sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,026
Nazungumzia kurudi kama kabila ka ilivyo kwa lile kabila ambalo sina hata haja ya kuliweka hapa, Nadhani mnalijua nyomi lao hao wanaorudi ikifika December.
Huko wanakofikia ndio kwao, ndio chimbuko lao, ndiko vizazi hadi vizazi vimezaliana mpaka kuja kwa hapa duniani, Kwenu ni sehemu ambayo inabidi utembelee kujuana na ndugu zako, kujua chimbuko lako, kufanya mila mfano matambiko, n.k. ilimradi kutunza na kuendeleza asili.
Kuna watu kama wa Mwanza, Kagera, Njombe, Mbeya n.k yani unakuta wamefanikiwa vizuri huku mjini lakini kuhusu kurudi makwao hio sahau kabisa aisee, labda utokee msiba.
Kwa tathmini nliyofanya nmeona hizi ndio sababu.
1. Vipapai (kurogana) - Kuna makabila kwa ushirikina tu hawajambo aisee! Ukirudi huko kwenu hata na gari basi ni wivu na chuki, mtu umepeleka watoto vijijini huko matokeo yake wanazibwa macho, masikio, midomo, kuwa vichaa, n.k.
2. Kutokujenga vijijini- mtu anaweka heshima bar lakni kijijin hajajengea hata wazazi ama ndugu zake, nyumba ni ya makuti ipo vile vile tangu aondoke, ukijenga kijijini kwenu lazima upa miss, ila kama hujajenga kwenu ni vigumu kirudi kulala kwenye nyumba za nyasi.
3. Ushirikiano hafifu na chuki, mtu yupo radhi asaidie mtu wa kabila lengine ila chonde chonde hataki hata kusikia habari ya ndugu yake kufanikiwa.
Huko wanakofikia ndio kwao, ndio chimbuko lao, ndiko vizazi hadi vizazi vimezaliana mpaka kuja kwa hapa duniani, Kwenu ni sehemu ambayo inabidi utembelee kujuana na ndugu zako, kujua chimbuko lako, kufanya mila mfano matambiko, n.k. ilimradi kutunza na kuendeleza asili.
Kuna watu kama wa Mwanza, Kagera, Njombe, Mbeya n.k yani unakuta wamefanikiwa vizuri huku mjini lakini kuhusu kurudi makwao hio sahau kabisa aisee, labda utokee msiba.
Kwa tathmini nliyofanya nmeona hizi ndio sababu.
1. Vipapai (kurogana) - Kuna makabila kwa ushirikina tu hawajambo aisee! Ukirudi huko kwenu hata na gari basi ni wivu na chuki, mtu umepeleka watoto vijijini huko matokeo yake wanazibwa macho, masikio, midomo, kuwa vichaa, n.k.
2. Kutokujenga vijijini- mtu anaweka heshima bar lakni kijijin hajajengea hata wazazi ama ndugu zake, nyumba ni ya makuti ipo vile vile tangu aondoke, ukijenga kijijini kwenu lazima upa miss, ila kama hujajenga kwenu ni vigumu kirudi kulala kwenye nyumba za nyasi.
3. Ushirikiano hafifu na chuki, mtu yupo radhi asaidie mtu wa kabila lengine ila chonde chonde hataki hata kusikia habari ya ndugu yake kufanikiwa.