Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 569
- 1,214
Salaam wana JF,
Dunia uwanja wa fujo na kila mtu anafujo zake, lakini kuna baadhi ya watu wanazidisha fujo na kuanza kuona wao ndiyo wanapaswa kuishi peke yao duniani. Hawa huwa wanajiribu kufikiri kuwa binadamu wengine walikuja duniani kwa bahati mbaya.
Mtu au kundi kama hili hudiliki kuwafanyia binadamu wenzao lolote watakaloliona linafaa machoni pao. Sasa je, wewe uliwahi kukumbana mkasa kama huu na ilikuwaje?
Dunia uwanja wa fujo na kila mtu anafujo zake, lakini kuna baadhi ya watu wanazidisha fujo na kuanza kuona wao ndiyo wanapaswa kuishi peke yao duniani. Hawa huwa wanajiribu kufikiri kuwa binadamu wengine walikuja duniani kwa bahati mbaya.
Mtu au kundi kama hili hudiliki kuwafanyia binadamu wenzao lolote watakaloliona linafaa machoni pao. Sasa je, wewe uliwahi kukumbana mkasa kama huu na ilikuwaje?