Ni kitu gani kifanyike kuwasaidia wanaume kuepuka kujiua kwa wingi au kupunguza male suicide rates?

Ulivyomaliza kusoma hiyo Article hawakuweka na sababu za hao kujiua pamoja na njia ya kuwaepusha..?

Punguza upuuzi
 
Ni kitu gani unahisi kunawaza kufanyika kupunguza hili. Maana sasa hii ni hatari.
Wanaume wajijengee utamaduni wa ku'share changamoto zao za kimaisha kwa Wanaume wenzao ambao wanaweza wakashauriana ki'utu uzima mf kwa Baba,Mjomba,Ba Mdogo nk ama kwa wanawake wanaowaamini mfano Mama....ama Mke kama kuna urafiki na upendo wa kuweza kusitiri

ukitoa rohoni unaweza pata japo mawazo ufanyeje ama ukasimuliwa makubwa zaidi lako ukaona kawaida nk
Ili mradi usione dunia imekuelemea ukajiua!

Kingine ibada...kama huamini binadamu yoyote basi weka tumaini lako kwa Mungu
 
Wanaume wamelelewa kuwa wajikaze wasilie,wasilalamike wala wasiseme matatizo yao!

kubeba kila jambo rohoni ni mtihani

afadhali kama mtu unasali sana unampa Mungu akubebee yale mambo(kiimani zaidi)...
Na wao wakiona wanawake tunalia wanafikiria udhaifu, wanawake hatukai na vitu rohoni Wala kufanya Jambo litutese ndo Mana mwanamke anaweza enda kwa mganga, nabii huko kote nikutoa nyongo na kupewa matumaini, case tofauti kwa wanaume wao kufa na tai shingoni ni uanaume, yawapasa kubadilika bila hivo vifo vya kujiua haviishi
 
Mimi nina mawazo tofauti.

Hizo hizo tafiti utagundua wanawake wanao attempt kujiua ni wengi zaidi kuliko wanaume.

Ila wanaokufa wengi ni wanaume kwa sababu hawa wanaume methods wanazotumia kujiua ni lethal/ fatal, huku wanawake idadi ya wanaokufa kwenye majaribio ya kujiua ikiwa ni chache japo wanaojaribu ni wengi kwa sababu njia tunazotumia ni rahisi kukutwa hai bado na kupata msaada.

Sisi (wanawake) tunatumia njia ambazo ni rahisi kupona kama mtu akikuwahi.
Mwanamke akitaka kujiua wengi wanawaza kumeza madawa mengi (overdosing), au kumeza dawa na pombe. Au kujikata mshipa wa damu avuje hadi afe (exsanguination). Hapo utaona kuna uwezekano huyu mtu akiwahiwa maisha yake yanaweza kuokolewa. Na ndivo ilivyo wanawake wengi ni survivors wa majaribio ya kujiua. Wanajaribu kujiua lakini wanaokolewa na kupatiwa matibabu wanapona. Ndio maana wanasema women are the attempters and survivors of suicide attempts.

Wanaume wakitaka kujimaliza wanatumia njia ambazo kupona ni vigumu sana.
Njia za wanaume ni kama kujinyonga (hanging), kupanda kwenye majengo makubwa na kujirusha (jumping), kuji-shoot, Asphyxia na kujitega kwenye magari au train wagongwe.

Hivo kwa mawazo yangu mwanamke ndio yupo kwenye hatari ya kujiua kama njia angetumia zingekuwa ni za uhakika. Mimi naona mwanamke anahitaji msaada zaidi maana wengi tuna mawazo ya kujiua mara tatu ya wanaume wenye mawazo ya kujiua.

Huku nikiwashauri wanaume wawe wanachagua njia laini laini za kujiua ili ukishaona kuzimu palivyo ukitamani kuokolewa uokolewe na usirudie makosa. Lakini kaka zangu njia mnazotumia ni hatari hata mkipona hamtatazamika.
 
Kuna msemo wa washkaji "Kuna wakati mchepuko unazingua hadi unatamani kumwambia Wife" huenda nayo ikawa sababu nzuri tu
 
Mimi nina mawazo tofauti.

Hizo hizo tafiti utagundua wanawake wanao attempt kujiua ni wengi zaidi kuliko wanaume.

Ila wanaokufa wengi ni wanaume kwa sababu hawa wanaume methods wanazotumia kujiua ni lethal/ fatal, huku wanawake idadi ya wanaokufa kwenye majaribio ya kujiua ikiwa ni chache japo wanaojaribu ni wengi kwa sababu njia tunazotumia ni rahisi kukutwa hai bado na kupata msaada.

Sisi (wanawake) tunatumia njia ambazo ni rahisi kupona kama mtu akikuwahi.
Mwanamke akitaka kujiua wengi wanawaza kumeza madawa mengi (overdosing), au kumeza dawa na pombe. Au kujikata mshipa wa damu avuje hadi afe (exsanguination). Hapo utaona kuna uwezekano huyu mtu akiwahiwa maisha yake yanaweza kuokolewa. Na ndivo ilivyo wanawake wengi ni survivors wa majaribio ya kujiua. Wanajaribu kujiua lakini wanaokolewa na kupatiwa matibabu wanapona. Ndio maana wanasema women are the attempters and survivors of suicide attempts.

Wanaume wakitaka kujimaliza wanatumia njia ambazo kupona ni vigumu sana.
Njia za wanaume ni kama kujinyonga (hanging), kupanda kwenye majengo makubwa na kujirusha (jumping), kuji-shoot, Asphyxia na kujitega kwenye magari au train wagongwe.

Hivo kwa mawazo yangu mwanamke ndio yupo kwenye hatari ya kujiua kama njia angetumia zingekuwa ni za uhakika. Mimi naona mwanamke anahitaji msaada zaidi maana wengi tuna mawazo ya kujiua mara tatu ya wanaume wenye mawazo ya kujiua.

Huku nikiwashauri wanaume wawe wanachagua njia laini laini za kujiua ili ukishaona kuzimu palivyo ukitamani kuokolewa uokolewe na usirudie makosa. Lakini kaka zangu njia mnazotumia ni hatari hata mkipona hamtatazamika.
Hahaha nimecheka hapo mwishoni eti wachague njia laini laini lol...being lethal comes from perception ya 'uanaume' wenyewe...ama on average kutokana na ile natural role ya 'ulinzi' ni rahisi mwanaume kuwa na silaha kali kuliko mwanamke mf.shortgun ama kisu

sina statistics ku'prove...ila by virtue of mwanaume kuwa 'provider' hasa ktk level ya familia..huoni kwamba hii ndo major source ya stress inayoweza pelekea kujiua?..hasa akiona anakwama

ingine ni pressure ya mafanikio ya kimaisha nahisi ipo zaidi kwa mwanaume kuliko mwanamke kutokana na point ile ile ya kwanza 'provision'...
Mana Mwanaume anasifiwa kwa uwezo/nguvu fulani...either physically,kifedha nk

lakini pia...tofauti zetu katika ku'handle emotions..zinamfanya mwanaume ku'internalize kila jambo alibebe mwenyewe tofauti na wanawake who like to speak and share...rather we have been raised to be emotionally expressive
 
Mwanaume kulia mbele za watu inaweza onekana ni tatizo;
Basi walau mkipata muda wenyewe punguza stress kwa kutoa japo chozi
Life can be difficult if u cant share
 
Wale 'Activists' kutwa kucha wanatumia mabilioni ya dola, na muda kusaidia wanawake wawakandamize wanaume.
Ukiwasililiza kwenye media, najiuliza: JE HAWANA MTOTO WA KIUME?
Kwa sasa ni kama 'gender issues' imegeuka vita baina ya ME na KE. Wajemedari wote wapo upande wa KE.
 
Mwanaume kulia mbele za watu inaweza onekana ni tatizo;
Basi walau mkipata muda wenyewe punguza stress kwa kutoa japo chozi
Life can be difficult if u cant share
Hivi mwanaume anatoa wapi chozi? Labda awe adolescent.
Sijawahi kuona mwanaume mwenye akili timamu (akiwa bila pombe kichwani) akilia.
Mbaya zaidi, akilia jamii inamcheka balaa, na dhihaka "ndio maana ulilia', haziishi.
 
Back
Top Bottom