Mapenzi in ugonjwa was akili na unapona kipindi unatoka kwenye ilo penzi...vile vile chuki na roho mbaya ni kutokana na malize .Katika maisha yetu ya kila siku tunajifunza vitu vipya ambavyo hatukuwa tukijua kabla. Inaweza ikawa umejifunza kutoka kwa mtu, ama mahali, kwenye mtandao (internet), kwenye masomo especially wale wanaosomea kitu flani, au sehemu ulienda ukajifunza kitu kipya, lakini pia hata katika experience yako ya maisha haswa kwa wale waliokula chumvi nyingi(umri mkubwa) ama vyovyote vile. Kimsingi ni kuelimishana tu humu jukwaani na kushare knowledge basi