Ni kitu gani huwezi kufanya kwenye gari yako?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,864
155,820
Hapa jamvini kuna wenye magari na wapo ambao wanaendelea kuyatafuta magari na siku hizi gari sio anasa tena ni hitaji la muhimu, hivyo basi ndoto ya wengi ni kuwa na gari.

Ukiwa na gari yako, je vitu gani ungependa kulifanyia gari yako? Na vipi usingependa kulifanyia gari yako?

Mwingine anapenda gari iwe tinted kuanzia kioo cha mbele hadi kwenye taa, mwingine hataki gari iendelee kuwa na muziki uliokuja na gari, hivyo atabadilisha mfumo mzima wa sauti (sound system).

Mwingine hataki tu kuendelea na urembo wa kiwandani wa ndani ya gari, atabadilisha viti, ataipamba dashboard, atabadilisha roof na kadhalika.

Mwingine yeye gari yake ndio kila kitu kwake. Gari ni bar, ina chupa ya Konyagi, k Vant, Bia nk. Gari ina mipira ya kiume, begi la nguo, raba za mazoezi, packet ya sigara na viporo vya chips.

Ili mradi kila mtu na mawazo yake. Je wewe kwako ni kipi halali na kipi ni haramu kwa gari yako?
 
kufanya mapenzi
Kuna demu mmoja nilikuwa nafanya naye kazi mahali. Zama zile kulikuwa na foleni sana Dar, barabara nyingi zilikuwa nyembamba, hivyo basi mambo ya happy hour kuanzia saa 11 hadi saa mbili usiku ilikuwa ni ratiba ya sehemu nyingi za biashara.

Watu walijazana kwenye mabaa kusuburi foleni ipungue.

Basi hiyo Ijumaa tumetoka job. Kutoka mjini hadi daraja la Salenda tumetumia saa moja na nusu, tukaamua twende Masaki tukale mishkaki jeshini (hiki kiwanja siku nyingi kilikufa).

Basi ikawa ni mishkaki na bia, mie nadidimiza tu Konyagi. Mpaka mida ya saa nne tupo Masaki, binti tabia zikabadilika.

Mara kanipa mdomo, mkono kaupeleka kusini mashariki mwa uwanja, kaanza kuchezea mipira, mimi namuangalia tu, mara katoa chock stick, kaitia mdomoni, mimi namuangalia tu, mara kazidiwa , tukahamia kwenye gari.

Tukatafuta chimbo takatifu, vioo vimepandishwa, kipupwe mwanana kinarindima, tukaanza kupiga tukio maridadi.

Baada ya dakika ishirini shetani akatuachia, ndio tunakumbuka tuko Yatch Club kwenye parking. Tukavaa fasta na kuanza safari ya kurudi makwetu.

Ukawa ndio mchezo wetu, gari likatuunganisha. Baada ya miaka miwili tukafunga ndoa kanisani, ila tukajiapiza mambo ya ku do kwenye gari sasa yawe mwisho. Hatujarudia tena mchezo huo.
 
Hapa jamvini kuna wenye magari na wapo ambao wanaendelea kuyatafuta magari, na siku hizi gari sio anasa tena ni hitaji la muhimu, hivyo basi ndoto ya wengi ni kuwa na gari.

Ukiwa na gari yako, je vitu gani ungependa kulifanyia gari yako? Na vipi usingependa kulifanyia gari yako?

Mwingine anapenda gari iwe tinted kuanzia kioo cha mbele hadi kwenye taa, mwingine hataki gari iendelee kuwa na muziki uliokuja na gari, hivyo atabadilisha mfumo mzima wa sauti (sound system).

Mwingine hataki tu kuendelea na urembo wa kiwandani wa ndani ya gari, atabadilisha viti, ataipamba dashboard, atabadilisha roof na kadhalika.

Mwingine yeye gari yake ndio kila kitu kwake. Gari ni bar, ina chupa ya Konyagi, k Vant, Bia nk. Gari ina mipira ya kiume, begi la nguo, raba za mazoezi, packet ya sigara na viporo vya chips.

Ili mradi kila mtu na mawazo yake. Je wewe kwako ni kipi halali na kipi ni haramu kwa gari yako?
Kupiga punyeto ndani ya gari.
 
Kama hivi, au kwa uchache wake!

Siwezi kufanya.
20220915_160305.jpg
 
Kuna demu mmoja nilikuwa nafanya naye kazi mahali. Zama zile kulikuwa na foleni sana Dar, barabara nyingi zilikuwa nyembamba, hivyo basi mambo ya happy hour kuanzia saa 11 hadi saa mbili usiku ilikuwa ni ratiba ya sehemu nyingi za biashara.

Watu walijazana kwenye mabaa kusuburi foleni ipungue.

Basi hiyo ijumaa tumetoka job. Kutoka mjini hadi daraja la Salenda tumetumia saa moja na nusu, tukaamua twende Masaki tukale mishkaki jeshini (hiki kiwanja siku nyingi kilikufa)

Basi ikawa ni mishkaki na bia,.mie nadidimiza tu Konyagi. Mpaka mida ya saa nne tupo Masaki, binti tabia zikabadilika.

Mara kanipa mdomo, mkono kaupeleka kusini mashariki mwa uwanja, kaanza kuchezea mipira, mi namwangalia tu, mara katoa chock stick, kaitia mdomoni, mi namwangalia tu, mara kazidiwa , tukahamia kwenye gari.

Tukatafuta chimbo takatifu, vioo vimepandishwa, kipupwe mwanana kinarindima, tukaanza kupiga tukio maridadi.

Baada ya dakika ishirini shetani akatuachia, ndio tunakumbuka tuko Yatch Club kwenye parking. Tukavaa fasta na kuanza safari ya kurudi makwetu.


Ukawa ndio mchezo wetu, gari likatuunganisha. Baada ya miaka miwili tukafunga ndoa kanisani, ila tukajiapiza mambo ya ku do kwenye gari sasa yawe mwisho. Hatujarudia tena mchezo huo
Ulitisha sana mzee baba
 
Kama hivi, au kwa uchache wake!

Siwezi kufanya. View attachment 2357886
Imenikumbusha Mbeya enzi zile kulikuwa na Mkinga mmoja ana maduka ya nguo na Lodge inaitwa Central Visitors, alikuwa anaitwa Memba, shabiki wa Yanga kindakindaki, alikuwa anayaremba sana magari yake.

Alikuwa na Land Rover 109 na Nissan Patrol, mbona zilikoma aisee, zimepambwa hadi zimekuwa nzito kama Scania.
 
Back
Top Bottom