Ni kitu gani ulikuwa hukijui lakini ukaja kukijua/kujifunza na ungependa wengine wakijue/wajifunze

Ramsy Dalai Lama

Senior Member
Apr 5, 2021
147
540
Katika maisha yetu ya kila siku tunajifunza vitu vipya ambavyo hatukuwa tukijua kabla. Inaweza ikawa umejifunza kutoka kwa mtu, ama mahali, kwenye mtandao (internet), kwenye masomo especially wale wanaosomea kitu flani, au sehemu ulienda ukajifunza kitu kipya, lakini pia hata katika experience yako ya maisha haswa kwa wale waliokula chumvi nyingi(umri mkubwa) ama vyovyote vile. Kimsingi ni kuelimishana tu humu jukwaani na kushare knowledge basi
 
...Nasikia sasa hivi wamehamia kwenye Cofta na Viks..
Kwa hii au


Katika somo la jana tulifundishwa matumizi mengine ya pipi haswa hizi za kifua, unaambiwa pipi za kifua bibi ni dawa ya mume ya kumpa raha, sasa wewe kujifanya pipi za watoto tu shoga yangu hapa mjini kuna habari mpya shoga ile pipi ni muhimu isikose nyumbani kwako.

Ukiwa mwenye hamu kwamba unataka siku hiyo ukutane na mwenzio shoga nenda kaoge, jitawaze vizuri maana siunaelewa mwanamke unaringa nje ukifunuliwa chini unanuka shombo kaa samaki...hehe heiya ndio siye babu tulivyooumbwa na kujisafisha tunaweza..chezea siye

Wakati unajiandaa, utaoga ujitawaze vizuri sana huko kwa bibi halafu ukishakuwa umejifuta unajiandaa sasa kwenda kitandani ili ukachume tunda chutama vizuri miguu ikiwa umeitanua tia ile pipi yako ya kifua ukeni , kaa muda kidogo muite mzee akupe maraha tena ukimsihi kwa mahaba mpenzi leo huku bwana..basi kijana wa watu huku anakupa maraha huku anapata raha yake ya mdomo kwa ule utamu wa pipi walahi atanyonya mpaka iishe basi wee mpaka amelize utamu wa pipi ushafika kileleni mara ngapi sijui..hehe heiya

Eeenhee aka mwenzangu mapenzi kila mtu aone utamu sio yeye anyonye tu huko, apige chafya ukimletea pumu mtoto wa watu inahusu, raha anyonye kusafi, kunanukia na kutamu.
 
Kwa hii au


Katika somo la jana tulifundishwa matumizi mengine ya pipi haswa hizi za kifua, unaambiwa pipi za kifua bibi ni dawa ya mume ya kumpa raha, sasa wewe kujifanya pipi za watoto tu shoga yangu hapa mjini kuna habari mpya shoga ile pipi ni muhimu isikose nyumbani kwako.

Ukiwa mwenye hamu kwamba unataka siku hiyo ukutane na mwenzio shoga nenda kaoge, jitawaze vizuri maana siunaelewa mwanamke unaringa nje ukifunuliwa chini unanuka shombo kaa samaki...hehe heiya ndio siye babu tulivyooumbwa na kujisafisha tunaweza..chezea siye

Wakati unajiandaa, utaoga ujitawaze vizuri sana huko kwa bibi halafu ukishakuwa umejifuta unajiandaa sasa kwenda kitandani ili ukachume tunda chutama vizuri miguu ikiwa umeitanua tia ile pipi yako ya kifua ukeni , kaa muda kidogo muite mzee akupe maraha tena ukimsihi kwa mahaba mpenzi leo huku bwana..basi kijana wa watu huku anakupa maraha huku anapata raha yake ya mdomo kwa ule utamu wa pipi walahi atanyonya mpaka iishe basi wee mpaka amelize utamu wa pipi ushafika kileleni mara ngapi sijui..hehe heiya

Eeenhee aka mwenzangu mapenzi kila mtu aone utamu sio yeye anyonye tu huko, apige chafya ukimletea pumu mtoto wa watu inahusu, raha anyonye kusafi, kunanukia na kutamu.
Kama una namba ya fundi mmoja wa haya mautundu nipatie kiongoz
 
Huwezi kupumua na kumeza wakati huo huo.

Unapoisoma hii, kuna uwezekano kwamba umejaribu kufanya. Mwili wa mwanadamu unaweza kufanya mambo mengi magumu-isipokua tu kuwa na uwezo wa kupumua na kumeza wakati huo huo. Kwa nini hauwezi?, ili kujibu hilo, tutahitaji msaada kidogo kutoka katika biology.

BIOLOGY

Chini ya koromeo (pharynx) au koo (throat) kuna njia mbili muhimu kwa maisha ya mwanadamu. Kuna trachea au kwa lugha nyepesi bomba la hewa, ambalo hewa hupitia na kutoka kwenye mapafu, na esophagus, ambapo chakula hupitia ili kufikia katika utumbo kwa ajili ya usagaji chakula.
kumeza na kupumua.jpg

Sasa, ili kuzuia chakula kuingia kwenye mapafu yako wakati unakula (jambo ambalo linaweza kusababisha lundo la matatizo), kiwiko kidogo kinachoitwa epiglottis hufunika trachea kila unapomeza chakula au kunywa kinywaji. Lakini kuna wakati Epiglottis kwa bahati mbaya haifanikiwi kufunika trachea yako kwa usahihi. Matokeo yake, unaishia kupariwa au kukohoa.

Kwa hiyo hii ndo sababu kuu hukufanya usiweze kupumua na kumeza wakati huo huo.
 
Katika maisha yetu ya kila siku tunajifunza vitu vipya ambavyo hatukuwa tukijua kabla. Inaweza ikawa umejifunza kutoka kwa mtu, ama mahali, kwenye mtandao (internet), kwenye masomo especially wale wanaosomea kitu flani, au sehemu ulienda ukajifunza kitu kipya, lakini pia hata katika experience yako ya maisha haswa kwa wale waliokula chumvi nyingi(umri mkubwa) ama vyovyote vile. Kimsingi ni kuelimishana tu humu jukwaani na kushare knowledge basi
Kusonga ugali
 
Ushawahi kujiuliza hivi vijifungo kwenye mifuko ya jeans vinakazi gani?
Jean-pockets-1.jpg

Kwanza hizo zinaitwa Rivets

Ngoja turudidhe Historia nyuma zaidi kwa takribani miaka 150 nyuma huko, wakati huo kulikua na fundi nguo anayeitwa Jacob Davis alikuwa na shida ya kurekebisha mifuko iliyochanika ya wafanyikazi. Ilikuwa wazo lake kushona mifuko na viunzi vya shaba ili kuizuia isiachie na kuongeza nguvu ya ukamataji ya mifuko hiyo katika nguo nzito haswa jeans. Alishirikiana na Levis Strauss na kuipatia hati miliki mnamo 1873 au 1872 nadhani. Na kwa hivyo tangu wakati huo hizi rivets zimeambatanishwa na suruali ya jeans ili kuzuia isiachie au kuraruka. Kwa kuwa sehemu ya juu ya mifuko ni mahali ambapo kitambaa kimeunganishwa pamoja, mifuko inahitaji kushikamana kwa nguvu nyingi zaidi, kwa hivyo, matumizi ya vifungo vya mitambo, vinavyoitwa Rivets vikawa vinatumika.
 
Farasi akishameza chakula awezi kukirudisha mdomoni au kutapika.

Akilazimisha au kupaliwa chakula kitapitia puani na sio mdomoni.

Kwasababu soft palate ( koromeo) yake ni ndefu inaruhusu kupita chakula na sio kurudi.
 
Farasi akishameza chakula awezi kukirudisha mdomoni au kutapika.

Akilazimisha au kupaliwa chakula kitapitia puani na sio mdomoni.

Kwasababu soft palate ( koromeo) yake ni ndefu inaruhusu kupita chakula na sio kurudi.
Kumbe...Mungu anamaajabu yake kwenye uumbaji wa viumbe
 
Hili la kufa huwa najifunza lakini inaishia kuogopa
speaking of kufa! kuna hii ishu ilinishangaza

Kisayansi, kutokufa kupo! Na kuna viumbe havifi

“Chochote kilicho zaliwa, lazima kife." Hii imegeuka kuwa sio kweli, unajua kwann?.

Jellyfish aitwao Turritopsis nutricula ana uwezo wa kubadilisha seli yake kurudi utotoni baada ya kufikia utu uzima. Hiyo inamaanisha, mara tu ikiwa amezeeka, anaweza kubadilisha mchakato wake wa ukuaji na kurudi kwenye hatua yake ya utoto, na hiyo sio mara moja tu, lakini tena na tena.
jerry fish.jpg

Kwa hivyo basi habari njema ni kwamba, unaweza kutokufa. Lakini habari mbaya ni kwamba, itabidi uwe jellyfish ili iwe hivyo.
 
speaking of kufa! kuna hii ishu ilinishangaza

Kisayansi, kutokufa kupo! Na kuna viumbe havifi

“Chochote kilicho zaliwa, lazima kife." Hii imegeuka kuwa sio kweli, unajua kwann?.

Jellyfish aitwao Turritopsis nutricula ana uwezo wa kubadilisha seli yake kurudi utotoni baada ya kufikia utu uzima. Hiyo inamaanisha, mara tu ikiwa amezeeka, anaweza kubadilisha mchakato wake wa ukuaji na kurudi kwenye hatua yake ya utoto, na hiyo sio mara moja tu, lakini tena na tena.
View attachment 1991231
Kwa hivyo basi habari njema ni kwamba, unaweza kutokufa. Lakini habari mbaya ni kwamba, itabidi uwe jellyfish ili iwe hivyo.
Ina maana huyo samaki mwenye sumu hafi?. Hayo ni mambo ya goligota na galilaya yalifanyika hayo ya kufa na kufufuka. Mimi hufanya mazoezi ya kifo kwa bahati mbaya huwa simalizi hata dk 2 uoga huniingia na kuacha mazoezi, namaanisha bado najifunza.
 
Back
Top Bottom