cha thamani ambacho uliwahi kuibiwa kupoteza au kudhulumiwa kiasi cha kukuumiza,kukukatisha tamaa, na kukuvunja moyo?