Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,579
- 50,668
- Thread starter
- #901
kati ya vyote...hapo umeniacha hoi aiseh 😆😆😆1.ku puu.
2.Kula, natamani tumbo lingekua na zipu unafungua unamwagia chakula unafunga zipu,mdomo ninywee bia tu
3. Kuchangamana na watu, napenda kukaa mwenyewe, mara nyingi majirani wanajua nasafiri kumbe ni kazini then ndani na mute tu....Aisee kingine naombwa sana hela na watu hata wengine siwajui inaniboaga sana.