babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,182
NIMECHAPIAKurumi
Kirumi
NIMECHAPIAKurumi
Kirumi
Andika taratibu kwa utulivu, soma ulichoandika then post. Rahisi kama hivyo yaaani.NIMECHAPIA
Ngoja niset keyboard yangu vzrAndika taratibu kwa utulivu, soma ulichoandika then post. Rahisi kama hivyo yaaani.
Kuimbisha. Mdomo mzito kweli. Mungu nisaidieNianzie kwangu. Kwa kweli hadi leo sijaweza kuikariri kisawasawa saa inayosoma kwa masaa 24. Yaani bado inanisumbua kila uchao.
Kuwaelewa wanawake yani mpaka leo wife nimeshindwa msoma kabisNianzie kwangu. Kwa kweli hadi leo sijaweza kuikariri kisawasawa saa inayosoma kwa masaa 24. Yaani bado inanisumbua kila uchao.
🤣🤣🤣🤣🤣Mimi nimeshindwa kabisa kujisaidia vyoo vya kukaa lazima nichchumae juu ya sink, niliianza tangu nikiwa mdogo yaan inawezekana kun.y.a umekaa kweli?!, Kuna mtu alinambia ukizoea ivo siku ukibanwa na tumbo la kuhara waweza tia aibu maana mwili unakua tayari unajua kuwa hata ukikaa ni muda sahihi kuachia vitu, tangu 2005 sijawahi jisaidia nimekaa kwenye hivi vyoo vya kukaa labda muninyonge
Hapo hata me umenigusa. Ingawa sio mvaaji sana wa tai imefikia wakati hadi nafua zikiwa zimefungwaKufunga tai (To tie a tie)
Four figure mathematical tables, slide rule nilizitumia mkuu. Nami wa kale.Unaijua ?
Hata Monday?
Mimi nimeshindwa kabisa kujisaidia vyoo vya kukaa lazima nichchumae juu ya sink, niliianza tangu nikiwa mdogo yaan inawezekana kun.y.a umekaa kweli?!, Kuna mtu alinambia ukizoea ivo siku ukibanwa na tumbo la kuhara waweza tia aibu maana mwili unakua tayari unajua kuwa hata ukikaa ni muda sahihi kuachia vitu, tangu 2005 sijawahi jisaidia nimekaa kwenye hivi vyoo vya kukaa labda muninyonge
Mimi table zote nlkua naweza isipokua ya 9 tu ndiyo iliyokua inanipa wakati mgumu na nimechezea sana stiki sabu ya hii table kipindi nasoma, Ndiyo sababu ya ID ya JF make mpaka leo nakumbuka ugumu wake.Mimi naweza table zote ila table ya kwanza na ya pili zimenishinda kabisaaaa, yaani lazima nitumie simu au four figure ili kupata majibu
Hahaaa hii table kwangu pia ni challenge, namba yoyote × 9 jibu ntatoa too late.9x7 jibu nitapata ila nitachelewa kutoa jibu
Mpaka leo nimeshindwa kufahamu neno lingine la kiswahili lenye maana linaloishia na FO ukiachana na kifo, na fofofo
Tusaidiane hapa.