Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Hebu napenda kupata mawazo yenu wadau maana unaweza kumfikiria vibaya mwanamke kumbe nyuma ya paziaa kuna vitu gani wanajaribu kuvificha au kutufichaa tusivijuee.
Au papuchi ina utata maana wanawake katika hilo swala wamekuwa wakali mnoo mwingine atakwambia tupime kwanza , halishiii hapo anakwambia pia uniletee barua nyumbani,mwingine kishika uchumbaa kwanza,mwingine tena atakwambia mpka ndoa lakini mwisho wa siku unagundua kuna jambo au vitu wanavifichaaa hebu tuambizaneeee wadau wanawake wanatuficha nini kwani
Tusaidiane ndugu zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Au papuchi ina utata maana wanawake katika hilo swala wamekuwa wakali mnoo mwingine atakwambia tupime kwanza , halishiii hapo anakwambia pia uniletee barua nyumbani,mwingine kishika uchumbaa kwanza,mwingine tena atakwambia mpka ndoa lakini mwisho wa siku unagundua kuna jambo au vitu wanavifichaaa hebu tuambizaneeee wadau wanawake wanatuficha nini kwani
Tusaidiane ndugu zangu
Sent using Jamii Forums mobile app