Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,100
- 34,049
Kwani wewe ni wa pwani?Kitu cha kwanza asubuhi nikiamka lazima nishike sehemu za siri huku nikipiga mihayo
Vijana wa kaskazini tukiamka tunashika kichwa na wallet kuangalia kuna sh ngapi
Kwani wewe ni wa pwani?Kitu cha kwanza asubuhi nikiamka lazima nishike sehemu za siri huku nikipiga mihayo
Mimi nauli sio muhimu kwangu kama soksi zangu aiseehalafu utafikaje ?
Nyie wenye mpango wa kufa mngojeeni melo akifa nae akawaanzishie ka jf kenu huko kuzimu af nahis hakutakua na ban huko..... Ila c wengine hatuna mpango wa kufa ko tutakomaa tuuuu humuhumuMishe zangu mimi sio za kupigika in kukaa tu Kwa hiyo nakuwa na muda WA kuchezea simu nitakavyo.. Hasa hii jf ndio kama kilevi changu kingine.. Nikifariki nitaimiss Sana jf staki kuamini kama nitaiacha
Mkuu me nahitaji zile picha ambazo mara nyingine huwa una comment nazo.. Facial expressions photos au Nielekeze wapi nitazipata zote.. Serious mkuu na shida nazo
Lusekelo - pombeLusekelo ndio nini? Maana nijuavyo mimi ni jina la mtu hasa wanyakyusa
Hakika MKUUMkuu.....
Hapa tuna pitapita 24/7
I swearSeriously??
Kifo Kipo tu amini HiVyO. Hatutakiwi kuacha kukifikiria ili tusiache kukiogopa ili ukipata neema utubu mapema na Mwisho tufike Kwa baba JUU Mbinguni.. Bado nitaimiss Sana jf ikitokea kifo kimenikamataNyie wenye mpango wa kufa mngojeeni melo akifa nae akawaanzishie ka jf kenu huko kuzimu af nahis hakutakua na ban huko..... Ila c wengine hatuna mpango wa kufa ko tutakomaa tuuuu humuhumu
Asante Sana mkuuGoogle expression au meme unayoitaka, halafu icheki kwenye images.
Unadhani kufika kwa baba mbinguni ni jambo jepesi? Mkuu usipende kuwaza mambo ya kufakufa,utakuja kufa kweli ujue?we kiache tu siku kifo kije chenyewe ila usikiwazieKifo Kipo tu amini HiVyO. Hatutakiwi kuacha kukifikiria ili tusiache kukiogopa ili ukipata neema utubu mapema na Mwisho tufike Kwa baba JUU Mbinguni.. Bado nitaimiss Sana jf ikitokea kifo kimenikamata
Even me I love old school.hapa nawasikiliza THE LOX,,aisee huyu sheek loch ni nomaListen old school rap music and new school r&b, afro pop and rap music..........
Every morning I always do that sh!t......
Mkuu sikiliza ngoma ya 2pac inaitwa Still I Rise,aisee ni kama alijitabiria vileLazima nisikilize ngoma za Tupac na Bob Marley kwanza.. Bila hivyo inakua tabu kupata usingizi...
Nikiwa na safari lazima nibebe coin yangu ya shillingi kumi ikiyokua ikitumika enzi za ukoloni.
Hiyo ngoma ni moja ya favorite zangu, inaverse bora kabisa aliyowahi andika Pac. Kwa ujumla outlawz wote walifanya vizuri kwenye hilo pini.Mkuu sikiliza ngoma ya 2pac inaitwa Still I Rise,aisee ni kama alijitabiria vile
We jamaa nimeamini unamsikiliza Pac,,maana humo yupo na hao watoto,japo siku hizi hawasikiki,tangu Pac afe nao wakapoteana,nasikia yule mwingine ni kinyozi,mara kadafy nae alipigwa bastora,daaahHiyo ngoma ni moja ya favorite zangu, inaverse bora kabisa aliyowahi andika Pac. Kwa ujumla outlawz wote walifanya vizuri kwenye hilo pini.
Ngoj anianze kufanya investment halafu nije tuzungumzetehe tehe tehe badooooo