Ni kitu gani kinachowafanya baadhi ya wadada kuwachukia wanaume bila sababu?

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,182
3,547
katika pitapita zangu nikiwa katika bar flani hivi nilimsikia mdada mmoja akizungumza na mwenzie

katika mazungumzo yule mdada alikuwa akimuelezea kuwa kuwa anawachukia sana wanaume"

Basi yule mwenzie alipomuuliza kwa sababu gani" yeye alimjibu basi tuu yeye hapendi wanaume bila sababu yoyote""

Leo hii ikanibidi niulize humu jf hivi inakuwaje mdada anatokea kuwachukia wanaume bila sababu yaani kila akiwaona huwa anasikia tuu ana hasira, hasira,
 
hawatakagi tu kusema wanahic unafahamu kabisa tatizo na wanaume wengi haeajiongezaji
 
Ukitendwa tu lazima uwe na maswali mengi unaweza kujiuliza kwanini ulizaliwa...



Nawasilisha..
 
1. Kujishaua... Wanaongea tu kufurahisha genge
2. Amewahi kua abused... Haswa kama aliwai bakwa miaka ya nyuma au utotoni
3. Ameishi katika familia ambayo baba alimtesa mama... Tabia ya ugomvi wa wazazi kuhusisha watoto kunawaathiri sana watoto
4. Amekua kwenye uhusiano na mwanaume abusive... Mpigaji, anamtukana au hamjali etc
 
1. Kujishaua... Wanaongea tu kufurahisha genge
2. Amewahi kua abused... Haswa kama aliwai bakwa miaka ya nyuma au utotoni
3. Ameishi katika familia ambayo baba alimtesa mama... Tabia ya ugomvi wa wazazi kuhusisha watoto kunawaathiri sana watoto
4. Amekua kwenye uhusiano na mwanaume abusive... Mpigaji, anamtukana au hamjali etc
Ata wasagaji uwa hawapendi wanaume
 
nadhani sababu kuu ni kuongezeka kwa wimbi la wanawake WASAGAJI!

Hata MASHOGA wanasikia kichefuchefu unapoongelea kwa kuwasifia wanawake
 
IT HAPPENS TO ME TOO...I SEE NOTHING INTERESTING FROM A MAN..YANI NAJILAZIMISHA TU KUWA NA BOYFRIEND..NAJITAHIDI KUWA NA HISIA LAKINI HAIJI KAMA WENGINE..
ALL THIS NEGUNDUA SABABU YA KUKOSA MALEZI YA BABA MZAZI..ALINIKIMBIA TANGU NIKO KICHANGA TUMBONI..IAL SURE LABISA ALINIKATAA CZ MY MOM HAKUWAH KABISA KUMUONGELEA..MAMA ALINIZAA AKIWA NATA NAE HANA UHAKIKA WA KULA..AKARUDI KUNIACHA KIJIJINI KWA BIBI NA KWENDA MIKOANI KUHUSTLE ILI JAOO NIPATE VYA MUHIMU..BI BI NAE MAISHA YAKE SHAMBA TU..AKIAMKA ASUBUHI KWENDA KUPALILIA MIHOGO ANARUDI NA MAPANDE MAWILI YA MIHOGO NA MBGA ZA MAJANI AWASHE KUNI AVICHEMSHE NDO MLO WAKE..MI SIJUI ALIKUA AKIKOSA MAZIWA NANYWESHWA UJI USIO NA SUKARI AU ANAKOROGEA CHUMVI AARGH!
HADI SISTER ANGU NAE ALIKATALIWA..
TUMEPITIA DHIKI MAMA ANAKOPA HADI KITUNGUU BUT WE SURVIVED BUT MAMA KATUACHA MAPEMA NUT ATLEAST TULIKUAKUA KUKABILI VISA VYA NDUGU..KUISHI KWENYE NYUMBA YA WATU NI KAZI.BUT TULIVUMILIA .NOW TU MABINTI WAKUBWA.ASHUKURIWE MUNGU..
UKWELI SINA AFFECTION NA WANAUME...MAYBE SIKU ITAKUJA.
 
ukiona mwanamke anachukia wanaume kuna SABABU kuu mbili

1.umri wake umeendaa

2.ameshazunguka sana na amebadili sana wanaume lakini mwisho wa siku washikaji wanazingua

3.ugumu wa maisha
 
Back
Top Bottom